Yes!! English never loved us, not to this extent

Yes!! English never loved us, not to this extent

Mmea Jr

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2016
Posts
798
Reaction score
1,871
Habari zenu waku, natumaini Jumapili ya leo ipo salama kabisa huko mlipo..

Nikiwa miongoni mwa watz, wengi ambao tukiamka tu jambo la kwanza tunashika simu zetu na kuangalia kama kuna jumbe au missed call yoyote ile katika simu zetu, sasa baada ya kupekua huku na kule nikasema ngoja niingie kwenye page moja hivi inaitwa Africa cities and skyscrapers, ghafla nikakuta na kitu ambacho kimeniumiza sana, huko nimekutana na bango fulani ambalo limeonekana limetumwa huko na ndugu zetu, jirani zetu wakenya. Likifichua au kuanika udhaifu wetu wa kiingereza,

Katika page hii, ndugu zetu hawa wamekuwa wakitumia sentensi hizi
1) victims of English language

2) Everything is okay until you ask a Tanzanian to speak English

3) When it is time to speak English Tanzanians people go in flight mode

Hizo juu ni sentendi baadhi tu, binafsi sikuwa zichukulia serious sana, maana nilikuwa ni utani tu wa jirani, sasa kuna hili bango nimeliatachi hapa chini, bango hili ni la mkandarasi fulani ambaye alikuwa anatengeneza barabara huko Karangwe, sehemu ya chini kabisa limeandikwa hivi
"H.I.V is killed "

Sasa kikawaida wakandarasi ni watu waliosoma wanaoelewa kingereza vizuri, sasa ilikuwaje tena waandike hivi au walikuwa wana maana ghani katika ujumbe huu walioiandikia jamii?? Ukweli nimeumia sana bango ili limetuvua nguo zote tena sawa sawa na mtu akuvue nguo stendi..
Screenshot_20240714-070437_1720929921264.jpg
 
Habari zenu waku ,,, natumaini jumapili ya leo ipo salama kabisa huko mlipo ,,,

Nikiwa miongoni mwa watz , wengi ambao tukiamka tu jambo la kwanza tunashika simu zetu na kuangalia kama kuna jumbe au missed call yoyote ile katika simu zetu ,, sasa baada ya kupekua huku na kule
nikasema ngoja niingie kwenye page moja hivi inaitwa Africa cities and skyscrapers ,,, ghafla nikakuta na kitu ambacho kimeniumiza sana ,, huko nimekutana na bango fulani ambalo limeonekana limetumwa huko na ndugu zetu ,, jirani zetu wakenya . Likifichua au kuanika udhaifu wetu wa kiingereza ,,,

katika page hii,, ndugu zetu hawa wamekuwa wakitumia sentensi hizi
1) victims of English language

2) everything is okay until you ask a Tanzanian to speak English

3) When it is time to speak English Tanzanians people go in flight mode

hizo juu ni sentendi baadhi tu ,, binafsi sikuwa zichukulia serious sana ,, maana nilikua ni utani tu wa jirani ,,, sasa kuna hili bango nimeliatachi hapa chini ,, bango hili ni la mkandarasi fulani ambaye alikuwa anatengeneza barabara huko karangwe ,,, sehemu ya chini kabisa limeandikwa hivi
"H.I.V is killed "

sasa kikawaida wakandarasi ni watu waliosoma wanaoelewa kingereza vizuri ,, sasa ilikuwaje tena waandike hivi au walikuwa wanamaana ghani katika ujumbe huu walioiandikia jamii ?? Ukweli nimeamua sana bango ili limetuvua nguo zote tena sawa sawa na mtu akivue nguo stendi..View attachment 3041871
Huyu aliyeandika hapa ni either kandarasi wa kikenya aliyekuwa anatudhihaki, au ni mbongo mvuta bange. kama kandarasi anaweza kuandika hivi, hicho atakachojenga hapo kitafaa kweli? achukuliwe hatua kabisa.
 
huyu aliyeandika hapa ni either kandarasi wa kikenya aliyekuwa anatudhihaki, au ni mbongo mvuta bange. kama kandarasi anaweza kuandika hivi, hicho atakachojenga hapo kitafaa kweli? achukuliwe hatua kabisa.
Mimi nimeumia sana wakandarasi wasomi kabisa inamaana walishindwa kungamua shida iliyokuwepo hapo kwenye bango ??
 
Habari zenu waku, natumaini Jumapili ya leo ipo salama kabisa huko mlipo..

