Aya haikutaja Kanisa, ilaha imesema!; Wale wasemao sisi ni 'WAKRISTO' Sawa?¿ sasa leta mazwazwa manake nyie waislamu dirisha dogo hamwishi mikelele kama alivyo bainisha allah. hhhhhhhhh...
Jotu hawa WATU ni wepesi sana hata wakija wote Mkuu!!..Dukeson ulikuwa wapi hukuonekana muda mrefu. We ni size yao.
Usijipakazie hapo padri haingii , nyinyi ni washirikina ,mumemshirikisha Mungu na viumbe vyake
Naku admire sana mkuu.Jotu hawa WATU ni wepesi sana hata wakija wote Mkuu!!..
Kwa maoni yako au Allah? toka huko dogo anzisha deen yako kuliko kukosoa kauli ya Allah as if in babu yako...
tuko zizi moja [emoji4]Jesus is basically GOD,thanks for acceptance Mr Mgen!!..
Waliotajwa hapo.
Kuna nini waislamu? wewe huna ilimu kumzidi shehe, qadi Abdallah saleh Farsii alie itafsir lile daftari lenu!; sasa kasome tafsir yake @q.5:82 ufunguke babu jingo...hhhhhhhhhh..Hapo hakuna mkristo . Kwa kiarabu mkristo huitwa nani???? Quran imemtaja nani?
Kuna nini waislamu? wewe huna ilimu kumzidi shehe, qadi Abdallah saleh Farsii alie itafsir lile daftari lenu!; sasa kasome tafsir yake @q.5:82 ufunguke babu jingo...hhhhhhhhhh..
Allah hajawi kuoneka a na kiumbe yoyote tangu zama zisizohesabika. Wewe ni nani ujifanye una ushahidi kuwa yupo? Wakati hata Muhamad hajawahi kumuona hadi amekufa bila kumuona? Allah ni story tu kama za abunuwas. Bora huyo Mungu wa Wakristu amewahi kuonekana.
Toa majibu wacha kujitekenya mwenyewekaonekana kwenye ile filamu ya yule Mmarekani ????
Naombeni mwenye ushahidi wa Allah kuwahi kuonekana na atuwekee hapa
Anayetafsiri ni binadamu , Unataka quran ikutetee lakini humo. wewe ni mshirikina unayemuabudu kiumbe anayekula na kwenda haja kubwa na ndogo kama binadamu wengine.
mkristo kwa kiarabu anaitwaje ??? na quran imemtaja nani kwenye hiyo aya uliyoitoa ???
Nikisema hata Quran yenu HAMUIJUI MNAKATAA,hamna namna nitaendlea kuwapa somo,Usijipakazie hakuna aya iliyomtaja mkristo katika quran
Nikisema hata Quran yenu HAMUIJUI MNAKATAA,hamna namna nitaendlea kuwapa somo,View attachment 410360View attachment 410361
Sio bonde la tuwa alipo onekana kama chaka...?kaonekana kwenye ile filamu ya yule Mmarekani ????