Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,613
Assumption yako hapa ni biashara ilikuwa yake. Na kuwa alikuwa na wateja. Let say hakuwa na biashara alikuwa anamsaidia baba yake kwenye kufanya kazi na hakujihusisha na wateja in whatever way, huyo ni fundi au mfanyabiashara? Au labda kama alijifunza akafanya kidogo akapotelea hekaluni kufundisha huko?Au labda niulize swali.Furniture alikuwa anamtengenezea Nani Kama hakuwa nawateja?
Najua hizi ni speculations lakini yote haya pia yanawezekana na strongly suggested kama nilivyoonesha kwenye other post. Sasa kwa kuwa mko dogmatic kuwa alikuwa anafanya biashara (mwezako kasema kabisa kuwa lazima anajua marketing et al) sasa mtuletee andiko. Ni hilo tu...!