Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.

sigda sigda umesha soma vitabu vilivyo kuwepo kabla ya kuluani ukaona athari ya sigda? hhhhhhhh... Umeshindwa kujibu swali eeh?!
badala ya kujibu swali lililo wazi unaongeza shaka niliyo Nayo kuhusu hill daftari menu la mashairi kwa kuniwekea eti tawheed sijui ngumu, haina shaka...hebu nitafsirie maana ya maneno haya 'dhalikal' na 'hadha' rejea kamusi ya kiarabu al munjid...tuwekee humu wewe mwenyewe! Hivi nikuulize ili ujue kuf'&r'a dhambi mpaka ujue tawheed?¿
 
Mungu akijibadilisha kama kinyonga huu ni udhaifu tayari ana shida gani kujifanya hivyo na yeye ni kila kitu?
 
Kwikwikwikwi wakorinto nimekunyooshaa! Explain hayo verse ya bible ndo uje uniambie mm nikasome.

Jamani Yoh 14:16-17 inaeleweka saana tu.

* 16Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; * 17ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu. (SWA UNION VERSION 1960)

1. Huyo Msaidizi atakaa na sisi hata milele. Hivyo si binadamu mpita njia.
2. Huyo Msaidizi ni Roho wa Kweli. Hivyo sio binadamu damu na nyama.
3.Huyo Roho dunia katika uharibifu wake haiwezi kumpokea, haonekani kwa sababu si binadamu, na hatambuliki nje ya imani kamili kwa Yesu.
4. Bila kumwamini Yesu huwezi kumwelewa wala kufikiwa na Roho Mtakatifu. Wakristo wanaomwamini Roho Mtakatifu hao humpokea na anakuwa pamoja nao na hatimaye anakuwa ndani yao akiwapa nguvu ya kuwa wakristo na ushuhuda wa Yesu.

Huyu Roho anapatikana hata katika Agano la Kale. Hakuibuka tu ghafula. Anayo historia ndefu tu toka uumbaji na hata ufufuo atakuwepo na zaidi ya hapo anahusika sana tu.

Ni makosa kudhani kuwa huyu Roho ni mtu fulani hivi aliyeishi wakati fulani hivi. Hapana
 
Mungu akijibadilisha kama kinyonga huu ni udhaifu tayari ana shida gani kujifanya hivyo na yeye ni kila kitu?
Kwa hiyo allah kuapia kwa aliye umba dhakar na ku&%$ ni dhaifu na udhaifu eeh?! allah alipogeuka kama chaka liwakalo anaongea na musa ni udhaifu eeh?! ndio sababu Muhammad alisena intelligence ya wanawake ni kiduchu mno...
 
Mungu gani anayetahiriwa kama Bina damu?

Unawazia kutahiriwa eeh?! Unaelewa Wakristo Wanaamini kwamba Yesu ni Mungu kamili na Mwanadamu kamili!; tunakushangaa unapo hoji tohara ya mwanadamu, ulitaka asitahiri kama Muhammad aliye kufa na soksi?
 
Hata ww hilo andika hujalielewa bado.

Weka dalili kama hajaelewa!; ninacho kiona hapo unapinga kwamba; atakalo Mungu hawezi na wewe umejiajiri kuwa mc wake!
 
Acha ushamba wa maandiko......hapo anaambiwa mtume wetu kuapa na siyo Mungu ndiye anayeapa wewe. Mmejitahidi sana kupotosha maandiko ili kuupakazia uislamu lakini mmekwama. Poleni sana bandugu....

ahaa kumbe quran ni maneno ya muhammax....kataa na hilo sasa... hhhhhhh...
 

sahifa sahifa...hatujadili sahifa humu Bali no vile vitabu vilivyo kamilika ambavyo vipo mikono mikononi mwetu...wengine hatutakagi ujinga...
 
sahifa sahifa...hatujadili sahifa humu Bali no vile vitabu vilivyo kamilika ambavyo vipo mikono mikononi mwetu...wengine hatutakagi ujinga...


VITABU VYA KANISA LAKO LA KIKATOLIKI VINASEMA HAYA ,


No ‘resurrection’, no Christianity

The Sinai Bible’s version of the Gospel of Mark ends its story with Mary Magdalene arriving at the tomb and finding it empty.

