Yes, Tunazindua Filamu ya Royal Tour. Lakini kwa mambo ya aibu kama haya hatufiki popote.

Yes, Tunazindua Filamu ya Royal Tour. Lakini kwa mambo ya aibu kama haya hatufiki popote.

42774277

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2018
Posts
6,833
Reaction score
8,853
Nmeamka asubuhi asubuhi hii Tanzania is trending on twitter.

Screenshot_2022-04-17-09-15-05-103_com.twitter.android.jpg


Baada ya kuingia nimekuta huyo dada mnaijeria anaitwa Zainab amesimulia kisa chake cha kutaka kubakwa pamoja na kuibiwa pesa zake.

Unaweza kusoma kisa chake hapa 👇🏾👇🏾



Hiki kisa kimetokea mwaka mmoja uliopita lakini amekisimulia jana na kitu kizuri zaidi she was taking photos and videos za mambo mbalimbali yaliyojiri kuanzia hotelini mpaka polisi.

Kwa kifupi tu....

Ilikuwa inaelekea 23rd birthday yake so alidecide kutoka Nigeria kwenda Vacation Zanzibar for 6 days kwenye hotel moja inaitwa Werere Beach Hotel. Hii ni 4 star hotel.

Mambo yalikuwa poa tu toka amefika lakini Nightmares zilianza siku ya birthday almost saa 8 usiku. Nadhani ilikuwa siku ya pili tokea afike.

Anasema akiwa amelala alikuwa hajavaa chochote. Around hiyo saa 8 alianza kufeel kama mtu anamshika matiti baadae yule mtu akamshikisha penis hapo ndoto tena.

Baada ya kushtuka zikaanza purukushani the guy was trying to rape her. Anasema kilichomsaidia kuna muda alimuomba sana huyo jamaa kwamba kama inawezekana watumie condom sababu yeye ana HIV. Hiki ndo kitu kilimuokoa.

So huyo jamaa[the rapist] akafikiria baadae akaamua kuondoka aende akafate condom.

Hapo ndo dame alipata chance ya kusepa na aliamua kwenda kuomba hifadhi kwenye room moja ambayo ilikuwa na couple ya warusi[she met them before that night].

Before aende kwenye hiyo Room ya hao Russian's Couple anasema reception hakukuwa mtu/watu, simu zao hazikuwa zinafanya kazi so hakuwa na option.

She stayed kwenye hiyo room mpaka asubuhi. Alipokuja kurudi kwenye chumba chake she found her money was stolen [$1100].


Asubuhi hiyo wakaenda polisi akaandikisha maelezo na police wakamshauri kwamba aende hospital akapime.

akaenda hospital akapima ikaoneakana hakukuwa na penetration yoyote.

So kuja kurudi polisi, Ni kama polisi waliimaliza hiyo ishu kwa hoja ya kwamba hakukuwa na penetration so no rape. Hawakujishughulisha hata kuhangaika na nani alitry kufanya kufanya hicho kitendo cha ubakaji na nani aliiba hela za huyo dada, Kwa 4 star hotel haiwezi kukosa CCTv camera.

Yeye mwenyewe huyo dada ameisimulia vizuri sana hiyo story. Nimeweka link ya twitter pale juu.

Werere Beach Hotel Boycott

Kabla huyu dada hajapost kisa chake twitter hiyo Hotel ilikuwa na Rating ya 4.5 Star mtandaoni.

Aiseee kutoka jana Nigerians wenyewe, Kenyans, South Africans n.k. wameiboycott hiyo Hotel and now imebakiwa na 1.1 star only.

Screenshot_2022-04-17-09-59-58-788_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-04-17-10-00-13-947_com.android.chrome.jpg


Mpaka jana usiku saa mbili kulikuwa na Reviewers 1800+ na rating ilikuwa 1.4 star

20220417_102024.jpg


This morning mpaka muda huu naandika kuna reviewers zaidi ya 10600 na rating ni 1.1 star.


Unadhani kuna mtalii serious ataenda kwenye hiyo Hotel?

Mmiliki wa Hotel amepata faida gani?


The Worst Part

These people are not only boycotting Werere Beach Hotel ila wanaiboycott zanzibar and Tanzania as a whole sababu response mbovu kutoka kwa police officers.

Lini tutabadilika?


Tuje kwa watanzania

Ukisoma comment za baadhi ya watanzania unapata kichefu chefu.

Unakutana na comments kama hiziii

####

20220417_101232.jpg


Aiseeee we are so stupid.


Haya mambo hayatusaidii hata kidogo. Hiyo thread huko twitter inatembea kama moto.
 
Nchi ya hovyo sana hii na polisi ni wapuuzi tunapenda kumaliza mambo juu juu ndo madhara yake na huyo dada kaja kimkakati kabisa now Rais yuko anapromote utalii ameingilia kati inasikitisha sana. Hii nchi ina shida kubwa kuanzia uongozi wa juu mpaka Wananchi wake hovyo.
 
Huyo dada nae kwa upande wake ana makosa. Alipofika Polisi, Polisi walionyesha ushirikiano kwa kumwambia aandike statement yake then akaambiwa aende anapelekwa kupimwa ili wajiridhishe kama kulikuwa na penetration all of a sudden yeye anaanza kurecord kituo cha Polisi na kupiga piga picha.

Sasa ulitaka wao wafanyaje, mtu anaanza kutukana na kuleta fujo huyo unamsaidiaje. Na anasema aliutafuta ubalozi wa Naija Bongo kwa kupiga simu sana na hazikupokelea. Hapo pia kuna ukweli? Anao ndugu Lagos kwanini asiwaombe waende kwenye ubalozi wetu kule ili apate msaada zaidi kama anaona hakupata haki yake hapo Zanzibar??

Kwanini alivyorudi kwao hakwenda ubalozi wa Tz kule kuclaim hayo aliyofanyiwa anakuja kuleta Twitter malalamiko mwaka mmoja baadae?

Sitetei aliyofanyiwa lakini kuna kila sababu ya kusikiliza upande wa pili pia, na uzuri watu wa Utalii huko wamesema wameanza kufanyia kazi claim zake, na kama itadhibitika ni uzembe wa hotel hiyo Hotel ifungwe pamoja na kulipa demages kwa huyo Binti..
 
Nmeamka asubuhi asubuhi hii Tanzania is trending on twitter.

View attachment 2190433

Baada ya kuingia nimekuta huyo dada mnaijeria anaitwa Zainab amesimulia kisa chake cha kutaka kubakwa pamoja na kuibiwa pesa zake.

Unaweza kusoma kisa chake hapa 👇🏾👇🏾



Hiki kisa kimetokea mwaka mmoja uliopita lakini amekisimulia jana na kitu kizuri zaidi she was taking photos and videos za mambo mbalimbali yaliyojiri kuanzia hotelini mpaka polisi.

Kwa kifupi tu....

Ilikuwa inaelekea 23rd birthday yake so alidecide kutoka Nigeria kwenda Vacation Zanzibar for 6 days kwenye hotel moja inaitwa Werere Beach Hotel. Hii ni 4 star hotel.

Mambo yalikuwa poa tu toka amefika lakini Nightmares zilianza siku ya birthday almost saa 8 usiku. Nadhani ilikuwa siku ya pili tokea afike.

Anasema akiwa amelala alikuwa hajavaa chochote. Around hiyo saa 8 alianza kufeel kama mtu anamshika matiti baadae yule mtu akamshikisha penis hapo ndoto tena.

Baada ya kushtuka zikaanza purukushani the guy was trying to rape her. Anasema kilichomsaidia kuna muda alimuomba sana huyo jamaa kwamba kama inawezekana watumie condom sababu yeye ana HIV. Hiki ndo kitu kilimuokoa.

So huyo jamaa[the rapist] akafikiria baadae akaamua kuondoka aende akafate condom.

Hapo ndo dame alipata chance ya kusepa na aliamua kwenda kuomba hifadhi kwenye room moja ambayo ilikuwa na couple ya warusi[she met them before that night].

Before aende kwenye hiyo Room ya hao Russian's Couple anasema reception hakukuwa mtu/watu, simu zao hazikuwa zinafanya kazi so hakuwa na option.

She stayed kwenye hiyo room mpaka asubuhi. Alipokuja kurudi kwenye chumba chake she found her money was stolen [$1100].


Asubuhi hiyo wakaenda polisi akaandikisha maelezo na police wakamshauri kwamba aende hospital akapime.

akaenda hospital akapima ikaoneakana hakukuwa na penetration yoyote.

So kuja kurudi polisi, Ni kama polisi waliimaliza hiyo ishu kwa hoja ya kwamba hakukuwa na penetration so no rape. Hawakujishughulisha hata kuhangaika na nani alitry kufanya kufanya hicho kitendo cha ubakaji na nani aliiba hela za huyo dada, Kwa 4 star hotel haiwezi kukosa CCTv camera.

Yeye mwenyewe huyo dada ameisimulia vizuri sana hiyo story. Nimeweka link ya twitter pale juu.

Werere Beach Hotel Boycott

Kabla huyu dada hajapost kisa chake twitter hiyo Hotel ilikuwa na Rating ya 4.5 Star mtandaoni.

Aiseee kutoka jana Nigerians wenyewe, Kenyans, South Africans n.k. wameiboycott hiyo Hotel and now imebakiwa na 1.1 star only.

View attachment 2190488

View attachment 2190489

Mpaka jana usiku saa mbili kulikuwa na Reviewers 1800+ na rating ilikuwa 1.4 star

View attachment 2190509

This morning mpaka muda huu naandika kuna reviewers zaidi ya 10600 na rating ni 1.1 star.


Unadhani kuna mtalii serious ataenda kwenye hiyo Hotel?

Mmiliki wa Hotel amepata faida gani?


The Worst Part

These people are not only boycotting Werere Beach Hotel ila wanaiboycott zanzibar and Tanzania as a whole sababu response mbovu kutoka kwa police officers.

Lini tutabadilika?


Tuje kwa watanzania

Ukisoma comment za baadhi ya watanzania unapata kichefu chefu.

Unakutana na comments kama hiziii

####

View attachment 2190506

Aiseeee we are so stupid.


Haya mambo hayatusaidii hata kidogo. Hiyo thread huko twitter inatembea kama moto.


Kwanini hii hotel isitoe tamko lakupinga / kukanusha kwamba huu sio ukweli inaweza kuiweka kwenye website, insta twitter, facebook kwenye account yao au ku-apologised and kumlipa pesa zake na fidia, kuwawajibisha wahusika wote na kuhakikisha vitu kama hivi havitokei tena.

PR, brand, customer service, peace of mind, security ni vitu muhimu sana kwenye utalii.
 
Ndio maana wengine tunasema tatizo la hii nchi sio ccm wala serikali. Ni uwepo wa kundi kubwa la watu wajinga, wapuuzi, wasiowajibika, washabikia ujinga, wasiofikiri na vitu kama hivyo. Sasa concetration yao kwa kadiri inavyokuwa kubwa kila mahali, hata atokee rais toka kundi la malaika na afanye kazi usiku na mchana bado haitasaidia sana.
 
Nchi ya hovyo sana hii na polisi ni wapuuzi tunapenda kumaliza mambo juu juu ndo madhara yake na huyo dada kaja kimkakati kabisa now Rais yuko anapromote utalii ameingilia kati inasikitisha sana. Hii nchi ina shida kubwa kuanzia uongozi wa juu mpaka Wananchi wake hovyo.
Kama jamii ina mambo na mitizamo ya ovyo na viongozi wanatokana na jamii hiyo hiyo unatarajia ni ni?
 
Mitanzania ya hovyo saana.

Nilitegemea na sisi tuanzishe kampeni ya kuirate hiyo hotel. Lakini cha ajabu tumeungana na Wakenya na Wanaijeria kuitukana nchi yetu.

And Kenyans and South Africans are Happy...maana ndiyo competitors wetu wa utalii hasa wakenya.

Sijawahi kuona jamii inayogawanywa kwa mambo madogo kama haya. Sasa mdada kabakwa ndiyo ipelekee nchi yetu kushushuliwa hivi na tunawasaidia wenyewe kujitukana.

Nakuhakikishieni kwa wizi na unyanganyi uliopo Mitaa ya SA na Nairobi lakini kamwe hamtaskia kelele hizi....sio kwasababu hayatokei Ila wenzetu wanaungana wanailimda taswira ya nchi kwanza.
 
Mitanzania ya hovyo saana.

Nilitegemea na sisi tuanzishe kampeni ya kuirate hiyo hotel. Lakini cha ajabu tumeungana na Wakenya na Wanaijeria kuitukana nchi yetu.

And Kenyans and South Africans are Happy...maana ndiyo competitors wetu wa utalii hasa wakenya.

Sijawahi kuona jamii inayogawanywa kwa mambo madogo kama haya. Sasa mdada kabakwa ndiyo ipelekee nchi yetu kushushuliwa hivi na tunawasaidia wenyewe kujitukana.

Nakuhakikishieni kwa wizi na unyanganyi uliopo Mitaa ya SA na Nairobi lakini kamwe hamtaskia kelele hizi....sio kwasababu hayatokei Ila wenzetu wanaungana wanailimda taswira ya nchi kwanza.
Na Mimi nashangaa sijui watanzania tuna shida gani especially story hatujaisikia upande wa Pili tushaanza kujudge.
 
Sitetei aliyofanyiwa lakini kuna kila sababu ya kusikiliza upande wa pili pia, na uzuri watu wa Utalii huko wamesema wameanza kufanyia kazi claim zake, na kama itadhibitika ni uzembe wa hotel hiyo Hotel ifungwe pamoja na kulipa demages kwa huyo Binti..

Kufunga hoteli sio option nzuri, Kinachotakiwa ni wapigwe fain nzito, Wamlipie fidia huyo dada, Na alifayenya hilo tukio ashitakiwe.
 
Sifahamu uhalisia wa hiyo story mana wa Nigeria nao sio watu wa kuaminika kiivo, ila kwa kweli kuna haya ambayo mimi nimeyaona

Usalama kwa watalii ni mdogo sana,
Maeneo ya kitalii kuna vibaka,
Wale wanaojiita ma beach boyz wengi wao ni kero kwa watalaii mana ni wezi.
Polisi hawapo makini kabisa na usalama wa watalii.
Wafanyakazi wa kwenye mahoteli wengi wao ni wezi.

Sifa kubwa ya utalii hapa kwetu ilikua ni Usalama kwa watalii, ILa kwa sasa tunakoelekea tunakwenda kupoteza soko.
 
Back
Top Bottom