Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Na ukiangalia nchi nyingi za Ulaya zinazojikongoja hazikujihusisha moja kwa moja kwenye biashara ya utumwa na ukoloni. Does this imply anything?
Hivi Ujerumani nayo ilihusika kwenye utumwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukiangalia nchi nyingi za Ulaya zinazojikongoja hazikujihusisha moja kwa moja kwenye biashara ya utumwa na ukoloni. Does this imply anything?
Ya kwanza kabisa sijui. Ila najua kwamba Ghana siyo ya kwanza kwa sababu, kwa mfano, Sudan ilipata uhuru wake mwaka 1956 na Ghana ilipata uhuru wake mwaka 1957. Hivyo, Ghana haiwezi kuwa nchi ya kwanza Afrika kupata uhuru.
Ninadhani nchi zote zilizopata uhuru kabla ya Ghana zinatofauti na Ghana katika namna ya ukoloni, enzi, na jiografia. Labda, narudia tena, labda ndio maana inatajwa Ghana kuwa ya kwanza kwa Afrika
* Misri, Libya, Sudan zinajitambulisha kuwa ni nchi za Kiarabu kwa mfano .....
Mwali ndiye pekee anayeza kudetiwa tuu?Kidate na nani? Mwali?🙂
Hahahaaaa madrasa tena? Walikuwa wanatoa shahada katika fani zipi hao? Hicho chuo kipo hadi leo? Na nini cha maana kilichotokea hapo ambacho kilisaidia kuleta maendeleo ya mwanadamu?
Na kuna nchi ngapi hapa duniani ambazo zinafuata hiyo mifumo ya Uingereza?
What exactly is 'duties to the society'? Hapo kwenye duties inabidi upambanue zadi. Kwa sababu hata kulipa kodi nako ni duty to society vile vile...au siyo?
Walihusika fuatilia German slave labor World War II.Hivi Ujerumani nayo ilihusika kwenye utumwa?
Hata kama zinajitambulisha hivyo, lakini bado ni nchi zilizopo barani Afrika.
Anzia dk ya 0:45 - 1:45
Unaishi Tanzania au USA?, maana hizo data sidhani kama ni za National Bureau of Statistics ya Tanzania.lol..
Siku hizi private sector milioni 3 mshahara ni kima cha chini unajua....
Halafu kama laki 8 inaonekana kubwa basi tuifikirie kama 400,000 ya mke na 400,000 ya mume.
At the end of the day kama mnatumia gari..lazima mtakuwa mnakaribia huko huko tu., kibaya zaidi mnachokea kwenye mafoleni.
Do you believe in autonomy or freedom?
Ninajua kuwa kuna sheria zinazokataza kubadili muonekano wa jengo.
Ila hiyo ya kuwa kuna sheria inayozuwia kuuza sijawahi kuiona
Unaweza kutuwekea kifungu cha sheria?
Manake isije ikawa kuna kosa la interpretation ya maana ya kisheria hapa
Kwa kawaida, anaye-occupy a listing building ana jukumu aka duty of care kuhakikisha kuwa jengo linabakia katika katika hali yake stahiki
Hili jukumu lina-extend hata wakati wa kuuza hilo jengo. Kama unaliuza huku ukijua wazi kuwa mnunuaji atalibomoa au atalifanyia shughuli nyingine tofauti na ile iliyoruhusiwa, then kuna uwezekanao wa kuwa responsible for deliberate negligence (breaching the duty of care).
Ndiyo maana wanashauri kuwa kama unauza a listed building, then ni bora kuji-indemnify mwenyewe dhidi ya mashataka hapo baadae, just in case.
Hivi Ujerumani nayo ilihusika kwenye utumwa?
I believe in moderation.
Lakini hicho ulichokielezea sasa sio sawa na kusema "kuna sheria inayomzuwia mtu kuuza jengo lake"
Kwa sababu kimsingi hakuna sheria hiyo
Ni ushauri tu
Yea, Wajerumani walikuwa watumwa wa Jamhuri ya Roman. Tena walikuwa watumwa wa aina yake, kwa maana kuwa wengi wao walikuwa wanatumika zaidi kama gladiators and sex slaves. lol. Would you have turned down that chance?
Kuhusiana na Ujerumani kujihusisha na biashara ya utumwa Afrika yapo maandiko yanayopingana.
Labda huyu mwandishi anaweza kuwa anametumia Afrocentric approach? lol
Kuywa pombe ya aina yoyote unayotaka lakini lakini siyo ile inazoweza kukudhuru?
Kwa hiyo, huyo waziri anayedaiwa kuzuia watu walionunua nyumba za Osterbay kuziuza atakuwa ametumia sheria gani kutoa hiyo amri?
Let alone, sidhani hata kama hizo nyumba ni listed.
Everything in moderation - so yes, so long as it's harmless.
Same goes for autonomy and freedom.
But, whilst autonomy focuses more on positive liberty, freedom focuses on negative liberty.
Hili suala linawasumbua sana Waingereza. Zamani walikuwa na freedoms. For example, they didn't have such rights, as the right to privacy.
They didn't have the so called human rights, until they incorporated the European Convention on Human Rights into their domestic law.
Now, they're seeking to get out this and go back to negative liberty.