Madhehebu yote chanzo ni mayahudi.
Mtume hakuwa na dhehebu na hivyo waislam halisi hatuna dhehebu.
Madhehebu nayo hawana yakini.
Kama ilivyokuwa kwa Socrates, yesu nae alikuja kupambana. Na dola ya rumi. Dr Paul akafanya mambo yake.
Kwa kuwa alikuwa ni mwanafalsafa nguli baada ya Socrates, plato, Aristotle.
Ndio wao pekee wenye influence kubwa duniani. Socrates alikunywa sumu kama hukumu kali ya kifo kwa wakati huo. Ktk kipindi cha yesu, kusulubiwa ilikuwa ni adhabu ya laana kwa itikadi ya warumi.
Kumtetea yesu kuwa akiuwawa ni kumtoa ktk adhabu ya laana. Na Quran inamteta hawakumuuwa.
Na hawakumuuwa kwasasa kabla hajaanza mateso aliniomba Allah, au Elio kwa kiibrania. Elio Elio mbona umeniacha.
wakristo wote nchini kama kweli wanataka kuwa ni wafuasi wa kweli wa yesu, basi sunna ni kupigania utawala wa wahalifu. Na ikibidi wakubali kusulubiwa kama ilivyotokea kwa waislam.
Kuanzia uamsho, hadi mzee medi.
Wamesulubiwa.
Je ninyi mko tayari kumfata yesu kwa ku juu ubali kusulubiswa na mapilato wa Enzi hizi.
Naamini damu yenu itakuwa ukombozi. Lkn yale mafundisho ya paulo kuwa yesu atakujomboa okiwa unaimbia na kumtaja saba mchana wa jua kali na maspika ktk maeneo ya watu wenye pesa. Tujue tumeingizwa cha kike.
Kuwa fanya zinaa, kunywa pope beana yesu keshabena sambi sako. Tutafakari ukya.
Kama ilivyo kwa muhamadu alitokea akapinga watawala, akashinda, waktristo kuweni jama yesu na Muhamad. Wote mujipambanue kuwa ni chadema nasi tutakuja kuwaunga mkono.
Yalikuwa ni mazungumzo baada ya kifalsafa.
Bt Take it easy