Nikiwa miongoni mwa watz, wengi ambao tukiamka tu jambo la kwanza tunashika simu zetu na kuangalia kama kuna jumbe au missed call yoyote ile katika simu zetu, sasa baada ya kupekua huku na kule nikasema ngoja niingie kwenye page moja hivi inaitwa Africa cities and skyscrapers, ghafla nikakuta na kitu ambacho kimeniumiza sana, huko nimekutana na bango fulani ambalo limeonekana limetumwa huko na ndugu zetu, jirani zetu wakenya. Likifichua au kuanika udhaifu wetu wa kiingereza,

Katika page hii, ndugu zetu hawa wamekuwa wakitumia sentensi hizi
1) victims of English language

2) Everything is okay until you ask a Tanzanian to speak English

3) When it is time to speak English Tanzanians people go in flight mode

Hizo juu ni sentendi baadhi tu, binafsi sikuwa zichukulia serious sana, maana nilikuwa ni utani tu wa jirani, sasa kuna hili bango nimeliatachi hapa chini, bango hili ni la mkandarasi fulani ambaye alikuwa anatengeneza barabara huko Karangwe, sehemu ya chini kabisa limeandikwa hivi
"H.I.V is killed "

Sasa kikawaida wakandarasi ni watu waliosoma wanaoelewa kingereza vizuri, sasa ilikuwaje tena waandike hivi au walikuwa wana maana ghani katika ujumbe huu walioiandikia jamii?? Ukweli nimeumia sana bango ili limetuvua nguo zote tena sawa sawa na mtu akuvue nguo stendi..
View attachment 3041871

Native speakers wenyewe wanakosea kiingereza, acha uzuzu. Hata sisi native Swahili speakers tunakosea kiswahili lakini hatuchekani. Why iwe kwenye kiingereza?
 
Kwani kakosea wapi hapo? HIV is killed..
HIV imeuawa au vipi
🤣🤣🤣 H.I.V is killed
It means ,, H. i. V , doesn't exist anymore ,, H.i.v is no longer a threat in this world we are living in ..
Ni kweli ,, H.I.V si tishio , kweli ugonjwa huu haupo ?? Maana huu ndiyo ujumbe uliopo hapo ??
 
Mnahangaika sana
Hichi kiingereza kitaleta chakula mezani
Kitawajengea nyumba
Mbona hao wakenya wenyewe mnaosema wanajua kila siku ni njaa kwao kingewafanya wawe wa dunia ya kwanza. Lkn ndio wenyemaisha magumu wengi.

Huko marekani wanaoongea kiingereza bado kuna watu wanaishi kama wapo jehanamu.
 
Mnahangaika sana
Hichi kiingereza kitaleta chakula mezani
Kitawajengea nyumba
Mbona hao wakenya wenyewe mnaosema wanajua kila siku ni njaa kwao kingewafanya wawe wa dunia ya kwanza. Lkn ndio wenyemaisha magumu wengi.

Huko marekani wanaoongea kiingereza bado kuna watu wanaishi kama wapo jehanamu.
Kweli hakiwezi kufanya hayo ulioliza ..
Lakini kama hatukiwezi mbona tunaking'ang'ania kuwafundisha wototo wetu mashuleni ??
Kwanini ili upate kazi kiiingereza kiwe moja ya sifa ya muombaji wa kazi ??

Majibu ,, inamaana kina umuhimu fulani mkuu ,,, sasa kama ni hivyo mbona hawa tuliowaamini na kuona wanakijua kwanini waruhu hili litokee ??
 
🤣🤣🤣 H.I.V is killed
It means ,, H. i. V , doesn't exist anymore ,, H.i.v is no longer a threat in this world we are living in ..
Ni kweli ,, H.I.V si tishio , kweli ugonjwa huu haupo ?? Maana huu ndiyo ujumbe uliopo hapo ??
HIV is killed. Sio kama awali ilivyokuwa tishio. Ila kuna mzaramo hapa anakwambia mwamba kakosea kwenye lile bango🤣🤣
 
Nadhani Gen Z itatuokoa katika hili, wao angalau kizungu chao kina afadhalli tofauti na sisi tuliosoma miaka hiyo.

Kifupi tu wengi wa 35+ kizungu chetu lazima tutafsiri toka lugha za asili ndio tupate kuongea au kuandika.
 
Mmmhh kaka pengine
HIV is killed. Sio kama awali ilivyokuwa tishio. Ila kuna mzaramo hapa anakwambia mwamba kakosea kwenye lile bango🤣🤣
kiingereza tunakielewa tofauti ..

1) HIV,, is killed tumesema ukimwi siyo tishio kama awali ?? Si ndiyo maana yke ??

2) John is killed...

ina maana ,, john siyo tishio kama alivyokuwa zamani ?? Si ndiyo maana yake ?
 
Nadhani Gen Z itatuokoa katika hili, wao angalau kizungu chao kina afadhalli tofauti na sisi tuliosoma miaka hiyo.

Kifupi tu wengi wa 35+ kizungu chetu lazima tutafsiri toka lugha za asili ndio tupate kuongea au kuandika.
🤣🤣🤣 Upo sahihi ,, mimi kinachoniuma kuona wasomi kabisa watu wamekaa miaka zaidi ya 15 ,, wakisoma tena kwa hii lugha ,, wanaruhusu vitu kama hivi vitokee
 
Nadhani Gen Z itatuokoa katika hili, wao angalau kizungu chao kina afadhalli tofauti na sisi tuliosoma miaka hiyo.

Kifupi tu wengi wa 35+ kizungu chetu lazima tutafsiri toka lugha za asili ndio tupate kuongea au kuandika.
Hata gen z hali ni mbaya mzee wangu.
 
Back
Top Bottom