Yesu ni mwana wa Mungu kama hawa hapa. Maana kama kuwa mwana wa mungu ndio kuwa na uungu basi mna miungu mingi sana.Soma bible bro, muombe mungu akuonyeshe ukweli upo wap. anayemkana Yesu tayari amekwishahukumiwa, message ya ukristo ni hiyo hiyo kuwa yesu ni mwana wa mungu,amefufuka katika wafu miaka na miaka tangu 1st century AD.Ukitaka kuelewa bible Fanya a honest study sio kusoma kwa lengo la kucriticize kutafuta verse moja yenye utata halaf verse zinazofuata zinakuprove wrong..Ukitaka kuelewa yesu jifunze kutoka kwa wafuasi wake tangu enzi za Petro,Yohana na kuendelea Fanya honest study ya history of Christianity.. Yesu wa kwenye Quran is unhistorical haexist.
wewe unatumia kiungo gani ktk Tafakari? Tatizo sio jina wewe Nina linaweza likabadilika ilaha Huyo unaemuabudu jee ni Allah?¿ hiyo ndio hoja!; sasa tutafakari pamoja....ndugu yangy nyankundo,yakobo kapewa jina la israel ukubwani,takriban miaka kumi na tano baada ya kuzaliwa ISHMAEL.
POINT hapa ni jina El,
kumbuka wakati waebrania wanakuja caanan kutoja iraq waliwakuta wacaanan wakiabudu mungu alieitwa El,kabla hata ya mungu yehova hajatokea,
maana yake ni kuwa abrahamu alikuwa akiabudu mungu El,
ni uongo kusema mungu alitaja jina lake kwa mara ya kwanza mbele ya yakobo,vinginevyo yakobo angeitwa israyahwh.
El ni jina la mungu huyo yehova ni mungu fake na sasa.
Logic ni kuwa El ndo huyohuyo Allah au pengine hata Elloh.
Sijui kwanini hawa wagalatia kila baada ya miaka 50 wanabadili jina la mungu wanaeabudu,saa hizi wanasema kumbe mungu wao anaitwa yesu na si jehova tena,ha ha ha ha
Yesu ni mwana wa Mungu kama hawa hapa. Maana kama kuwa mwana wa mungu ndio kuwa na uungu basi mna miungu mingi sana.
Mungu alimwita Israeli (Nabii Yakubu) “Mwanawe” pale alipomuelekeza Mtume Musa aende kwa Firauni katika Kutoka 4:22-23, “Nawe umwambie Farao, BWANA asema hivi, Israeli ni mwanangu mimi, mzaliwa wa kwanza wangu; nami nimekuambia, Mpe mwanangu ruhusa aende, ili apate kunitumikia…”
Katika 2 Samweli 7:13-14, Mungu anamwita Nabii Suleimani Mwanawe, “Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa jina langu, nacho kiti cha enzi cha ufalme wake nitakifanya imara milele. Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu…”
Mungu alimuahidi Nabii Daudi kumfanya mwanawe katika Zaburi 89:26-27: “Yeye ataniita, Wewe baba yangu, Mungu wangu na mwamba wa wokovu wangu. Nami nitamjalia kuwa mzaliwa wangu wa kwanza, Kuwa juu sana kuliko wafalme wa dunia.”
Malaika wanachukuliwa kuwa ni “wana wa Mungu” katika kitabu cha Ayubu 1:6, “Ilikuwa, siku moja ambayo hao wana wa Mungu walikwenda kujihudhurisha mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao”
Wee unayajua matusi? Mudi ndie mtukanaji dogo...toka lini mshenga auawe?
Hayo mashairi ulio andika shetani hawezi kuyaghani? Peleka huko msikitini kwenye watu kama wewe ukaambulie takbir...humu Wapo ma-GT...hhhhhhhhhh....Nataka unioneshe kwenye biblia kuliko andikwa neno ukristo. Maana umeshindwa kunipa dini ya Ibrahim sasa ni wazi hakuujua ukristo kwasababu dini ya kikristo ilianza baada ya kuondoka kwa Yesu duniani. kwa mujibu wa andiko hili.
Matendo 11:16-26
16. Nikalikumbuka neno lile la Bwana, jinsi alivyosema, Yohana alibatiza kwa maji kweli, bali ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.
17 . Basi ikiwa Mwenyezi Mungu amewapa wao karama ile ile aliyotupa sisi tuliomwamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani niweze kumpinga Mungu?
18 . Waliposikia maneno haya wakanyamaza, wakamtukuza Mungu, wakisema, Basi, Mungu amewajalia hata mataifa nao toba liletalo uzima.
19 . Basi wale waliotawanyika kwa sababu ya ile dhiki iliyotukia kwa habari ya Stefano, wakasafiri hata Foinike na Kipro na Antiokia, wasilihubiri lile neno ila kwa Wayahudi peke yao.
20 . Lakini baadhi ya hao walikuwa watu wa Kipro na Kirene, nao walipofika Antiokia wakasema na Wayahudi wa Kiyunani, wakihubiri habari njema za Bwana Yesu.
21. Mkono wa Bwana ukawa pamoja nao, watu wengi wakaamini, wakamwelekea Bwana.
22 . Habari hizo za watu hao zikafika masikioni mwa kanisa lililokuwako katika Yerusalemu; wakamtuma Barnaba, aende hata Antiokia.
23 . Naye, alipokwisha kufika na kuiona neema ya Mungu akafurahi, akawasihi wote waambatane na Bwana kwa kusudi la moyo.
24 . Maana alikuwa mtu mwema amejaa Roho Mtakatifu na imani; watu wengi wakaongezeka upande wa Bwana.
25 . Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26. hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia
Kwa mujibu wa Biblia Takatifu!; wewe no kafir, mpinga Kristo, na MTU wa jehannam..habari ndio hiyo babu jinga...Uhusiano kati ya Ukristo na upagani
Katika kuhalalisha dini yake hiyo ya Ukristo, Bwana Paulo aliibua madai mazito kuwa ametokewa na Bwana Yesu na kumtuma aende kwa watu wa mataifa (wapagani) kuwapelekea dini (neno la Mungu)!
Uthibitisho wa hilo tunaupata katika maelezo yake (Paulo) yafuatayo kama alivyokaririwa na Biblia tukufu:
"Basi katika kazi hiyo nilipokuwa nikienda Dameski, mwenye mamlaka na maagizo ya wakuu wa makuhani; Ee Mfalme, ndipo wakati wa adhuhuri njiani naliona nuru inatoka mbinguni ipitayo mwangaza wa jua, ikinimulikia mimi, na wale waliofutana nami pande zote. Tukaanguka chini sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya Kiebrania, Sauli! Sauli! Mbona waniudhi? Ni vigumu kwako kumpiga mateke mchokoo. Nami nikasema, Wewe U nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi. Lakini inuka, usimame kwa miguu yako, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke wewe uwe mtumishi na shahidi wa mambo haya uliyoyaona, na wa mambo ambayo katika hayo nitajidhihirisha kwako; nikiuokoa na watu wako, na watu wa mataifa ambao nakutuma kwao; uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuelekea nuru, kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi". (Matendo ya Mitume 26:12-18).
Madai hayo ya Bwana Paulo ya kwamba katumwa na Bwana Yesu (a.s.) aende kwa watu wa mataifa kuwapelekea neno la Mungu, kimsingi hayakubaliki. Kwa sababu Bwana Yesu (a.s.) hana sifa ya kukiuka kauli zake mwenyewe zifuatazo:
"Hao thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, katika njia ya mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Lakini watakapowafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawaambia, Hamtaimaliza miji ya Israeli, hata ajapo mwana wa Adamu". (Mathayo 10:5-6,23)
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli". (Mathayo 15:24)
Aidha, maadai hayo ya Bwana Paulo, pia hayakubaliki kwa sababu kumwepusha mbali Bwana Yesu (a.s.) na sifa hatari ya kukiuka mipaka ya kazi yake aliyowekewa na Mungu kabla hata mwenyewe (Yesu a.s.) hajazaliwa, kama maandiko yafuatayo yanavyothibitisha ukweli huu:
"Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale tangu milele". (Mika 5:2)
"Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumba ya Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli". (Mathayo 2:6)
Kinyume na dai lake hilo, ukweli wa mambo unaonyesha kuwa Bwana Paulo alikwenda kwa watu wa mataifa (wapagani) kufuata dini yao, kama yeye mwenyewe asemavyo hapa chini:
"Lakini Kefa alipokuja Antiokia, nalishindana naye uso kwa uso, kwa sababu alistahili hukumu. Kwa maana kabla hawajaja watu kadhaa wa kadhaa waliotoka kwa Yakobo, alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa; lakini walipokuja wao, akarudi nyuma akajitenga, huku akiwaogopa waliotahiriwa. Na hao Wayahudi wengine wakajigeuza pamoja naye, hata Barnaba pia akachukuliwa na unafiki wao. Walakini, nilipoona ya kuwa njia yao haiendi sawa sawa na ile kweli ya Injili, nalimwambia Kefa mbele ya wote, Ikiwa wewe uliye Myahudi wafuata desturi za mataifa, wala si za Wayahudi, kwanini unawashurutisha mataifa kufuata desturi za Wayahudi? Sisi tulio Wayahudi kwa asili, wala si wakosaji wa mataifa, hali tukijua ya kuwa mwanadamu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria, bali kwa imani ya Kristo Yesu; Sisi tulimwamini Kristo Yesu ili tuhesabiwe haki kwa imani ya Kristo, wala si kwa matendo ya sheria; kwa maana kwa matendo ya sheria hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki. Lakini ikiwa sisi wenyewe, kwa kutafuta kuhesabiwa haki katika Kristo, tulionekana kuwa wenye dhambi, Je! Kristo amekuwa mtumishi wa dhambi? Hasha! Maana nikiyajenga tena yale niliyoyabomoa, naonyesha ya kuwa mimi mwenyewe ni mkosaji. Maana mimi kwa njia ya sheria naliifia sheria ili nimwishie Mungu". (Wagalatia 2:11-19)
Maelezo yake hayo juu, yanaonyesha jinsi Bwana Paulo alivyokuwa akimshutumu Kefa (Petro), Barnaba na Wayahudi wengine alipokutana nao huko Antiokio (kwa watu wa mataifa) kwa kutofuata kwao moja kwa moja desturi za watu wa mataifa (wapagani) kama walivyokuwa wakifanya hivyo hapo awali, kabla Wayahudi waliotoka kwa Yakobo (Myahudi) hawajaja.
Aidha, Bwana Paulo anaonekana pia hapo akimlaumu Kefa (Petro) kwa kitendo chake cha kuwashurutisha watu hao wa mataifa, yaani wapagani kufuata desturi za Wayahudi (yaani kufuata Torati ya Nabii Musa) akidai kwamba mwanadamu hatohesabiwa haki kwa matendo ya sheria; lakini kwa imani ya Kristo Yesu! Kwa maelezo yake hayo, ni wazi kuwa Bwana Paulo, Petro na wenzio wao wote yaonyesha dhahiri kuwa hawakwenda kwa watu wa mataifa huko Antiokia kwa jambo lingine lolote ila kufuata desturi za dini yao. Na kama tulivyoona hapo awali, dini yao hii watu hao wa mataifa (wapagani) ilikuwa ina miungu yao (Zeu na Herme) yenye desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu.
Pia ilikuwa na ibada zake wanazoifanyia miungu yao hiyo.
Kwa hali hiyo basi, kwa kuwa Bwana Paulo anafuata mia kwa mia desturi za dini ya watu wa mataifa, yaani wapagani, hapana shaka ni lazima pia huo ndio utakaokuwa msimamo wa dini yake ya Kikristo, kama tutakavyokuja kuona kwa urefu zaidi baadaye, In sha Allah.
