Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Najua kinacho kusumbua,n wazi kuwa hukupata kulijua somo la Tawheed ndo mana unateseka na mashaka na wasiwasi, ,Lkn pata wasaa upitie Surat Mariam hio hio kuanzia aya 30-34,
Moja kati y maajabu ya kuran ni kwamba ukiwa na shaka nayo basi ukiisoma urazid kupata shaka, kwa sabb unatafuta engo za kukosoa kilicho andaliwa na aliekupa nguv na maarifa ya kusoma na kuandika na akakujaalia pumzi usio lipia,
Lkn ikiwa utaisoma kuran kwa kutaka kujua na kujifunza basi utainjoi xn,
Kwa kifupi Allah mwenye kitabu chake anasema katika surat Baqara aya ya 2 kuwa , "HIKI NI KITABU KISICHO KUWA NA SHAKA NDANI YAKE,NI UONGOZ KWA WAMCHAO(wanao muogopa) MWAENYEZIMUNGU,
Xx ndug yangu ikiwa haupo kwenye hilo kundi alilo litaja Mweny kitabu hicho basi HUTOELEWA MILELE HATA UKIWA MUISLAMU NA SIJDA KAMA JIWE.. Lazma uwe MCHAMUNGU..

sigda sigda umesha soma vitabu vilivyo kuwepo kabla ya kuluani ukaona athari ya sigda? hhhhhhhh... Umeshindwa kujibu swali eeh?!
badala ya kujibu swali lililo wazi unaongeza shaka niliyo Nayo kuhusu hill daftari menu la mashairi kwa kuniwekea eti tawheed sijui ngumu, haina shaka...hebu nitafsirie maana ya maneno haya 'dhalikal' na 'hadha' rejea kamusi ya kiarabu al munjid...tuwekee humu wewe mwenyewe! Hivi nikuulize ili ujue kuf'&r'a dhambi mpaka ujue tawheed?¿
 
Mungu akijibadilisha kama kinyonga huu ni udhaifu tayari ana shida gani kujifanya hivyo na yeye ni kila kitu?
 
Kwikwikwikwi wakorinto nimekunyooshaa! Explain hayo verse ya bible ndo uje uniambie mm nikasome.

Jamani Yoh 14:16-17 inaeleweka saana tu.

* 16Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; * 17ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu. (SWA UNION VERSION 1960)

1. Huyo Msaidizi atakaa na sisi hata milele. Hivyo si binadamu mpita njia.
2. Huyo Msaidizi ni Roho wa Kweli. Hivyo sio binadamu damu na nyama.
3.Huyo Roho dunia katika uharibifu wake haiwezi kumpokea, haonekani kwa sababu si binadamu, na hatambuliki nje ya imani kamili kwa Yesu.
4. Bila kumwamini Yesu huwezi kumwelewa wala kufikiwa na Roho Mtakatifu. Wakristo wanaomwamini Roho Mtakatifu hao humpokea na anakuwa pamoja nao na hatimaye anakuwa ndani yao akiwapa nguvu ya kuwa wakristo na ushuhuda wa Yesu.

Huyu Roho anapatikana hata katika Agano la Kale. Hakuibuka tu ghafula. Anayo historia ndefu tu toka uumbaji na hata ufufuo atakuwepo na zaidi ya hapo anahusika sana tu.

Ni makosa kudhani kuwa huyu Roho ni mtu fulani hivi aliyeishi wakati fulani hivi. Hapana
 
Mungu akijibadilisha kama kinyonga huu ni udhaifu tayari ana shida gani kujifanya hivyo na yeye ni kila kitu?
Kwa hiyo allah kuapia kwa aliye umba dhakar na ku&%$ ni dhaifu na udhaifu eeh?! allah alipogeuka kama chaka liwakalo anaongea na musa ni udhaifu eeh?! ndio sababu Muhammad alisena intelligence ya wanawake ni kiduchu mno...
 
Mungu gani anayetahiriwa kama Bina damu?

Unawazia kutahiriwa eeh?! Unaelewa Wakristo Wanaamini kwamba Yesu ni Mungu kamili na Mwanadamu kamili!; tunakushangaa unapo hoji tohara ya mwanadamu, ulitaka asitahiri kama Muhammad aliye kufa na soksi?
 
Hata ww hilo andika hujalielewa bado.

Weka dalili kama hajaelewa!; ninacho kiona hapo unapinga kwamba; atakalo Mungu hawezi na wewe umejiajiri kuwa mc wake!
 
