Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndivyo inavyotakiwaHata sikuwepo, hivyo naamini tu
Wewe na Thomas mfuasi wa Yesu nani anasema ukweli? Thomas anasema hivi alivyoambiwa na mitume wenzake kwamba wametokewa na Bwana Yesu. John 20:24-25: Thomas, called the Twin, who was one of the Twelve, was not with them when Jesus came. So, the other disciples said to him, "We have seen the Lord," but he answered, "Unless I can see the holes that the nails made in his hands and can put my finger into the holes they made, and unless I can put my hand into his side, I refuse to believe." Kwa hiyo, hayo matobo ya misumari kayaweka nani au yalitoka wapi?Wachoraji wa picha za Yesu akiwa msalabani mnatakiwa kuelewa historia ya ile adhabu ya kifo enzi zile. Misumari ilikuwa inapigwa hapo mahali unapovaa saa ya mkononi siyo katikatiya kiganja kama picha nyingi zinavyoonyesha.
Sababu ni kwamba wangepiga misumari katikati ya kiganja na kumning'iniza mtuhumiwa msalabani basi misuli ya viganja haingeweza kuhimili uzito wa mwili na viganja vingechanika na msulibiwa kuanguka chini.
Upo ushahidi wa kutosha wa sayansi ya manbo ya kale uliogundua mifupa ya waliosulibiwa ikonyesha mahali misumari ilipopigiliwa.
Ndugu zetu Mashahidi wa Yehova huwa wanachora kwa usahihi japo kuna ubishi kama msalaba ulikuwa ni nguzo moja au mbili. Wachoraji wetu rekebisheni hilo tafadhali.
Umesema Yesu na mudy n story tuu halafu tena unasema tutoe sadaka na kusali na tutamuona Yesu 🗑️Asante sana.
Ila YESU & MUDY ni story kama ya Pazi na Jogoo.
Toa sadaka sana, sali sana utamuona YESU.
Mathanzua Rabbon Yesu AnakujaWachoraji wa picha za Yesu akiwa msalabani mnatakiwa kuelewa historia ya ile adhabu ya kifo enzi zile. Misumari ilikuwa inapigwa hapo mahali unapovaa saa ya mkononi siyo katikatiya kiganja kama picha nyingi zinavyoonyesha.
Sababu ni kwamba wangepiga misumari katikati ya kiganja na kumning'iniza mtuhumiwa msalabani basi misuli ya viganja haingeweza kuhimili uzito wa mwili na viganja vingechanika na msulibiwa kuanguka chini.
Upo ushahidi wa kutosha wa sayansi ya manbo ya kale uliogundua mifupa ya waliosulibiwa ikonyesha mahali misumari ilipopigiliwa.
Ndugu zetu Mashahidi wa Yehova huwa wanachora kwa usahihi japo kuna ubishi kama msalaba ulikuwa ni nguzo moja au mbili. Wachoraji wetu rekebisheni hilo tafadhali.
Wachoraji wa picha za Yesu akiwa msalabani mnatakiwa kuelewa historia ya ile adhabu ya kifo enzi zile. Misumari ilikuwa inapigwa hapo mahali unapovaa saa ya mkononi siyo katikatiya kiganja kama picha nyingi zinavyoonyesha.
Sababu ni kwamba wangepiga misumari katikati ya kiganja na kumning'iniza mtuhumiwa msalabani basi misuli ya viganja haingeweza kuhimili uzito wa mwili na viganja vingechanika na msulibiwa kuanguka chini.
Upo ushahidi wa kutosha wa sayansi ya manbo ya kale uliogundua mifupa ya waliosulibiwa ikonyesha mahali misumari ilipopigiliwa.
Ndugu zetu Mashahidi wa Yehova huwa wanachora kwa usahihi japo kuna ubishi kama msalaba ulikuwa ni nguzo moja au mbili. Wachoraji wetu rekebisheni hilo tafadhali.
Mkuu kiganja cha mkono hakina misuli peke yake bali kuna kitu kingine imara sana kwenye kiganda kinaitwa TENDON.basi misuli ya viganja haingeweza kuhimili uzito wa mwili na viganja vingechanika na msulibiwa kuanguka chini.
Maana yake, mjinga muache na ujinga wake....Umesema Yesu na mudy n story tuu halafu tena unasema tutoe sadaka na kusali na tutamuona Yesu 🗑️
Fanya tafiti. Kuna maandiko yanayoeleza palikuwepo mtu aitwaye YESU wa nazareti na aliuwawa na makuhani kupitia pilato sababu ya kuingilia biashara za watu kwa kuzuia biashara kwenye masinagogi. Binafsi nilisikiliza documentary nadhani ni chanell ya HISTORY.Hakuna ushahidi wowote wa kihistoria kwamba kuna mtu aliwahi kuishi anaeitwaYesu, achilia mbali msalaba kuwa nguzo.
Stupid manWachoraji wa picha za Yesu akiwa msalabani mnatakiwa kuelewa historia ya ile adhabu ya kifo enzi zile. Misumari ilikuwa inapigwa hapo mahali unapovaa saa ya mkononi siyo katikatiya kiganja kama picha nyingi zinavyoonyesha.
Sababu ni kwamba wangepiga misumari katikati ya kiganja na kumning'iniza mtuhumiwa msalabani basi misuli ya viganja haingeweza kuhimili uzito wa mwili na viganja vingechanika na msulibiwa kuanguka chini.
Upo ushahidi wa kutosha wa sayansi ya manbo ya kale uliogundua mifupa ya waliosulibiwa ikonyesha mahali misumari ilipopigiliwa.
Ndugu zetu Mashahidi wa Yehova huwa wanachora kwa usahihi japo kuna ubishi kama msalaba ulikuwa ni nguzo moja au mbili. Wachoraji wetu rekebisheni hilo tafadhali.
Anakuja indeed,kwa hiyo semantics kama hizi hazina umuhimu kwetu sisi tunaomsubiri Bwana Yesu.This is distraction.Jambo la msingi kwetu ni kwamba aliangikwa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu and through the shedding of His blood we are cleansed of all sin.
Nilidhani utanipa link ya Biblia kumbe ni uzushi wa mtu mmoja mtandaoni.Pia haikuwa msalabani ni mtini(nguzo)
Ukatoliki ume- hijack tu the Christian concept mkuu,.infacf Mtume Paulo ndiye aliye-venture up to Spain akihubiri Injili,Peter never even went to Rome, ni uzushi tu wa Wakatoliki.wapagani wamechakachua sana historia kwa manufaa yao. Yesu alikuwa muyahudi na dini aliitangaza huko kwao leo hii tunaambiwa dini ipo Rome