Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
To any Muslim prove to me Kaaba existed before 600 AD. Maana navyosikia Abraham ndo alitengeneza Kaaba ni Abraham huyu huyu ninayemjua au mbona hakuna hata neno moja kuhusu Kaaba kwenye bible kama ndio the most holy place of Allah.. HATUWEZI KUWA TUNAABUDU MUNGU MMOJA..
 
Soma bible bro, muombe mungu akuonyeshe ukweli upo wap. anayemkana Yesu tayari amekwishahukumiwa, message ya ukristo ni hiyo hiyo kuwa yesu ni mwana wa mungu,amefufuka katika wafu miaka na miaka tangu 1st century AD.Ukitaka kuelewa bible Fanya a honest study sio kusoma kwa lengo la kucriticize kutafuta verse moja yenye utata halaf verse zinazofuata zinakuprove wrong..Ukitaka kuelewa yesu jifunze kutoka kwa wafuasi wake tangu enzi za Petro,Yohana na kuendelea Fanya honest study ya history of Christianity.. Yesu wa kwenye Quran is unhistorical haexist.
Yesu ni mwana wa Mungu kama hawa hapa. Maana kama kuwa mwana wa mungu ndio kuwa na uungu basi mna miungu mingi sana.

Mungu alimwita Israeli (Nabii Yakubu) “Mwanawe” pale alipomuelekeza Mtume Musa aende kwa Firauni katika Kutoka 4:22-23, “Nawe umwambie Farao, BWANA asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu; nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia…”

Katika 2 Samweli 7:13-14, Mungu anamwita Nabii Suleimani Mwanawe, “Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa jina langu, nacho kiti cha enzi cha ufalme wake nitakifanya imara milele. Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu…”

Mungu alimuahidi Nabii Daudi kumfanya mwanawe katika Zaburi 89:26-27: “Yeye ataniita, Wewe baba yangu, Mungu wangu na mwamba wa wokovu wangu. Nami nitamjalia kuwa mzaliwa wangu wa kwanza, Kuwa juu sana kuliko wafalme wa dunia.”

Malaika wanachukuliwa kuwa ni “wana wa Mungu” katika kitabu cha Ayubu 1:6, “Ilikuwa, siku moja ambayo hao wana wa Mungu walikwenda kujihudhurisha mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao”
 
ndugu yangy nyankundo,yakobo kapewa jina la israel ukubwani,takriban miaka kumi na tano baada ya kuzaliwa ISHMAEL.

POINT hapa ni jina El,
kumbuka wakati waebrania wanakuja caanan kutoja iraq waliwakuta wacaanan wakiabudu mungu alieitwa El,kabla hata ya mungu yehova hajatokea,
maana yake ni kuwa abrahamu alikuwa akiabudu mungu El,
ni uongo kusema mungu alitaja jina lake kwa mara ya kwanza mbele ya yakobo,vinginevyo yakobo angeitwa israyahwh.
El ni jina la mungu huyo yehova ni mungu fake na sasa.
Logic ni kuwa El ndo huyohuyo Allah au pengine hata Elloh.

Sijui kwanini hawa wagalatia kila baada ya miaka 50 wanabadili jina la mungu wanaeabudu,saa hizi wanasema kumbe mungu wao anaitwa yesu na si jehova tena,ha ha ha ha
wewe unatumia kiungo gani ktk Tafakari? Tatizo sio jina wewe Nina linaweza likabadilika ilaha Huyo unaemuabudu jee ni Allah?¿ hiyo ndio hoja!; sasa tutafakari pamoja....
 
Yesu ni mwana wa Mungu kama hawa hapa. Maana kama kuwa mwana wa mungu ndio kuwa na uungu basi mna miungu mingi sana.

Mungu alimwita Israeli (Nabii Yakubu) “Mwanawe” pale alipomuelekeza Mtume Musa aende kwa Firauni katika Kutoka 4:22-23, “Nawe umwambie Farao, BWANA asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu; nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia…”

Katika 2 Samweli 7:13-14, Mungu anamwita Nabii Suleimani Mwanawe, “Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa jina langu, nacho kiti cha enzi cha ufalme wake nitakifanya imara milele. Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu…”

Mungu alimuahidi Nabii Daudi kumfanya mwanawe katika Zaburi 89:26-27: “Yeye ataniita, Wewe baba yangu, Mungu wangu na mwamba wa wokovu wangu. Nami nitamjalia kuwa mzaliwa wangu wa kwanza, Kuwa juu sana kuliko wafalme wa dunia.”

Malaika wanachukuliwa kuwa ni “wana wa Mungu” katika kitabu cha Ayubu 1:6, “Ilikuwa, siku moja ambayo hao wana wa Mungu walikwenda kujihudhurisha mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao”

Sasa utafakari!; jee hicho ulicho andika Mimi na wewe tunakubaliana na itikadi hiyo ya Uwana wa Mungu!; jee hicho kiumbe unacho kiabudu anakubaliana na sisi?¿ yeye anasema inayumkinikaje awe na mwana hali hana mkee? Pia rejea suratul tawba aya ya 30 uone kufru ya unae muabudu...
 
