I am sorry that you wrongly got me wrong
I wrongly got you wrong? Is that like a negative times negative equals positive type of thing that would make my wrongly getting you wrongly getting you right or something other negative plus negative equals a deeper negative thing where the wrongs compound?
What exactly did I get wrong?
Do not flatter yourself.You do not have the mental capacity to suggest that you could roll with my distant poor cousin, and you want to call me your brother? In which sense? By which association? By which pedigree?
Au unafikiri kila mtu mjamaa jamaa tu anayehusudu undugu wa kirahisi rahisi na central planning ya kuonewa gele na mabakia ya Czarist chekist na Gestapo? Complete with a business building expression censorship that will take Andy Chande back to his coming of age days at Avalon?
Hivyo apartment tu mnaanza kupiga kelele, akija Shehe wa kiarabu mwenye hela zake za kuchezea anataka kujenga skyscraper lenye umbo la mnazi Mbeya ili aingie tu kwenye vitabu vya dunia kama mtu mwenye pesa na kuamua kuzichezea anavyotaka utafanya nini?
have time to revisit my thread!
Your thinking stinks of collectivism as some have already observed above, why should I revisit this stink which is a past phase of our economy?
I might as well revisit the need for "ugawaji" and "foleni za maduka ya kaya ya CCM kununua sukari kwa daftari". That is the opposite of a market economy I am upholding here.Granted the market I advocated for is regulated by codes.
Acha kasumba ya kusoma juujuuu ili ukimbilie kuongeza idadi ya comments na posts! Ni wapi nimesema watu wasijenge apartments mikoani?
Niambie niliposoma juujuu ni wapi na nilichokosa kukielewa kwa kusoma juu juu ni kipi.
Ama sivyo, ukishindwa kuniambia hiki, wewe utakuwa ndiye unayeangalia mambo juu ju.
Nime kwambia kwamba kati yangu nawe, wewe ndiye unaye theorize bila msingi.
Hujajibu hoja bado, unarukaruka kwa viroja tu.