johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Taarifa za siri za CIA za miaka ya 1953 zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini kwamba baada ya Wakoloni Waingereza kuondoka Tanganyika, mtu aliyepaswa kukabidhiwa nchi alikuwa ni kiongozi wa Wachaga Thomas Mariale.
(Soma kielelezo cha nyaraka hiyo chini ya CIA)Lakini katika nyaraka za shirika la Ujasusi la Uingereza la MI6 za mwaka 1944, zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini Chifu Kidaha alikuwa mtu sahihi wakukabidhiwa nchi baada ya Waingereza kuondoka.
Nyaraka za shirika la Ujasusi la Kanisa Katoliki la Jesuiti za mwaka 1942 ambazo baadae zilikuja kufanyiwa kazi kupitia kwa makasisi Arth Wills na Wash zinaonyesha kwamba wao waliamini Kambarage Burito Nyerere ndie alikuwa mtu sahihi wa kukabidhiwa nchi baada ya Uingereza kuondoka...Wazo lililoshinda ndio shirika lenye nguvu dunia.... Roma ikisema mashauri yote yamekwisha....
Yeriko Nyerere ameweka Taarifa Ukurasani kwake X
Mlale unono
Kwako Madaraka Nyerere 😄
(Soma kielelezo cha nyaraka hiyo chini ya CIA)Lakini katika nyaraka za shirika la Ujasusi la Uingereza la MI6 za mwaka 1944, zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini Chifu Kidaha alikuwa mtu sahihi wakukabidhiwa nchi baada ya Waingereza kuondoka.
Nyaraka za shirika la Ujasusi la Kanisa Katoliki la Jesuiti za mwaka 1942 ambazo baadae zilikuja kufanyiwa kazi kupitia kwa makasisi Arth Wills na Wash zinaonyesha kwamba wao waliamini Kambarage Burito Nyerere ndie alikuwa mtu sahihi wa kukabidhiwa nchi baada ya Uingereza kuondoka...Wazo lililoshinda ndio shirika lenye nguvu dunia.... Roma ikisema mashauri yote yamekwisha....
Yeriko Nyerere ameweka Taarifa Ukurasani kwake X
Mlale unono
Kwako Madaraka Nyerere 😄