Wee unayajua matusi? Mudi ndie mtukanaji dogo...toka lini mshenga auawe?


Uhusiano kati ya Ukristo na upagani

Katika kuhalalisha dini yake hiyo ya Ukristo, Bwana Paulo aliibua madai mazito kuwa ametokewa na Bwana Yesu na kumtuma aende kwa watu wa mataifa (wapagani) kuwapelekea dini (neno la Mungu)!
Uthibitisho wa hilo tunaupata katika maelezo yake (Paulo) yafuatayo kama alivyokaririwa na Biblia tukufu:

"Basi katika kazi hiyo nilipokuwa nikienda Dameski, mwenye mamlaka na maagizo ya wakuu wa makuhani; Ee Mfalme, ndipo wakati wa adhuhuri njiani naliona nuru inatoka mbinguni ipitayo mwangaza wa jua, ikinimulikia mimi, na wale waliofutana nami pande zote. Tukaanguka chini sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya Kiebrania, Sauli! Sauli! Mbona waniudhi? Ni vigumu kwako kumpiga mateke mchokoo. Nami nikasema, Wewe U nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi. Lakini inuka, usimame kwa miguu yako, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke wewe uwe mtumishi na shahidi wa mambo haya uliyoyaona, na wa mambo ambayo katika hayo nitajidhihirisha kwako; nikiuokoa na watu wako, na watu wa mataifa ambao nakutuma kwao; uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuelekea nuru, kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi". (Matendo ya Mitume 26:12-18).


Madai hayo ya Bwana Paulo ya kwamba katumwa na Bwana Yesu (a.s.) aende kwa watu wa mataifa kuwapelekea neno la Mungu, kimsingi hayakubaliki. Kwa sababu Bwana Yesu (a.s.) hana sifa ya kukiuka kauli zake mwenyewe zifuatazo:

"Hao thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, katika njia ya mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Lakini watakapowafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawaambia, Hamtaimaliza miji ya Israeli, hata ajapo mwana wa Adamu". (Mathayo 10:5-6,23)

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli". (Mathayo 15:24)
Aidha, maadai hayo ya Bwana Paulo, pia hayakubaliki kwa sababu kumwepusha mbali Bwana Yesu (a.s.) na sifa hatari ya kukiuka mipaka ya kazi yake aliyowekewa na Mungu kabla hata mwenyewe (Yesu a.s.) hajazaliwa, kama maandiko yafuatayo yanavyothibitisha ukweli huu:

"Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale tangu milele". (Mika 5:2)

"Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumba ya Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli". (Mathayo 2:6)

Kinyume na dai lake hilo, ukweli wa mambo unaonyesha kuwa Bwana Paulo alikwenda kwa watu wa mataifa (wapagani) kufuata dini yao, kama yeye mwenyewe asemavyo hapa chini:

"Lakini Kefa alipokuja Antiokia, nalishindana naye uso kwa uso, kwa sababu alistahili hukumu. Kwa maana kabla hawajaja watu kadhaa wa kadhaa waliotoka kwa Yakobo, alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa; lakini walipokuja wao, akarudi nyuma akajitenga, huku akiwaogopa waliotahiriwa. Na hao Wayahudi wengine wakajigeuza pamoja naye, hata Barnaba pia akachukuliwa na unafiki wao. Walakini, nilipoona ya kuwa njia yao haiendi sawa sawa na ile kweli ya Injili, nalimwambia Kefa mbele ya wote, Ikiwa wewe uliye Myahudi wafuata desturi za mataifa, wala si za Wayahudi, kwanini unawashurutisha mataifa kufuata desturi za Wayahudi? Sisi tulio Wayahudi kwa asili, wala si wakosaji wa mataifa, hali tukijua ya kuwa mwanadamu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria, bali kwa imani ya Kristo Yesu; Sisi tulimwamini Kristo Yesu ili tuhesabiwe haki kwa imani ya Kristo, wala si kwa matendo ya sheria; kwa maana kwa matendo ya sheria hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki. Lakini ikiwa sisi wenyewe, kwa kutafuta kuhesabiwa haki katika Kristo, tulionekana kuwa wenye dhambi, Je! Kristo amekuwa mtumishi wa dhambi? Hasha! Maana nikiyajenga tena yale niliyoyabomoa, naonyesha ya kuwa mimi mwenyewe ni mkosaji. Maana mimi kwa njia ya sheria naliifia sheria ili nimwishie Mungu". (Wagalatia 2:11-19)


Maelezo yake hayo juu, yanaonyesha jinsi Bwana Paulo alivyokuwa akimshutumu Kefa (Petro), Barnaba na Wayahudi wengine alipokutana nao huko Antiokio (kwa watu wa mataifa) kwa kutofuata kwao moja kwa moja desturi za watu wa mataifa (wapagani) kama walivyokuwa wakifanya hivyo hapo awali, kabla Wayahudi waliotoka kwa Yakobo (Myahudi) hawajaja.

