Yeriko Nyerere: CIA waliamini Mtu aliyepaswa kukabidhiwa Nchi ya Tanganyika baada ya Wakoloni Waingereza kuondoka ni Mangi Thomas Mariale!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Taarifa za siri za CIA za miaka ya 1953 zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini kwamba baada ya Wakoloni Waingereza kuondoka Tanganyika, mtu aliyepaswa kukabidhiwa nchi alikuwa ni kiongozi wa Wachaga Thomas Mariale.

(Soma kielelezo cha nyaraka hiyo chini ya CIA)Lakini katika nyaraka za shirika la Ujasusi la Uingereza la MI6 za mwaka 1944, zinaonyesha kwamba shirika hilo liliamini Chifu Kidaha alikuwa mtu sahihi wakukabidhiwa nchi baada ya Waingereza kuondoka.

Nyaraka za shirika la Ujasusi la Kanisa Katoliki la Jesuiti za mwaka 1942 ambazo baadae zilikuja kufanyiwa kazi kupitia kwa makasisi Arth Wills na Wash zinaonyesha kwamba wao waliamini Kambarage Burito Nyerere ndie alikuwa mtu sahihi wa kukabidhiwa nchi baada ya Uingereza kuondoka...Wazo lililoshinda ndio shirika lenye nguvu dunia.... Roma ikisema mashauri yote yamekwisha....

Yeriko Nyerere ameweka Taarifa Ukurasani kwake X

Mlale unono

Kwako Madaraka Nyerere πŸ˜„

 
Aende zake huko
 
Lete ukweli πŸ˜„
Yeriko anawadanganya wajinga. Kipindi hicho cha ukoloni Uingereza alikuwa na nguvu za kijasusi kuliko hata hao marekani. Waingereza waliijua nguvu ya Nyerere ndo maana wakampa nchi bila kumwaga damu kama kwingine. Julius K Nyerere alikuwa ni akili-kubwa aliwazidi akili machifu wote akiwemo huyo mareale.
 
Aione Dr. Rwaitama mezani kwake
 
Bwashee Retired karibu Mjadala πŸ˜€
 
Hii iko kwenye makaratasi gani?
 
Huyu dogo Muongo muongo sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtto anamuabish babu nyerere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…