Acha ushamba wa maandiko......hapo anaambiwa mtume wetu kuapa na siyo Mungu ndiye anayeapa wewe. Mmejitahidi sana kupotosha maandiko ili kuupakazia uislamu lakini mmekwama. Poleni sana bandugu....

ahaa kumbe quran ni maneno ya muhammax....kataa na hilo sasa... hhhhhhh...
 
Ukristo tuuonao na ulioenea ulimwenguni sio Ukristo aliofundisha Yesu.

Wa Yesu ulitoweka na mwenyewe na wafuasi wake wa mwanzo wa kabila la Kiyahudi.

Paulo kaufuja Ukristo.

Kauli zinazonukuliwa kwa kudai kuwa ni ushahidi kuwa Yesu mwenyewe alitaka mafunzo yake yakafundishwe kwa ulimwengu wote yamo katika Injili ya Mathayo 28.19-20, Injili ya Luka 24.46-49 na Marko 16.15.

Mathayo inasema: Basi, enendeni, mkwafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.----Mathayo 28.19-20

Luka anatwambia:

(Yesu) akwaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya. Na tazama, naweletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kueni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.----Luka 24.46-49

Na Injili ya Marko inasema:

(Yesu) akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.--Marko 16.15

Je, imekuwaje?

Yesu ni kigeugeu?

Mbona huku anawakataza wanafunzi wake wasende kuwahubiria ila kabila kumi na mbili za Israili, na huku anawaambia nendeni kuwahubiria Injili ulimwengu mzima.

La, Yesu si mbabaishi, wala si kigeugeu.

Hebu natuziangalie vilivyo hizo amri mbili, moja ya kuwa mafunzo yake wasifunzwe ila wana wa Israili tu, na ya pili ni hii ya kuwa watu wote wafunzwe dini.

Vipande vyote vitatu tulivyonukulu mwishoni havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.

Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.

Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko.

Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katik Marko ya asili, bali yaliongezwa baadae.

Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae, yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.

sahifa sahifa...hatujadili sahifa humu Bali no vile vitabu vilivyo kamilika ambavyo vipo mikono mikononi mwetu...wengine hatutakagi ujinga...
 
sahifa sahifa...hatujadili sahifa humu Bali no vile vitabu vilivyo kamilika ambavyo vipo mikono mikononi mwetu...wengine hatutakagi ujinga...


VITABU VYA KANISA LAKO LA KIKATOLIKI VINASEMA HAYA ,


No ‘resurrection’, no Christianity

The Sinai Bible’s version of the Gospel of Mark ends its story with Mary Magdalene arriving at the tomb and finding it empty.

Yet, in modern-day versions of the Gospel of Mark, resurrection narratives now appear (16: 9-20), and the Vatican universally acknowledges that they are forgeries;

‘The conclusion of Mark is admittedly not genuine … almost the entire section is a later compilation’.

(‘Catholic Encyclopedia’, Vol., iii, p. 274, published under the Imprimatur of Archbishop Farley; also, ‘Encyclopedia Biblica’, ii, 1880; 1767, n. 3; 1781, and n. 1, on ‘The Evidence of its Spuriousness’)

The Vatican claims that ‘the resurrection is the fundamental argument for our Christian belief’ (‘Catholic Encyclopedia’, Farley Ed., Vol., xii, p. 792), adding that a resurrection and ascension of Jesus Christ is the ‘sine qua non’ of Christianity, ‘without which, nothing’ (‘Catholic Encyclopedia’, Farley Ed., Vol., xii, p. 792).


St. Paul agreed, saying; ‘If Christ has not been raised, your faith is in vain’ (1 Cor. 15:17).

Yet no appearance of a resurrected Jesus Christ is recorded in the oldest Gospel in the oldest Bible in the world.

Nor are there resurrection narratives in any other old Bibles, for a comparison shows they are non-existent in the Alexandrian Bible, the Vatican Bible, the Bezae Bible and an ancient Latin manuscript of Mark code-named ‘K’ by analysts.

Some manuscripts of the 15th and 16th centuries have the fictitious verses written in asterisks, a mark used by ancient scribes to indicate spurious passages in a literary document. Resurrection narratives are also absent in the oldest Armenian version of the New Testament, and a number of Sixth Century manuscripts of the Ethiopic version.

That is because the resurrection narratives in today’s Gospels of Mark are later priesthood forgeries.
 