Aidha, Bwana Paulo anaonekana pia hapo akimlaumu Kefa (Petro) kwa kitendo chake cha kuwashurutisha watu hao wa mataifa, yaani wapagani kufuata desturi za Wayahudi (yaani kufuata Torati ya Nabii Musa) akidai kwamba mwanadamu hatohesabiwa haki kwa matendo ya sheria; lakini kwa imani ya Kristo Yesu! Kwa maelezo yake hayo, ni wazi kuwa Bwana Paulo, Petro na wenzio wao wote yaonyesha dhahiri kuwa hawakwenda kwa watu wa mataifa huko Antiokia kwa jambo lingine lolote ila kufuata desturi za dini yao. Na kama tulivyoona hapo awali, dini yao hii watu hao wa mataifa (wapagani) ilikuwa ina miungu yao (Zeu na Herme) yenye desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu.

Pia ilikuwa na ibada zake wanazoifanyia miungu yao hiyo.

Kwa hali hiyo basi, kwa kuwa Bwana Paulo anafuata mia kwa mia desturi za dini ya watu wa mataifa, yaani wapagani, hapana shaka ni lazima pia huo ndio utakaokuwa msimamo wa dini yake ya Kikristo, kama tutakavyokuja kuona kwa urefu zaidi baadaye, In sha Allah.
 
Nataka unioneshe kwenye biblia kuliko andikwa neno ukristo. Maana umeshindwa kunipa dini ya Ibrahim sasa ni wazi hakuujua ukristo kwasababu dini ya kikristo ilianza baada ya kuondoka kwa Yesu duniani. kwa mujibu wa andiko hili.

Matendo 11:16-26

16. Nikalikumbuka neno lile la Bwana, jinsi alivyosema, Yohana alibatiza kwa maji kweli, bali ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.
17 . Basi ikiwa Mwenyezi Mungu amewapa wao karama ile ile aliyotupa sisi tuliomwamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani niweze kumpinga Mungu?
18 . Waliposikia maneno haya wakanyamaza, wakamtukuza Mungu, wakisema, Basi, Mungu amewajalia hata mataifa nao toba liletalo uzima.
19 . Basi wale waliotawanyika kwa sababu ya ile dhiki iliyotukia kwa habari ya Stefano, wakasafiri hata Foinike na Kipro na Antiokia, wasilihubiri lile neno ila kwa Wayahudi peke yao.
20 . Lakini baadhi ya hao walikuwa watu wa Kipro na Kirene, nao walipofika Antiokia wakasema na Wayahudi wa Kiyunani, wakihubiri habari njema za Bwana Yesu.
21. Mkono wa Bwana ukawa pamoja nao, watu wengi wakaamini, wakamwelekea Bwana.
22 . Habari hizo za watu hao zikafika masikioni mwa kanisa lililokuwako katika Yerusalemu; wakamtuma Barnaba, aende hata Antiokia.
23 . Naye, alipokwisha kufika na kuiona neema ya Mungu akafurahi, akawasihi wote waambatane na Bwana kwa kusudi la moyo.
24 . Maana alikuwa mtu mwema amejaa Roho Mtakatifu na imani; watu wengi wakaongezeka upande wa Bwana.
25 . Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26. hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia
Hayo mashairi ulio andika shetani hawezi kuyaghani? Peleka huko msikitini kwenye watu kama wewe ukaambulie takbir...humu Wapo ma-GT...hhhhhhhhhh....
 
Yaani inamaanisha hujui kuwa tunaamini kuwa mwana wa mungu ni divine title yani mungu ana nafsi tatu Baba ,Mwana na roho mtakatifu... Yohanna 17:5. Baba unitukuze Mimi na ule utukufu tuliokuwa nao kabla ya dunia kuwako.. Kwenye Islam Allah hana mwana na hana uwezo wa kuwa na mwana, mungu asiyeweza sio mungu tena.. Kama kuwa na mwana ni jambo baya mbona kwenye jennah(heaven) yake kuna virgins 72 ambao waislam watapewa kufanya nao sex..Hawa wote wa nini? Yesu alisema mbingun hakuna kuuoana wote Tutakuwa kama malaika. Mafundisho ya yesu na muhammad ni tofauti..
 
