Pesa za Abdul zimewarusha watu akili.Hapo ni Kabla ya Pesa za Abdul na Baada ya pesa za Abdul
Huyo Yericko Nyerere....mpuuzi tuYericko Nyerere
Pitia hapa ujifunze kuwa mkweli.
View attachment 3184304
Kisha soma na hii hapa
View attachment 3184305
Kukemea uovu kunakofanywa na Lisu ni kutoa siri za chama? Hebu tueleze hapa umekuwa na ushirika na mfumo kwa muda gani sasa?
Yeriko ni mwepesi sana kichwani kama Steven Nyerere. Wote hawa ni low battery, ndio maana wanatumia majina ya watu. Anapenda kujipambanua kuwa ni mwandishi wa vitabu kumbe kilaza mkubwa.Yericko Nyerere
Pitia hapa ujifunze kuwa mkweli.
View attachment 3184304
Kisha soma na hii hapa
View attachment 3184305
Kukemea uovu kunakofanywa na Lisu ni kutoa siri za chama? Hebu tueleze hapa umekuwa na ushirika na mfumo kwa muda gani sasa?
Vitabu vyake ni copy & paste maandishi ya watu. Kitabu cha ujasusi kakopi na kupesti makala nyingi sana za Mzee Mihangwa.Yeriko ni mwepesi sana kichwani kama Steven Nyerere. Wote hawa ni low battery, ndio maana wanatumia majina ya watu. Anapenda kujipambanua kuwa ni mwandishi wa vitabu kumbe kilaza mkubwa.
Nafurahi sana wanaCHADEMA mnavyoshambuliana.Kuna mtu alisema jamaa alishinda ile tuzo kwa sababu ya jina la Mchongo sasa naamini
Watazame kama Watanzania wenzio wenye nia njema ya kujenga nchi imara. Kwani CDM ni chama cha Marekani?Nafurahi sana wanaCHADEMA mnavyoshambuliana.
Agiza na tarumbeta kabisa kisha unywe ule na kufurahi zaidi maana furaha yako ni ya muda tuuNafurahi sana wanaCHADEMA mnavyoshambuliana.