NILIJUA UTAJICHANGANYA TUU,ETI MITUME NA MANABII WALIKUW WAISLAM,NGOJA NIKUFUNDISHE "MUISLAM WA KWANZA DUNIAN"NDANI YA QURAN YAKO,Wewe ongea maneno ya ngojera mimi nakupa andiko na wewe toa andiko. Nani alikuambia uislam haukuwepo kwanzia awali? Embu thubutu kunipa andiko linalosema 1. watu kabla ya Yesu walikuwa na dini inaitwa ukristo. Na la pili nipe aya inayosema ukristo ni dini ya Mungu.
Quran 2:213
Watu wote walikuwa ni umma mmoja. Mwenyezi Mungu akapeleka Manabii wabashiri na waonyaji. Na pamoja nao akateremsha Kitabu kwa Haki, ili kihukumu baina ya watu katika yale walio khitalifiana. Na wala hawakukhitalifiana ila wale walio pewa Kitabu hicho baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi, kwa sababu ya uhasidi baina yao. Ndipo Mwenyezi Mungu kwa idhini yake akawaongoa walio amini kwendea haki katika mambo waliyo khitalifiana. Na Mwenyezi Mungu humwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka
Ukristo ulianza baada ya Yesu kuondoka hivyo kipindi cha yesu na kabla ya yesu hakukuwa na dini inayoitwa Ukristo. Naomba ukipinga pinga kwa andiko sio porojo tu. Mimi nakupa hili. Soma matendo 11:16-26
Matendo 11:25-26
25. Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26 . hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.
abraham alihamia caanan akiwa tayari kishavuka miaka 70 kama sikosei,history ya abraham kuanzia akiwa na mwaka mmoja hadi miaka 70 haipatikani ndani ya bible,which means bivle yenyewe iko incomplete.To any Muslim prove to me Kaaba existed before 600 AD. Maana navyosikia Abraham ndo alitengeneza Kaaba ni Abraham huyu huyu ninayemjua au mbona hakuna hata neno moja kuhusu Kaaba kwenye bible kama ndio the most holy place of Allah.. HATUWEZI KUWA TUNAABUDU MUNGU MMOJA..
Hakuna hoja ya maana uliyoandika zaidi ya pumba. Mimi sio mgeni na ukristo. Nimezaliwa kutoka kwa wazazi wa kikristo tambua ya kwamba unaongea na mtu mwenye uelewa wake na sio mshabiki wa kidini. Ibada gani utaweza kuitenda china wakati wanaongea kichina na wakati mtu hajui kichina? Hujui kitakacho kuzungumzwa hivyo hutajua nini wapaswa kufanya au kuitikiaje kutokana utofauti wa lugha. Kama ni RC umezoea kusikia kwajina la baba, na la mwana na roho mtakatifu ila ukienda kanisa la mataifa mengine hutosikia kwa jina la baba,....... bali watatamka kwa lugha zinginezo.
Kwanza mimi siabudu kiumbe. Kiumbe maana yake ni chochote kilichoumbwa, unayeabudu kiumbe ni wewe. Kuhusu mwana wa mungu; mimi nimekuonesha kwamba katika biblia yako kuna neno "wana wa Mungu" kwa wengi tu zaidi ya yesu. Hivyo ukiweka kigezo cha kumfanya yesu kuwa mungu kutokana na kuandikwa kwake mwana wa mungu basi na hao wengineo pia ni miungu yenu. Quran imesema wazi kwamba Mungu hakuzaa wala kuzaliwa. Sasa ukisema kwamba itikadi yenu ni sahihi katika hoja ya uwana wa mungu ki baiolojia (kuzaa) basi naomba utoe andiko jinsi hao wana wa mungu wote hao jinsi mungu alivyowazaa. Ukishindwa kutoa andiko basi ni wazi ya kwamba suala la neno "mwana wa mungu" lipo katika biblical linguistic tu (ni swala lugha ya kibiblia tu) Ambapo wana wa mungu likiwamaanisha watu (manabii) watendao mema kwa mungu (wacha mungu) hivyo hiyo verse ya QURAN itakuwa imebakia katika uhalisia ya kwamba MUNGU HAKUZAA WALA KUZALIWA. Haya nasubiria maandiko unipe sasa.Sasa utafakari!; jee hicho ulicho andika Mimi na wewe tunakubaliana na itikadi hiyo ya Uwana wa Mungu!; jee hicho kiumbe unacho kiabudu anakubaliana na sisi?¿ yeye anasema inayumkinikaje awe na mwana hali hana mkee? Pia rejea suratul tawba aya ya 30 uone kufru ya unae muabudu...
Kwa mujibu wa Biblia Takatifu!; wewe no kafir, mpinga Kristo, na MTU wa jehannam..habari ndio hiyo babu jinga...
Kapige azana kwa kikurya uone allah kama atakusikia na bakora za makalio utatandikwa na wafuasi wa allah...[/QUOTE][QUOTE="mkorinto, post: 17879595, member:atakusikia emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Embu ona haya basi kabla kuhimizwa kutumia akili yako.
Ndio maana huwa tunawadharau kwa kuufananisha ukristo na mambo ya kijinga, yaani Mungu anajua lugha zote, halafu nikienda china nitafute namna china wanavyosali[emoji53] [emoji53].
Uislamu ni uniform dunia nzima na kutafsiri ni kuipunguza/kuongeza ujazo, hizi tafsiri zake za kiswahili zinaandikwa na wakristo????
Wewe ongea maneno ya ngojera mimi nakupa andiko na wewe toa andiko. Nani alikuambia uislam haukuwepo kwanzia awali? Embu thubutu kunipa andiko linalosema 1. watu kabla ya Yesu walikuwa na dini inaitwa ukristo. Na la pili nipe aya inayosema ukristo ni dini ya Mungu.
Quran 2:213
Watu wote walikuwa ni umma mmoja. Mwenyezi Mungu akapeleka Manabii wabashiri na waonyaji. Na pamoja nao akateremsha Kitabu kwa Haki, ili kihukumu baina ya watu katika yale walio khitalifiana. Na wala hawakukhitalifiana ila wale walio pewa Kitabu hicho baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi, kwa sababu ya uhasidi baina yao. Ndipo Mwenyezi Mungu kwa idhini yake akawaongoa walio amini kwendea haki katika mambo waliyo khitalifiana. Na Mwenyezi Mungu humwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka
Ukristo ulianza baada ya Yesu kuondoka hivyo kipindi cha yesu na kabla ya yesu hakukuwa na dini inayoitwa Ukristo. Naomba ukipinga pinga kwa andiko sio porojo tu. Mimi nakupa hili. Soma matendo 11:16-26
Matendo 11:25-26
25. Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26 . hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.
Yaani baada ya kuleta kwa maandiko una ongea ngonjera. Mafundisho Ukristo ulianza antokia baada ya yesu kuondoka. Sasa si ukatae kwa hoja zilizowazi au huna utetezi?Hayo mashairi ulio andika shetani hawezi kuyaghani? Peleka huko msikitini kwenye watu kama wewe ukaambulie takbir...humu Wapo ma-GT...hhhhhhhhhh....
NILIJUA UTAJICHANGANYA TUU,ETI MITUME NA MANABII WALIKUW WAISLAM,NGOJA NIKUFUNDISHE "MUISLAM WA KWANZA DUNIAN"NDANI YA QURAN YAKO,View attachment 410719View attachment 410720View attachment 410721SASA SIJUI WEWE NA MTUME WAKO NAN ANAJUA ZAID!!!..
Kwa kukusaidia msome mkuu dukeson alichokuletea hapa.Wewe nimekwambia ukristo ni baada ya kristo.nisome usikurupuke.
Harafu unaposema uislamu ni dini ya watu wakale kabla ya yesu, uje na jibu kwanini mwaka wa kiislamu mpaka sasa ni 1600???
msisitizo wake ulikua katika jina israel,wewe unatumia kiungo gani ktk Tafakari? Tatizo sio jina wewe Nina linaweza likabadilika ilaha Huyo unaemuabudu jee ni Allah?¿ hiyo ndio hoja!; sasa tutafakari pamoja....