Uhusiano kati ya Ukristo na upagani

Katika kuhalalisha dini yake hiyo ya Ukristo, Bwana Paulo aliibua madai mazito kuwa ametokewa na Bwana Yesu na kumtuma aende kwa watu wa mataifa (wapagani) kuwapelekea dini (neno la Mungu)!
Uthibitisho wa hilo tunaupata katika maelezo yake (Paulo) yafuatayo kama alivyokaririwa na Biblia tukufu:

"Basi katika kazi hiyo nilipokuwa nikienda Dameski, mwenye mamlaka na maagizo ya wakuu wa makuhani; Ee Mfalme, ndipo wakati wa adhuhuri njiani naliona nuru inatoka mbinguni ipitayo mwangaza wa jua, ikinimulikia mimi, na wale waliofutana nami pande zote. Tukaanguka chini sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya Kiebrania, Sauli! Sauli! Mbona waniudhi? Ni vigumu kwako kumpiga mateke mchokoo. Nami nikasema, Wewe U nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi. Lakini inuka, usimame kwa miguu yako, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke wewe uwe mtumishi na shahidi wa mambo haya uliyoyaona, na wa mambo ambayo katika hayo nitajidhihirisha kwako; nikiuokoa na watu wako, na watu wa mataifa ambao nakutuma kwao; uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuelekea nuru, kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi". (Matendo ya Mitume 26:12-18).


Madai hayo ya Bwana Paulo ya kwamba katumwa na Bwana Yesu (a.s.) aende kwa watu wa mataifa kuwapelekea neno la Mungu, kimsingi hayakubaliki. Kwa sababu Bwana Yesu (a.s.) hana sifa ya kukiuka kauli zake mwenyewe zifuatazo:

"Hao thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, katika njia ya mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Lakini watakapowafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawaambia, Hamtaimaliza miji ya Israeli, hata ajapo mwana wa Adamu". (Mathayo 10:5-6,23)

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli". (Mathayo 15:24)
Aidha, maadai hayo ya Bwana Paulo, pia hayakubaliki kwa sababu kumwepusha mbali Bwana Yesu (a.s.) na sifa hatari ya kukiuka mipaka ya kazi yake aliyowekewa na Mungu kabla hata mwenyewe (Yesu a.s.) hajazaliwa, kama maandiko yafuatayo yanavyothibitisha ukweli huu:

"Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale tangu milele". (Mika 5:2)

"Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumba ya Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli". (Mathayo 2:6)

Kinyume na dai lake hilo, ukweli wa mambo unaonyesha kuwa Bwana Paulo alikwenda kwa watu wa mataifa (wapagani) kufuata dini yao, kama yeye mwenyewe asemavyo hapa chini:

"Lakini Kefa alipokuja Antiokia, nalishindana naye uso kwa uso, kwa sababu alistahili hukumu. Kwa maana kabla hawajaja watu kadhaa wa kadhaa waliotoka kwa Yakobo, alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa; lakini walipokuja wao, akarudi nyuma akajitenga, huku akiwaogopa waliotahiriwa. Na hao Wayahudi wengine wakajigeuza pamoja naye, hata Barnaba pia akachukuliwa na unafiki wao. Walakini, nilipoona ya kuwa njia yao haiendi sawa sawa na ile kweli ya Injili, nalimwambia Kefa mbele ya wote, Ikiwa wewe uliye Myahudi wafuata desturi za mataifa, wala si za Wayahudi, kwanini unawashurutisha mataifa kufuata desturi za Wayahudi? Sisi tulio Wayahudi kwa asili, wala si wakosaji wa mataifa, hali tukijua ya kuwa mwanadamu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria, bali kwa imani ya Kristo Yesu; Sisi tulimwamini Kristo Yesu ili tuhesabiwe haki kwa imani ya Kristo, wala si kwa matendo ya sheria; kwa maana kwa matendo ya sheria hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki. Lakini ikiwa sisi wenyewe, kwa kutafuta kuhesabiwa haki katika Kristo, tulionekana kuwa wenye dhambi, Je! Kristo amekuwa mtumishi wa dhambi? Hasha! Maana nikiyajenga tena yale niliyoyabomoa, naonyesha ya kuwa mimi mwenyewe ni mkosaji. Maana mimi kwa njia ya sheria naliifia sheria ili nimwishie Mungu". (Wagalatia 2:11-19)


Maelezo yake hayo juu, yanaonyesha jinsi Bwana Paulo alivyokuwa akimshutumu Kefa (Petro), Barnaba na Wayahudi wengine alipokutana nao huko Antiokio (kwa watu wa mataifa) kwa kutofuata kwao moja kwa moja desturi za watu wa mataifa (wapagani) kama walivyokuwa wakifanya hivyo hapo awali, kabla Wayahudi waliotoka kwa Yakobo (Myahudi) hawajaja.

Aidha, Bwana Paulo anaonekana pia hapo akimlaumu Kefa (Petro) kwa kitendo chake cha kuwashurutisha watu hao wa mataifa, yaani wapagani kufuata desturi za Wayahudi (yaani kufuata Torati ya Nabii Musa) akidai kwamba mwanadamu hatohesabiwa haki kwa matendo ya sheria; lakini kwa imani ya Kristo Yesu! Kwa maelezo yake hayo, ni wazi kuwa Bwana Paulo, Petro na wenzio wao wote yaonyesha dhahiri kuwa hawakwenda kwa watu wa mataifa huko Antiokia kwa jambo lingine lolote ila kufuata desturi za dini yao. Na kama tulivyoona hapo awali, dini yao hii watu hao wa mataifa (wapagani) ilikuwa ina miungu yao (Zeu na Herme) yenye desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu.

