42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Nmeamka asubuhi asubuhi hii Tanzania is trending on twitter.
Baada ya kuingia nimekuta huyo dada mnaijeria anaitwa Zainab amesimulia kisa chake cha kutaka kubakwa pamoja na kuibiwa pesa zake.
Unaweza kusoma kisa chake hapa 👇🏾👇🏾
Hiki kisa kimetokea mwaka mmoja uliopita lakini amekisimulia jana na kitu kizuri zaidi she was taking photos and videos za mambo mbalimbali yaliyojiri kuanzia hotelini mpaka polisi.
Kwa kifupi tu....
Ilikuwa inaelekea 23rd birthday yake so alidecide kutoka Nigeria kwenda Vacation Zanzibar for 6 days kwenye hotel moja inaitwa Werere Beach Hotel. Hii ni 4 star hotel.
Mambo yalikuwa poa tu toka amefika lakini Nightmares zilianza siku ya birthday almost saa 8 usiku. Nadhani ilikuwa siku ya pili tokea afike.
Anasema akiwa amelala alikuwa hajavaa chochote. Around hiyo saa 8 alianza kufeel kama mtu anamshika matiti baadae yule mtu akamshikisha penis hapo ndoto tena.
Baada ya kushtuka zikaanza purukushani the guy was trying to rape her. Anasema kilichomsaidia kuna muda alimuomba sana huyo jamaa kwamba kama inawezekana watumie condom sababu yeye ana HIV. Hiki ndo kitu kilimuokoa.
So huyo jamaa[the rapist] akafikiria baadae akaamua kuondoka aende akafate condom.
Hapo ndo dame alipata chance ya kusepa na aliamua kwenda kuomba hifadhi kwenye room moja ambayo ilikuwa na couple ya warusi[she met them before that night].
Before aende kwenye hiyo Room ya hao Russian's Couple anasema reception hakukuwa mtu/watu, simu zao hazikuwa zinafanya kazi so hakuwa na option.
She stayed kwenye hiyo room mpaka asubuhi. Alipokuja kurudi kwenye chumba chake she found her money was stolen [$1100].
Asubuhi hiyo wakaenda polisi akaandikisha maelezo na police wakamshauri kwamba aende hospital akapime.
akaenda hospital akapima ikaoneakana hakukuwa na penetration yoyote.
So kuja kurudi polisi, Ni kama polisi waliimaliza hiyo ishu kwa hoja ya kwamba hakukuwa na penetration so no rape. Hawakujishughulisha hata kuhangaika na nani alitry kufanya kufanya hicho kitendo cha ubakaji na nani aliiba hela za huyo dada, Kwa 4 star hotel haiwezi kukosa CCTv camera.
Yeye mwenyewe huyo dada ameisimulia vizuri sana hiyo story. Nimeweka link ya twitter pale juu.
Werere Beach Hotel Boycott
Kabla huyu dada hajapost kisa chake twitter hiyo Hotel ilikuwa na Rating ya 4.5 Star mtandaoni.
Aiseee kutoka jana Nigerians wenyewe, Kenyans, South Africans n.k. wameiboycott hiyo Hotel and now imebakiwa na 1.1 star only.
Mpaka jana usiku saa mbili kulikuwa na Reviewers 1800+ na rating ilikuwa 1.4 star
This morning mpaka muda huu naandika kuna reviewers zaidi ya 10600 na rating ni 1.1 star.
Unadhani kuna mtalii serious ataenda kwenye hiyo Hotel?
Mmiliki wa Hotel amepata faida gani?
The Worst Part
These people are not only boycotting Werere Beach Hotel ila wanaiboycott zanzibar and Tanzania as a whole sababu response mbovu kutoka kwa police officers.
Lini tutabadilika?
Tuje kwa watanzania
Ukisoma comment za baadhi ya watanzania unapata kichefu chefu.
Unakutana na comments kama hiziii
####
Aiseeee we are so stupid.
Haya mambo hayatusaidii hata kidogo. Hiyo thread huko twitter inatembea kama moto.
Baada ya kuingia nimekuta huyo dada mnaijeria anaitwa Zainab amesimulia kisa chake cha kutaka kubakwa pamoja na kuibiwa pesa zake.
Unaweza kusoma kisa chake hapa 👇🏾👇🏾
Hiki kisa kimetokea mwaka mmoja uliopita lakini amekisimulia jana na kitu kizuri zaidi she was taking photos and videos za mambo mbalimbali yaliyojiri kuanzia hotelini mpaka polisi.
Kwa kifupi tu....
Ilikuwa inaelekea 23rd birthday yake so alidecide kutoka Nigeria kwenda Vacation Zanzibar for 6 days kwenye hotel moja inaitwa Werere Beach Hotel. Hii ni 4 star hotel.
Mambo yalikuwa poa tu toka amefika lakini Nightmares zilianza siku ya birthday almost saa 8 usiku. Nadhani ilikuwa siku ya pili tokea afike.
Anasema akiwa amelala alikuwa hajavaa chochote. Around hiyo saa 8 alianza kufeel kama mtu anamshika matiti baadae yule mtu akamshikisha penis hapo ndoto tena.
Baada ya kushtuka zikaanza purukushani the guy was trying to rape her. Anasema kilichomsaidia kuna muda alimuomba sana huyo jamaa kwamba kama inawezekana watumie condom sababu yeye ana HIV. Hiki ndo kitu kilimuokoa.
So huyo jamaa[the rapist] akafikiria baadae akaamua kuondoka aende akafate condom.
Hapo ndo dame alipata chance ya kusepa na aliamua kwenda kuomba hifadhi kwenye room moja ambayo ilikuwa na couple ya warusi[she met them before that night].
Before aende kwenye hiyo Room ya hao Russian's Couple anasema reception hakukuwa mtu/watu, simu zao hazikuwa zinafanya kazi so hakuwa na option.
She stayed kwenye hiyo room mpaka asubuhi. Alipokuja kurudi kwenye chumba chake she found her money was stolen [$1100].
Asubuhi hiyo wakaenda polisi akaandikisha maelezo na police wakamshauri kwamba aende hospital akapime.
akaenda hospital akapima ikaoneakana hakukuwa na penetration yoyote.
So kuja kurudi polisi, Ni kama polisi waliimaliza hiyo ishu kwa hoja ya kwamba hakukuwa na penetration so no rape. Hawakujishughulisha hata kuhangaika na nani alitry kufanya kufanya hicho kitendo cha ubakaji na nani aliiba hela za huyo dada, Kwa 4 star hotel haiwezi kukosa CCTv camera.
Yeye mwenyewe huyo dada ameisimulia vizuri sana hiyo story. Nimeweka link ya twitter pale juu.
Werere Beach Hotel Boycott
Kabla huyu dada hajapost kisa chake twitter hiyo Hotel ilikuwa na Rating ya 4.5 Star mtandaoni.
Aiseee kutoka jana Nigerians wenyewe, Kenyans, South Africans n.k. wameiboycott hiyo Hotel and now imebakiwa na 1.1 star only.
Mpaka jana usiku saa mbili kulikuwa na Reviewers 1800+ na rating ilikuwa 1.4 star
This morning mpaka muda huu naandika kuna reviewers zaidi ya 10600 na rating ni 1.1 star.
Unadhani kuna mtalii serious ataenda kwenye hiyo Hotel?
Mmiliki wa Hotel amepata faida gani?
The Worst Part
These people are not only boycotting Werere Beach Hotel ila wanaiboycott zanzibar and Tanzania as a whole sababu response mbovu kutoka kwa police officers.
Lini tutabadilika?
Tuje kwa watanzania
Ukisoma comment za baadhi ya watanzania unapata kichefu chefu.
Unakutana na comments kama hiziii
####
Aiseeee we are so stupid.
Haya mambo hayatusaidii hata kidogo. Hiyo thread huko twitter inatembea kama moto.