Medicine is not curative only but preventive too. Hivyo mtu kumuhitaji daktari si lazima awe mgonjwa anaweza kwenda kwa ajili ya kinga.
Divorce ya mke ni maana ya leo sio ya karne ya kwanza. Engagement na maruage ilikuwa ni agano la kuachana kwa divorce (hati).basi waandishi walijichanganya,mchumba hawezi kupewa talaka,
na kwanini joseph unadhan aliahirisha kumpa talaka ili kumfichia aibu mary?.
Aibu ipi,kupewa ujauzito na mungu kuna aibu gani?.
Point yangu hapa ni neno divorce,
huwezi kumdivorce mtu kama hamjawa tayari mke na mme,
ndo maana anaitwa the husband badala ya mchumba,fiencee
Pigo takatifuYakobo 1:17
Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka.
phew..very tired now,with this mind bending discussion,Divorce ya mke ni maana ya leo sio ya karne ya kwanza. Engagement na maruage ilikuwa ni agano la kuachana kwa divorce (hati).
phew..very tired now,with this mind bending discussion,Divorce ya mke ni maana ya leo sio ya karne ya kwanza. Engagement na maruage ilikuwa ni agano la kuachana kwa divorce (hati).
Nimesema maandiko wapi niliposema mimi, na kama kuna maandiko yanakubali basi kuna mengine yanakataa humo humo kwenye bible, basi bible inapingana sanaYanakataa au wewe ndio unakataa???
Kwanini uwezo wako mdogo wa kuelewa unaihusisha bible?Nimesema maandiko wapi niliposema mimi, na kama kuna maandiko yanakubali basi kuna mengine yanakataa humo humo kwenye bible, basi bible inapingana sana
Bending? Fuatilia historia ya matumizi ya maana ya maneno throughout centuries then you know what I mean. Democrasia ya Aristotle sio maana ya leo.phew..very tired now,with this mind bending discussion,
muniombeee
Maryam hakuongea na mungu moja kwa moja.isipokua mungu alimtuma mwakilishi kama ilivyokua kwa manabii waliotangulia wanapopewa utume kupitia malaika Gabriel isipokua moses(mfano wa Mohammed) peke yake ambaye yeye alipewa utume na mungu mwenyewe.na mohammed kupitia jibril.View attachment 407842Muislam hata Quran hujui utaiwez Biblia?
Bible najua kidogo maana tulisoma chuoni na ilikua lazima na Quran nimezaliwa nayo na aliyeniumba akipenda nitakufa nayo na nitafufuliwa nayo na nitaingia pepeoni nayo na nitadumu nayo pia mpaka mmiliki atakapo amuaView attachment 407842Muislam hata Quran hujui utaiwez Biblia?
Ze seeker we ni msema kwel Mkuu hongera kwa hilo,Allah(s.w) akupe tawfiq!!..Bible najua kidogo maana tulisoma chuoni na ilikua lazima na Quran nimezaliwa nayo na aliyeniumba akipenda nitakufa nayo na nitafufuliwa nayo na nitaingia pepeoni nayo na nitadumu nayo pia mpaka mmiliki atakapo amua
Nilichogundua ni kuwa akil huna,umekaririshwa ujinga unatak kusumbua watu!!..acha niendelelee kuamin na wew endelea kumwamin huyo WAMAPANGONIHayo maandiko yako uliyotoa kama ungekuwa unatumia akili kufikiria. Kwahiyo yesu alijizaa? Na je yesu huyo huyo ni mwana na ndio huyo huyo baba? Shirikisha ubongo wako?
Ngoja nilale mkuu kesho nayabandika hapa yote,MTUME wao kawadangany kinona,1:ETI WAKIKOSWA MAJI BAAD YA KUTOK CHOON AU KUFANYA MAPENZI WAJIPAKE UDONGO USON NA NA MIKONON SI0 WEHU UO?imekaa vizuri Sura halisi ya Koran.... Kumbe Pepo ya Uislam ina Vilevi? kwa wale wanywao... nadhani watakafika huko break ya kwanza ni kwenye huo mto wa ulevi sipati picha wakitapika...
Hapo ndipo kuna utofauti na Pepo ya Wakristo inasema huko Hakuna kula,kuugua wala Mateso..
Mkuu weka na kile kipande cha Wanawake wenye makalio makubwa Saba peponi yaani ukifika huko ni kula mzigo mwanzo mwisho... ila Sharti lake ufanye Ugaidiππππ
Ghafla visenti sina nimerudi Jamii forums....π
Ze seeker kifup ni kuw hakuna nabii yeyote aliyewah kuwep dunian wala Mtume yeyote wala malaika aliye mkuu kumshinda YESU jaman,anza na Ibrahim,Musa,Suleiman,yona(yunus) Yohana Mbatizaj(Yahya)Daud,Muhammad,hata Malaika Jibril(Gabriel) halingan CHEO na Yesu,USHAHIDI,(Baada ya kusoma haya niambie YESU ni nan?..Maryam hakuongea na mungu moja kwa moja.isipokua mungu alimtuma mwakilishi kama ilivyokua kwa manabii waliotangulia wanapopewa utume kupitia malaika Gabriel isipokua moses(mfano wa Mohammed) peke yake ambaye yeye alipewa utume na mungu mwenyewe.na mohammed kupitia jibril.
Swali jiulize Nani aliyempulizia Roho ya Uzima Nabii Adam na Yesu(Isa).kisha angalia nani aliyepata uzima kwa neno?na kama kila kitu kiumbwacho kwa neno ni mungu basi hata wanyama(manyani n.k) ni miungu pia.na vinginevyo.
Vile vile jiulize wewe malaika yupi aliye wakilisha roho wakati upo kwa mama yako(na mikataba gani ulisaini ingawaje sasa umesahau.na nani atakufisha)fikiria kijana......
mmoja wa wanafunzi wake alimuuliza akisema ""tuonyeshe baba yatosha,naye akawajibu akisema muda wote nimekaa nanyi hamjamjua baba?baba yu ndani yangu nami ni ndani ya baba"""Nilichoeleza mimi ni kwamba Yesu sio Mungu. Na ndio maana nimetoa andiko la yohana 20:17 yesu akisema kuwa Mungu wake anayemuabudu yeye ndio Mungu wetu sisi sote. Sasa toa wewe ufafanuzi wa yohana 20:17