Pia ilikuwa na ibada zake wanazoifanyia miungu yao hiyo.

Kwa hali hiyo basi, kwa kuwa Bwana Paulo anafuata mia kwa mia desturi za dini ya watu wa mataifa, yaani wapagani, hapana shaka ni lazima pia huo ndio utakaokuwa msimamo wa dini yake ya Kikristo, kama tutakavyokuja kuona kwa urefu zaidi baadaye, In sha Allah.
Kwa mujibu wa Biblia Takatifu!; wewe no kafir, mpinga Kristo, na MTU wa jehannam..habari ndio hiyo babu jinga...
 
Wewe ongea maneno ya ngojera mimi nakupa andiko na wewe toa andiko. Nani alikuambia uislam haukuwepo kwanzia awali? Embu thubutu kunipa andiko linalosema 1. watu kabla ya Yesu walikuwa na dini inaitwa ukristo. Na la pili nipe aya inayosema ukristo ni dini ya Mungu.

Quran 2:213
Watu wote walikuwa ni umma mmoja. Mwenyezi Mungu akapeleka Manabii wabashiri na waonyaji. Na pamoja nao akateremsha Kitabu kwa Haki, ili kihukumu baina ya watu katika yale walio khitalifiana. Na wala hawakukhitalifiana ila wale walio pewa Kitabu hicho baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi, kwa sababu ya uhasidi baina yao. Ndipo Mwenyezi Mungu kwa idhini yake akawaongoa walio amini kwendea haki katika mambo waliyo khitalifiana. Na Mwenyezi Mungu humwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka


Ukristo ulianza baada ya Yesu kuondoka hivyo kipindi cha yesu na kabla ya yesu hakukuwa na dini inayoitwa Ukristo. Naomba ukipinga pinga kwa andiko sio porojo tu. Mimi nakupa hili. Soma matendo 11:16-26

Matendo 11:25-26

25. Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26 . hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.
NILIJUA UTAJICHANGANYA TUU,ETI MITUME NA MANABII WALIKUW WAISLAM,NGOJA NIKUFUNDISHE "MUISLAM WA KWANZA DUNIAN"NDANI YA QURAN YAKO,
1475390093270.jpg
1475390099941.jpg
1475390118181.jpg
SASA SIJUI WEWE NA MTUME WAKO NAN ANAJUA ZAID!!!..
 
To any Muslim prove to me Kaaba existed before 600 AD. Maana navyosikia Abraham ndo alitengeneza Kaaba ni Abraham huyu huyu ninayemjua au mbona hakuna hata neno moja kuhusu Kaaba kwenye bible kama ndio the most holy place of Allah.. HATUWEZI KUWA TUNAABUDU MUNGU MMOJA..
abraham alihamia caanan akiwa tayari kishavuka miaka 70 kama sikosei,history ya abraham kuanzia akiwa na mwaka mmoja hadi miaka 70 haipatikani ndani ya bible,which means bivle yenyewe iko incomplete.
Kuna mambo meeengi sana mtu anaweza kuyafanya ndani ya miaka 70.
Mfano katika maandiko ya kiislamu na kiyahudi kuna story za abrahamu akiwa kijana kuvunja masanamu ya baabake ambayo alikuwa akiyachonga na kuwauzia watu kama miungu,
kuna story ya abraham kuwekwa ndani na mfalme NIMROD kama sikosei kwa kusema kuwa mungu ni mkuu kuliko mfalme Nimrod,kuna story za abraham kuchomwa moto na asiungue kwa amri ya mfalme etc,
sasa hata kama alijenga kaaba,usidhani inaweza kuwa kubwa kama ilivyo leo,
anaweza kujenga mahali pa kusalia kwani yeye hakuabudi masanamu,kisha baada ya miaka 3000 hapohapo ndo pakachipua kaaba unayoiona leo
 
[QUOTE="mkorinto, post: 17879595, member:atakusikia emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Embu ona haya basi kabla kuhimizwa kutumia akili yako.

Ndio maana huwa tunawadharau kwa kuufananisha ukristo na mambo ya kijinga, yaani Mungu anajua lugha zote, halafu nikienda china nitafute namna china wanavyosali[emoji53] [emoji53].

Uislamu ni uniform dunia nzima na kutafsiri ni kuipunguza/kuongeza ujazo, hizi tafsiri zake za kiswahili zinaandikwa na wakristo????[/QUOTE]
Kapige azana kwa kikurya uone allah kama atakusikia na bakora za makalio utatandikwa na wafuasi wa allah...
 