Yet, in modern-day versions of the Gospel of Mark, resurrection narratives now appear (16: 9-20), and the Vatican universally acknowledges that they are forgeries;

‘The conclusion of Mark is admittedly not genuine … almost the entire section is a later compilation’.

(‘Catholic Encyclopedia’, Vol., iii, p. 274, published under the Imprimatur of Archbishop Farley; also, ‘Encyclopedia Biblica’, ii, 1880; 1767, n. 3; 1781, and n. 1, on ‘The Evidence of its Spuriousness’)

The Vatican claims that ‘the resurrection is the fundamental argument for our Christian belief’ (‘Catholic Encyclopedia’, Farley Ed., Vol., xii, p. 792), adding that a resurrection and ascension of Jesus Christ is the ‘sine qua non’ of Christianity, ‘without which, nothing’ (‘Catholic Encyclopedia’, Farley Ed., Vol., xii, p. 792).


St. Paul agreed, saying; ‘If Christ has not been raised, your faith is in vain’ (1 Cor. 15:17).

Yet no appearance of a resurrected Jesus Christ is recorded in the oldest Gospel in the oldest Bible in the world.

Nor are there resurrection narratives in any other old Bibles, for a comparison shows they are non-existent in the Alexandrian Bible, the Vatican Bible, the Bezae Bible and an ancient Latin manuscript of Mark code-named ‘K’ by analysts.

Some manuscripts of the 15th and 16th centuries have the fictitious verses written in asterisks, a mark used by ancient scribes to indicate spurious passages in a literary document. Resurrection narratives are also absent in the oldest Armenian version of the New Testament, and a number of Sixth Century manuscripts of the Ethiopic version.

That is because the resurrection narratives in today’s Gospels of Mark are later priesthood forgeries.
 
Tatizo lenu mnataka kumfananisha MUNGU na baba zenu huko nyumban... Tafakar kwanza kwa kina uungu au Mungu maana yke nn hasaa
 

Sisi hatuja sikia hata siku moja hizo pumba zako zinahubiriwa Kanisani Ila kwenu miskitini...Kanisani linatajwa jina la Mungu kwa wingi sanaa kupitia al Kitabu tulicho kuwa nacho mikononi mwetu hadi allah wivu umemuwaka, kajiajiajiri mnyewe kulinda Makanisa dhidi ya makafir...hhhhhhh...
 
Nnachokion mm ww hujui kuw Mungu ana uwezo mkubwa, anaweza kufanya kitu chochote kwa wakat wowote.... Bac hivyo ndy ilvyotokea kw YESU ..... YESU NI MUNGU na n BINADAMU pia
 

Ukweli umeuona na umechagua kusuka badala kunyoa
Ni kweli vitabu hivyo hawatakiwi kondoo kusoma kwani watanyoa wote na kulihama kanisa. Mtakosa wateja
 
Nnachokion mm ww hujui kuw Mungu ana uwezo mkubwa, anaweza kufanya kitu chochote kwa wakat wowote.... Bac hivyo ndy ilvyotokea kw YESU ..... YESU NI MUNGU na n BINADAMU pia

Mungu hufanya mambo ya kiungu ndio akaitwa Mungu. Binadamu ameitwa binadamu kwa sababu hufanya mambo ya kibinadamu. Mwanamume hufanya mambo ya kiume ndio akaitwa mwanamume .Mwanamke hufanya mambo ya kike ndio akaitwa mwanamke. Mwanamume akifanya mambo ya kike ataitwa shoga. Sasa huyo mungu aliyejigeuza mwanadamu utamwita nani??? BAGUWANI????
 
Wewe unayo machapisho mangapi ya Bible?
 
Kitabu cha koran kimekopi kila kitu kutoka kwene biblia.hapo ndio utofaut wa biblia na koran.kingine koran kina hadith zao za uongo uongo tuu.
Ndio maana zinaitwa hadithi. Huwa wanasema hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
Duuu! Aiseee
 
Tatzo lako ww unachambua bible kam hadthi za Erick shigongo ... Bible n tofaut na vtabu vngine unavyo vijua ww. Unaposoma bible il uielewe vzur n lazma uongozwe na roho wa Mungu . Kam huna huyo roho utaona kam bible inakuchosha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…