Yerusalemu: Kikombe Kinachowalevya Mataifa

Yerusalemu: Kikombe Kinachowalevya Mataifa

Kwa utaalamu wangu wa migogoro, naamini taifa bandia la israel liliundwa baada ya kugunduliwa mafuta uarabuni ili kulipa nguvu na kuwatisha waarabu na kuwalazimisha ima kununua silaha toka magharibi au kutafuta ulinzi toka kule kama ilivyotokea. Zaidi ya hapo, sijui kwanini mataifa yanachachawa na kugeuka vipofu hata kwenye mambo ambayo hata ndege anaweza kusuluhisha. Je zaidi ya biashara ya mafuta na silaha kunani? Je hawa akina Niite nyau wazungu wanaojiita waarabu ndiyo wanaohangaisha wazungu wenzao wasimalizwe na waarabu?
Na kwa nini waarabu wanapelekeshwa na Israel? nini wanakosa hawa? Gaza saa hii ni magofu na hakuna mwarabu anayeingilia kati kuwakomboa wapalestina! tatizo ni nini hasa wanamuogopa Israel?
 
Na kwa nini waarabu wanapelekeshwa na Israel? nini wanakosa hawa? Gaza saa hii ni magofu na hakuna mwarabu anayeingilia kati kuwakomboa wapalestina! tatizo ni nini hasa wanamuogopa Israel?
Israel ni waarabu pia!Maana haiwezekani asiye mwarabu kuishi katikati ya waarabu.
 
Utakieni Amani Yerusalemu Wafanikiwe Wakupendao Yerusalemu


The Bible says Jesus was a Liar


After this, Jesus went around in Galilee, purposely staying away from Judea because the Jews there were waiting to take his life.

But when the Jewish Feast of Tabernacles was near, Jesus' brothers said to him, "You ought to leave here and go to Judea, so that your disciples may see the miracles you do.

No one who wants to become a public figure acts in secret. Since you are doing these things, show yourself to the world." For even his own brothers did not believe in him.

Therefore Jesus told them, "The right time for me has not yet come; for you any time is right. The world cannot hate you, but it hates me because I testify that what it does is evil. You go to the Feast. I am not yet going up to this Feast, because for me the right time has not yet come." Having said this, he stayed in Galilee.

However, after his brothers had left for the Feast, he went also, not publicly, but in secret. (John 7:1-10)

How many Christians have overlooked this verse?

The footnote regarding John 7:8 says

“Some early manuscripts do not have yet”. The word ‘yet’ was added to later manuscripts to cover up the lie.
 

Yerusalemu: Kikombe Kinachowalevya Mataifa ni kuchokoana makalio tu​


1705492790128.jpeg
 
Israel ni waarabu pia!Maana haiwezekani asiye mwarabu kuishi katikati ya waarabu.
Na kwa nini waarabu wanapelekeshwa na Israel? nini wanakosa hawa? Gaza saa hii ni magofu na hakuna mwarabu anayeingilia kati kuwakomboa wapalestina! tatizo ni nini hasa wanamuogopa Israel?
 
Na kwa nini waarabu wanapelekeshwa na Israel? nini wanakosa hawa? Gaza saa hii ni magofu na hakuna mwarabu anayeingilia kati kuwakomboa wapalestina! tatizo ni nini hasa wanamuogopa Israel?

Waisraeli hawapelekeshwi na WAARABU Kwa sababu mara tu vita ilipoanza MMarekani kapeleka meli tatu za kijeshi na wanajeshi elfu 8 , muingereza naye kapeleka manuari na majeshi , Mfaransa kapeleka mauari na majeshi , Jee yote ni Israeli hiyo ?? . Hamas ina askari wasiozidi elfu 10, muisraeli kapeleka vifaru zaidi ya elfu 1, na manuari na madege ya vita. Wanajeshi zaidi ya laki 6, yote kuwapiga askari elfu 10, na mpaka leo wameshindwa kuichukua Gaza , ni zaidi ya miezi 3
 
Waisraeli hawapelekeshwi na WAARABU Kwa sababu mara tu vita ilipoanza MMarekani kapeleka meli tatu za kijeshi na wanajeshi elfu 8 , muingereza naye kapeleka manuari na majeshi , Mfaransa kapeleka mauari na majeshi , Jee yote ni Israeli hiyo ?? . Hamas ina askari wasiozidi elfu 10, muisraeli kapeleka vifaru zaidi ya elfu 1, na manuari na madege ya vita. Wanajeshi zaidi ya laki 6, yote kuwapiga askari elfu 10, na mpaka leo wameshindwa kuichukua Gaza , ni zaidi ya miezi 3
Hatari sana.
 
Shida ni kitu kimoja umeelezea saana kwenye biblia lkn hujaelezea yaliyomo kwenye Quran
 
Back
Top Bottom