Hakuna hoja ya maana uliyoandika zaidi ya pumba. Mimi sio mgeni na ukristo. Nimezaliwa kutoka kwa wazazi wa kikristo tambua ya kwamba unaongea na mtu mwenye uelewa wake na sio mshabiki wa kidini. Ibada gani utaweza kuitenda china wakati wanaongea kichina na wakati mtu hajui kichina? Hujui kitakacho kuzungumzwa hivyo hutajua nini wapaswa kufanya au kuitikiaje kutokana utofauti wa lugha. Kama ni RC umezoea kusikia kwajina la baba, na la mwana na roho mtakatifu ila ukienda kanisa la mataifa mengine hutosikia kwa jina la baba,....... bali watatamka kwa lugha zinginezo.

Wewe hujui ukristo wala harufu yake, usichekeshe watu bwana.

Ungeujua ukristo, usingeanza kubabika kuhusu kuitikia wala utafanya nini ukiwa kanisani china au japan.

Kwa akili yako wewe kusali kwa wakristo ni kupiga magoti kuimba na kuitikia?????
 
Sasa utafakari!; jee hicho ulicho andika Mimi na wewe tunakubaliana na itikadi hiyo ya Uwana wa Mungu!; jee hicho kiumbe unacho kiabudu anakubaliana na sisi?¿ yeye anasema inayumkinikaje awe na mwana hali hana mkee? Pia rejea suratul tawba aya ya 30 uone kufru ya unae muabudu...
Kwanza mimi siabudu kiumbe. Kiumbe maana yake ni chochote kilichoumbwa, unayeabudu kiumbe ni wewe. Kuhusu mwana wa mungu; mimi nimekuonesha kwamba katika biblia yako kuna neno "wana wa Mungu" kwa wengi tu zaidi ya yesu. Hivyo ukiweka kigezo cha kumfanya yesu kuwa mungu kutokana na kuandikwa kwake mwana wa mungu basi na hao wengineo pia ni miungu yenu. Quran imesema wazi kwamba Mungu hakuzaa wala kuzaliwa. Sasa ukisema kwamba itikadi yenu ni sahihi katika hoja ya uwana wa mungu ki baiolojia (kuzaa) basi naomba utoe andiko jinsi hao wana wa mungu wote hao jinsi mungu alivyowazaa. Ukishindwa kutoa andiko basi ni wazi ya kwamba suala la neno "mwana wa mungu" lipo katika biblical linguistic tu (ni swala lugha ya kibiblia tu) Ambapo wana wa mungu likiwamaanisha watu (manabii) watendao mema kwa mungu (wacha mungu) hivyo hiyo verse ya QURAN itakuwa imebakia katika uhalisia ya kwamba MUNGU HAKUZAA WALA KUZALIWA. Haya nasubiria maandiko unipe sasa.
 
Kwa mujibu wa Biblia Takatifu!; wewe no kafir, mpinga Kristo, na MTU wa jehannam..habari ndio hiyo babu jinga...


UMEISHIWA , HUWEZI KUJIBU HOJA

Nakuelimisha zaidi


Paulo Na Ukristo

• Biblia yamdhihirisha Mungu anayeabudiwa na Wakristo
• Paulo alivyoibadilisha majina "miungu-Zeu" na "Herme" ya Wapagani na kuiita "Yesu"!
• Afundisha desturi na sifa zao kuwa ni moja

Uhusiano kati ya mungu wa Ukristo na miungu ya upagani


Sambamba na imani hiyo ya watu wa mataifa au wapagani, ya kuamini miungu-watu (akina Zeu na Herme) wanayoiamini kuwa na desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu maandiko ya Biblia tukufu yanafundisha pia kuwa, muasisi wa dini ya Kikristo, Bwana Paulo naye baadae aliihubiri miungu hiyo ya wapagani lakini kwa jina lingine. Uthibitisho wa hilo tunaupata kwenye mafundisho yake mwenyewe (Paulo) yafuatayo:

"Nakuandikia hayo nikitaraji kuja kwako hivi karibuni. Lakini nikikawia upate kujua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, iliyo Kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli. Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaamniwa katika ulimwengu, akachukuliwa juu katika utukufu". (1 Timotheo 3:14-16)

"Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa Yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu, kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu." (Wafilipi 2:5-7)

Cha msingi anachofundisha Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, hapo mwanzo Yesu (a.s.) alikuwa hana tofauti yoyote na Mungu, kwa maana kwamba alikuwa ni Mungu kamili! Baadae akaona kuna umuhimu pia awe mtumwa; kwa hiyo akaamua kuuvua Uungu wake na kuuvaa mwili akawa mwanadamu kamili japokuwa roho yake iliendelea kubaki kuwa Mungu!

Aidha, kwa lugha ya jumla anachotueleza Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, kipindi fulani Yesu (s.a.) alikuwa Mungu kamili na kipindi kingine alijibadilisha akawa mwanadamu kamili japokuwa Uungu wake ukabaki nao rohoni! Kwa uchache, hivi ndivyo Bwana Paulo (muasisi wa Ukristo) afundishavyo kuhusu Mungu.

Hata hivyo, mafundisho hayo ya Bwana Paulo kwamba Yesu ni Mungu japokuwa ni mwanadamu kamili, yanapingwa vikali na mafundisho sahihi ya Bwana Yesu mwenyewe (a.s.) kama ifuatavyo:

"Na mmojawapo wa waandishi akafika, akawasikia wakisemezana naye, akatambua ya kuwa amewajibu vema, akamwuliza, katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza? Yesu akamjibu, Ya kwanza ndio hii, sikia Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja; nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote. Na ya pili ndio hii. Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi. Yule mwandishi akamwambia, Hakika, Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ile Yeye, na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhabihu zote pia. Naye Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, alimwambia, Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumsaili neno tena tokea hapo". (Marko 12:28-34)

"Yesu akamwambia. Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu". (Yohana 20:17)

Hapa Bwana Yesu (a.s.) anawafundisha wanadamu wafahamu kwamba Mungu wake na wao ni mmoja tu na daima hakuna mwingine.

Sambamba na ukweli wa mafundisho yake hayo, ni jambo lilowazi kabisa pia kwamba, hakuna mahali popote ndani ya maandiko matakatifu ambamo Bwana Yesu (a.s.) katika maisha yake yote alimowahi kukaririwa akidai Uungu japo kwa kutania. Kinyume chake tunaona mara nyingi alikaririwa akifundisha wazi wazi kuwa Yeye ni mtu (Tazama Yohana 8:40) na kusisitiza mara kwa mara kwamba yeye daima ni mwanadamu kamili (Tazama Mathayo 11:19)

Aidha, kwa kuzingatia ukweli kwamba yeye (Yesu a.s.) ni mtu na ni mwanadamu kamili kama mwenyewe alivyofundisha hapo juu, tumeona jinsi Mungu (Yehovah au Allah s.w.t.) anavyokataa kata-kata kwamba Yeye kamwe si mtu na wala si mwanadamu kwa kila hali (rejea Hesabu 23:19)

Kwa shuhuda hizo basi ni wazi kuwa Mungu aliyekuwa akimhubiri Bwana Paulo hapo ni ile ile miungu ya wapagani (akina Zeu na Herme). Kwa kutumia jina la "Yesu", hasa kwa kuzingatia desturi aliyomsifia kuwa nayo mungu wake huyo ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu i sawa na imani ile ya watu wa mataifa au wapagani katika miungu yao hiyo (Zeu na Herme).

Mafundisho kama hayo ya Bwana Paulo yamepelekea leo kuwababaisha wanadamu wamdhani Yesu kuwa ni Mungu wakati si kweli.

Sambamba na mafundisho yake hayo juu ya desturi hiyo ya miungu hiyo ya kipagani katika kutilia mkazo kwamba mungu wa dini yake ya Kikristo kwamba ana desturi ya kujibadilisha badilisha, Bwana Paulo alidiriki kudai kuwa mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" pia wakati mwingine huwa anakuwa jabali! Uthibitisho wa dai lake hilo tunaupata katika kauli yake ifuatayo:

"Kwa maana ndugu zangu sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu, wote wakapita kati ya bahari, wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari; wote wakala chakula kile kile cha roho; wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo". (1 Wakorintho 10:1-4)

Katika maelezo yake hayo juu, mwamba anaoukusudia hapo Bwana Paulo anaodai eti ulikuwa ni Kristo, yaani Yesu, ni lile jabali lililokuwa katika Horebu ambalo Nabii Musa (a.s.)kama Biblia ifundishavyo alilipiga kwa fimbo yake kisha maji yakatoka na watu wakapata kunywa (Tazama Kutoka 17:6).

Kwa maelezo yake hayo, yaonyesha dhahiri Bwana Paulo anakiri kwamba Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kutandikwa bakora na Nabii Musa (a.s.)! Ingawa Nabii Musa (a.s.) haonekani kabisa katika zama zake akiwa pamoja na Nabii Yesu (a.s).

Kwa ujumla, mafundisho hayo ya Bwana Paulo yanalenga wazi katika kuonyesha sifa kubwa ya Mungu anayemhubiri kwamba ni pamoja na kujibadilisha-badilisha katika maumbile tofauti! Ambapo desturi hiyo (ya kujibadilisha-badilisha) haipatikani isipokuwa katika imani ya wapagani juu ya miungu yao, ndivyo waiaminivyo kuwa ina sifa hiyo (kama tulivyoona hapo awali).

Na ni katika mafundisho kama hayo ya Paulo ndipo unapopatikana dhahiri shahiri uhusiano halisi wa imani ya mungu-mtu kati ya dini yake ya Kikristo na dini ya kipagani.

Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa asili ya Mungu anayeabudiwa na Wakristo inatokana na imani ya miungu-watu ya kipagani kama ile akina Zeu na Herme.
 
[QUOTE="mkorinto, post: 17879595, member:atakusikia emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Embu ona haya basi kabla kuhimizwa kutumia akili yako.

Ndio maana huwa tunawadharau kwa kuufananisha ukristo na mambo ya kijinga, yaani Mungu anajua lugha zote, halafu nikienda china nitafute namna china wanavyosali[emoji53] [emoji53].

Uislamu ni uniform dunia nzima na kutafsiri ni kuipunguza/kuongeza ujazo, hizi tafsiri zake za kiswahili zinaandikwa na wakristo????
Kapige azana kwa kikurya uone allah kama atakusikia na bakora za makalio utatandikwa na wafuasi wa allah...[/QUOTE]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji81] [emoji81] mna vituko sana humuu..[emoji15]
 
Wewe ongea maneno ya ngojera mimi nakupa andiko na wewe toa andiko. Nani alikuambia uislam haukuwepo kwanzia awali? Embu thubutu kunipa andiko linalosema 1. watu kabla ya Yesu walikuwa na dini inaitwa ukristo. Na la pili nipe aya inayosema ukristo ni dini ya Mungu.

Quran 2:213
Watu wote walikuwa ni umma mmoja. Mwenyezi Mungu akapeleka Manabii wabashiri na waonyaji. Na pamoja nao akateremsha Kitabu kwa Haki, ili kihukumu baina ya watu katika yale walio khitalifiana. Na wala hawakukhitalifiana ila wale walio pewa Kitabu hicho baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi, kwa sababu ya uhasidi baina yao. Ndipo Mwenyezi Mungu kwa idhini yake akawaongoa walio amini kwendea haki katika mambo waliyo khitalifiana. Na Mwenyezi Mungu humwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka


Ukristo ulianza baada ya Yesu kuondoka hivyo kipindi cha yesu na kabla ya yesu hakukuwa na dini inayoitwa Ukristo. Naomba ukipinga pinga kwa andiko sio porojo tu. Mimi nakupa hili. Soma matendo 11:16-26

Matendo 11:25-26

25. Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26 . hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.

Wewe nimekwambia ukristo ni baada ya kristo.nisome usikurupuke.

Harafu unaposema uislamu ni dini ya watu wakale kabla ya yesu, uje na jibu kwanini mwaka wa kiislamu mpaka sasa ni 1600???
 
Hayo mashairi ulio andika shetani hawezi kuyaghani? Peleka huko msikitini kwenye watu kama wewe ukaambulie takbir...humu Wapo ma-GT...hhhhhhhhhh....
Yaani baada ya kuleta kwa maandiko una ongea ngonjera. Mafundisho Ukristo ulianza antokia baada ya yesu kuondoka. Sasa si ukatae kwa hoja zilizowazi au huna utetezi?

Matendo 11:25-26

Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26 hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia
 
NILIJUA UTAJICHANGANYA TUU,ETI MITUME NA MANABII WALIKUW WAISLAM,NGOJA NIKUFUNDISHE "MUISLAM WA KWANZA DUNIAN"NDANI YA QURAN YAKO,View attachment 410719View attachment 410720View attachment 410721SASA SIJUI WEWE NA MTUME WAKO NAN ANAJUA ZAID!!!..

Wewe nimekwambia ukristo ni baada ya kristo.nisome usikurupuke.

Harafu unaposema uislamu ni dini ya watu wakale kabla ya yesu, uje na jibu kwanini mwaka wa kiislamu mpaka sasa ni 1600???
Kwa kukusaidia msome mkuu dukeson alichokuletea hapa.
 
wewe unatumia kiungo gani ktk Tafakari? Tatizo sio jina wewe Nina linaweza likabadilika ilaha Huyo unaemuabudu jee ni Allah?¿ hiyo ndio hoja!; sasa tutafakari pamoja....
msisitizo wake ulikua katika jina israel,
kataja abraham,isaka,yakobo ambao ndo israel,ndo maana nikamcrush kuwa yakobo jina hilo kalipatia ukubwani kwahiyo ni nickname,wakati ishmael ni jina la kuzaliwa,
pia abraham,isaka sio waisrael wala wayahudi,

sijakuelewa kuhusu allah,
nilichoonyesha ni kuwa El lilikuwa ni jina la walilotumia jamii za caanan kama MUNGU.

HOW COME JACOB akaitwa Israel kama hakuendelea kumuabudu El?.

Huyo yahw,au kwa kiswahili JEHOVA alitoka wapi,kama kweli jehova ni mungu wa yakobo,kwanini yakobo aitwe ISRAEL NA SI ISRAYAHW?
au kwani asiitwe ISRAYESU,maana kumbe mungu wa israel ndo huyo yesu sikuhizi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom