Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Pamoja na kukosa credibility ila alilolisema Yericko Nyerere kweli kabisa, kama Nyerere hakuwahi ku clear mess, basi kikao kilichofuatia kilikuwa kimkabidhi Marealle dola ya Tanganyika, habari za kuwa alitaka utawala wa kanda moja tu ni uongo, ila alipendekeza Tanganyika iwe governed kutokea kaskazini, na sababu kuu ilikuwa ni kwamba watu wa kaskazini ndiyo waliokuwa wameelimika kiasi kwa kipindi hicho, pia mazingira yalikuwa rafiki kwa serikali kujiendesha kutokana na maendeleo ya miundombinu iliyokuwepo kaskazini enzi hizo, Tanga ndio uliokuwa mji mkubwa zaidi tanganyika kwa kipindi hicho, familia ya Marealle ipo well off, hadi sasa, wakimiliki biashara kubwa kubwa na investment nyingi tu.