Tatizo lenu mnataka kumfananisha MUNGU na baba zenu huko nyumban... Tafakar kwanza kwa kina uungu au Mungu maana yke nn hasaa
 
VITABU VYA KANISA LAKO LA KIKATOLIKI VINASEMA HAYA ,


No ‘reswingi kupitia All Kitabtion’, no Christianity

The Sinai Bible’s version of the Gospel of Mark ends its story with Mary Magdalene arriving at the tomb and finding it empty.

Yet, in modern-day versions of the Gospel of Mark, resurrection narratives now appear (16: 9-20), and the Vatican universally acknowledges that they are forgeries;

‘The conclusion of Mark is admittedly not genuine … almost the entire section is a later compilation’.

(‘Catholic Encyclopedia’, Vol., iii, p. 274, published under the Imprimatur of Archbishop Farley; also, ‘Encyclopedia Biblica’, ii, 1880; 1767, n. 3; 1781, and n. 1, on ‘The Evidence of its Spuriousness’)

The Vatican claims that ‘the resurrection is the fundamental argument for our Christian belief’ (‘Catholic Encyclopedia’, Farley Ed., Vol., xii, p. 792), adding that a resurrection and ascension of Jesus Christ is the ‘sine qua non’ of Christianity, ‘without which, nothing’ (‘Catholic Encyclopedia’, Farley Ed., Vol., xii, p. 792).


St. Paul agreed, saying; ‘If Christ has not been raised, your faith is in vain’ (1 Cor. 15:17).

Yet no appearance of a resurrected Jesus Christ is recorded in the oldest Gospel in the oldest Bible in the world.

Nor are there resurrection narratives in any other old Bibles, for a comparison shows they are non-existent in the Alexandrian Bible, the Vatican Bible, the Bezae Bible and an ancient Latin manuscript of Mark code-named ‘K’ by analysts.

Some manuscripts of the 15th and 16th centuries have the fictitious verses written in asterisks, a mark used by ancient scribes to indicate spurious passages in a literary document. Resurrection narratives are also absent in the oldest Armenian version of the New Testament, and a number of Sixth Century manuscripts of the Ethiopic version.

That is because the resurrection narratives in today’s Gospels of Mark are later priesthood forgeries.

Sisi hatuja sikia hata siku moja hizo pumba zako zinahubiriwa Kanisani Ila kwenu miskitini...Kanisani linatajwa jina la Mungu kwa wingi sanaa kupitia al Kitabu tulicho kuwa nacho mikononi mwetu hadi allah wivu umemuwaka, kajiajiajiri mnyewe kulinda Makanisa dhidi ya makafir...hhhhhhh...
 
Nnachokion mm ww hujui kuw Mungu ana uwezo mkubwa, anaweza kufanya kitu chochote kwa wakat wowote.... Bac hivyo ndy ilvyotokea kw YESU ..... YESU NI MUNGU na n BINADAMU pia
 
Sisi hatuja sikia hata siku moja hizo pumba zako zinahubiriwa Kanisani Ila kwenu miskitini...Kanisani linatajwa jina la Mungu kwa wingi sanaa kupitia al Kitabu tulicho kuwa nacho mikononi mwetu hadi allah wivu umemuwaka, kajiajiajiri mnyewe kulinda Makanisa dhidi ya makafir...hhhhhhh...

Ukweli umeuona na umechagua kusuka badala kunyoa
Ni kweli vitabu hivyo hawatakiwi kondoo kusoma kwani watanyoa wote na kulihama kanisa. Mtakosa wateja
 
Nnachokion mm ww hujui kuw Mungu ana uwezo mkubwa, anaweza kufanya kitu chochote kwa wakat wowote.... Bac hivyo ndy ilvyotokea kw YESU ..... YESU NI MUNGU na n BINADAMU pia

Mungu hufanya mambo ya kiungu ndio akaitwa Mungu. Binadamu ameitwa binadamu kwa sababu hufanya mambo ya kibinadamu. Mwanamume hufanya mambo ya kiume ndio akaitwa mwanamume .Mwanamke hufanya mambo ya kike ndio akaitwa mwanamke. Mwanamume akifanya mambo ya kike ataitwa shoga. Sasa huyo mungu aliyejigeuza mwanadamu utamwita nani??? BAGUWANI????
 
Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine?


Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?


Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?


Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi? Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?


Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?



Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi?
Wewe unayo machapisho mangapi ya Bible?
 
