Yeriko Nyerere: CIA waliamini Mtu aliyepaswa kukabidhiwa Nchi ya Tanganyika baada ya Wakoloni Waingereza kuondoka ni Mangi Thomas Mariale!

Uko sahihii
 
Mmmh tungemwagaje damu na hatukua kolon la mwingereza yeye alikua msimamiz tu
 
Kilichosababisha wampe nchi bila kumwaga damu sio kwa sababu Nyerere alikua na akili ila ni kwa sababu koloni hili halikua Lao. Walipewa tu kama waangalizi baada ya vita vya kwanza vya Dunia. Kwa hyo hata wao hawakua na full mandate ya koloni hili
 
Yeriko hana akili timamu
 
Kilichosababisha wampe nchi bila kumwaga damu sio kwa sababu Nyerere alikua na akili ila ni kwa sababu koloni hili halikua Lao. Walipewa tu kama waangalizi baada ya vita vya kwanza vya Dunia. Kwa hyo hata wao hawakua na full mandate ya koloni hili
Ni muda wa wakoloni ulikuwa umeisha
 
Machifu walikuwa sehemu ya utawala wa Wakoloni, wakiishi maisha ya kifahari wakati huo. Hawakuwa na habari na TANU mwanzoni mwa harakati hadi 1958 baada ya Umma kuonekana unaiunga mkono TANU, hata hivyo walichelewa na Nyerere akafuta Mamlaka zao na mifumo yao kama Mfumo Kabaila wa Nyarubanja huko Bukoba
 
Mkuu Itetemia kwa sasa ni mkoa au mikoa ipi
 
Walijua nguvu ya nyerere au wao ndio waliomuandaa pia ili kumkabidhi tanganyika.
 
Hakuna cha akili wala nini
Wakoloni hawakuwekeza sana Tanganyika kama ilivyo south afrika ndo maana ilikua rahisi kuachia nchi bila kumwaga damu
 
Yeriko Nyerere anajiita jasusi kumbe ni msusi tu,ni moja ya wapenda pesa nyama na pombe za bure.
 
Haya ni mauzushi mliyoyazoea na ya kuokoteza
 
Hii takataka toka iwe chawa nishaidharau na maandiko yake...
 
Huyu jamaa tatizo ujasusi wake ni wa kuunga unga sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