Yericko ogopa sana teknolojia. Njoo ujisahihishe hapa

Si ndiyo hawa walisema Lissu alishindwa na Nyalandu ila wakampitisha? Si huyu Yericko alisema Lissu alikuwa hahudhrurii vikao na hafanyi majukumu yake? Kwamba hapo alikuwa hatoi siri za chama ila Lissu akiongea anatoa siri za chama!! Wapinzani uchwara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…