Kitabu cha koran kimekopi kila kitu kutoka kwene biblia.hapo ndio utofaut wa biblia na koran.kingine koran kina hadith zao za uongo uongo tuu.
Ndio maana zinaitwa hadithi. Huwa wanasema hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
 
MUHAMMAD AWARUHUSU WAISLAM KUPIGA WAKE ZAO

Muhammad alikuwa na tabia ya kuwapiga wake zake, hususan Aisha na Hafsa.

Nabii wa Alah Muhammad alipiga Aisha kifuani na kumsababishia maumivu makali. Sahih Muslim [HASHTAG]#2127[/HASHTAG]:

SOMA KISA HIKI HAPA CHINI.
Sahih Muslim [HASHTAG]#2127[/HASHTAG]:
Ilipokuwa zamu yangu kwa Nabii wa Allah kuwa nami usiku, aliingia na kugeuka, akavua joho lake na viatu vyake, na kuviweka karibu na miguu yake, na akajilaza kwenye kitanda mpaka alipo fikiria kuwa na mimi nimelala.

Basi akachukua joho lake taratiibu na kuvaa viatu vyake, na akafungua mlango na kutoka nje na kuufunga taratibu. Aisha akasema, na mimi nikajifunika kichwa changu, na kuvaa hijabu yangu na kujifunga nguo kiunoni mwangu, na baadae nikatoka nje na kumfuta Nabii wa Allah mpaka alipo fika Baqi.

Alisimama pale kwa muda mrefu. Na baadae akanyanyu mikono yake mara tatu, na baadae kurudi, na mimi vile vile nikarudi nyumbani. Alikuwa anatembea kwa haraka haraka, na mimi vile vile nilitembea kwa haraka haraka. Alikimbia, na mimi nikakimbia vile vile. Akaja nyumbani na mimi vile vile nilikwenda nyumbani, ingawa mimi nilkwenda kwa haraka kabla yake. Nilipo ingia tu na kujilaza kitandani, na Nabii wa Allah akaingia nyumbani, akasema: Hii ni nini, O' Aisha, mbona unahema sana? Nikamwambia, hakuna kitu. Akasema, Niambie au una mambo ya siri hautaki kuniambia.
Nikamwabia, Nabii wa Allah, baba na mama yangu wawe fidia kwako, halafu nikamwambia kila kitu bila kumficha kitu.

Muhammad akasema, kumbe nilicho kuwa nakiona kwenye giza mbele yangu ilikuwa ni wewe? Nikamjibu, NDIO. Basi Nabii wa Allah, AKANIPIGA KWA NGUVU SANA KWENYE KIFUA CHANGU, na nilipatwa na maumivu makali sana. HALAFU AKASEMA, unafikiri Allah na Nabii wake wamekuonea?

Bukhari volume 8, [HASHTAG]#828[/HASHTAG]
Amesema Aisha: Abu Bakr alikuja kwangu na akanipiga ngumi kwa nguvu sana na kusema, umewaweka watu kizuizini kwasababu ya mkufu wako. Lakini nilikuwa nimekaa kimya kama vile nimekufa, .......
Jamani, eti huyu ndie Nabii wa Allah. Hana jema zaidi ya kupiga wake zake, kisa, mke mtu kamfuata Baqi. Je, kama Muhmmad alicho kuwa anafanya ni jambo jema, kwanini aliondoka nyumbani kwake kimya kimya?

Kama kweli Muhammad hakwenda kufanya NDUMBA, kwanini alichukia pale alipo ambiwa kuwa Aisha na yeye alikuwa Baqi?

Hivi, kwanini MUHAMMAD ALIKUWA ANAPIGA WAKE ZAKE?
Duuu! Aiseee
 
Mungu hufanya mambo ya kiungu ndio akaitwa Mungu. Binadamu ameitwa binadamu kwa sababu hufanya mambo ya kibinadamu. Mwanamume hufanya mambo ya kiume ndio akaitwa mwanamume .Mwanamke hufanya mambo ya kike ndio akaitwa mwanamke. Mwanamume akifanya mambo ya kike ataitwa shoga. Sasa huyo mungu aliyejigeuza mwanadamu utamwita nani??? BAGUWANI????
Tatzo lako ww unachambua bible kam hadthi za Erick shigongo ... Bible n tofaut na vtabu vngine unavyo vijua ww. Unaposoma bible il uielewe vzur n lazma uongozwe na roho wa Mungu . Kam huna huyo roho utaona kam bible inakuchosha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom