Yeriko Nyerere: CIA waliamini Mtu aliyepaswa kukabidhiwa Nchi ya Tanganyika baada ya Wakoloni Waingereza kuondoka ni Mangi Thomas Mariale!

Pamoja na kukosa credibility ila alilolisema Yericko Nyerere kweli kabisa, kama Nyerere hakuwahi ku clear mess, basi kikao kilichofuatia kilikuwa kimkabidhi Marealle dola ya Tanganyika, habari za kuwa alitaka utawala wa kanda moja tu ni uongo, ila alipendekeza Tanganyika iwe governed kutokea kaskazini, na sababu kuu ilikuwa ni kwamba watu wa kaskazini ndiyo waliokuwa wameelimika kiasi kwa kipindi hicho, pia mazingira yalikuwa rafiki kwa serikali kujiendesha kutokana na maendeleo ya miundombinu iliyokuwepo kaskazini enzi hizo, Tanga ndio uliokuwa mji mkubwa zaidi tanganyika kwa kipindi hicho, familia ya Marealle ipo well off, hadi sasa, wakimiliki biashara kubwa kubwa na investment nyingi tu.
 
Huyu jamaa kachanganyikiwa baada ya basha wake kushindwa uchaguzi
 

..tatizo la Machifu ni kutokuchaguliwa kwa njia ya demokrasia.

..Wananchi walianza kuliona tatizo hilo na ndio maana Wachagga Council wakaamua kwamba Mangi Mkuu awe mtu yeyote mwenye sifa na apigiwe kura.

..madai kwamba Machifu waliishi kama wakoloni ni kuwachafua kwani hata viongozi wa Tanu waliishi kama gavana, PC, na DC, wa kikoloni.
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Mbona Wakikuyu wanapewa Madaraka?
Ndio mana Unaona Tribalism iko at the peak kule, Hata Msukuma Kuwa mkuu wa Nchi wa A mistake hii nchi tuwaache makabila Madogo kabisa ndio yashike Power ya Juu kama Wamwera, Wasambaa, Wakwere, Watu wa visiwani, Wamakonde hii Nchi Umpe Mushi au Rweyemamu hapatakalika mtu kama Mwera au Mkwere anakuwa Mkuu wa Nchi na Ndugu zake hata Elimu hawana hivo lazima aunde serikali ya Wote, We huoni Magu Tu kila sehemu palianza Kujaa Wasukuma Kwa sababu kabila ni Majority haifai
 
Mareale yupi huyo aliueaminiwa?
Mareale alikuwa anafanya lobying eneo lao liwe nchi inayojitegemea. Mareale hakuwahi kuingia katika duru la siasa za Tanganyika
 
Mwalimu alitumia ujanja ujanja - ni kweli Mangi ilikuwa achukue hii nchi.
 
Nyerere was very smart yule mzee! Entire Nyerere's family is very smart!
Hawa kina Steve Mengere na huyu muabudu mizimu hakuna kitu ovyo kabsa!
Nyerere wa Playstore 🚮 🚮 🚮
 

Duh, eti Nyerere alianzisha TANU
 
huyo Nyerere mwenyewe naye alitengnezwa na mabeberu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…