Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
mi ni mkristo naamini Yesu ni mwana wa Mungu lakini siyo Mungu. kusema Yesu ni Mungu kunakanganya sana.
 
Nilichoeleza mimi ni kwamba Yesu sio Mungu. Na ndio maana nimetoa andiko la yohana 20:17 yesu akisema kuwa Mungu wake anayemuabudu yeye ndio Mungu wetu sisi sote. Sasa toa wewe ufafanuzi wa yohana 20:17

Following are verses used to show that Jesus is God in flesh. The scriptures used here are from the New American Standard Bible.
  1. John 1:1, "In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God."
    1. John 1:14, "And the Word became flesh, and dwelt among us, and we beheld His glory, glory as of the only begotten from the Father, full of grace and truth."
  2. John 5:18, "For this cause therefore the Jews were seeking all the more to kill Him, because He not only was breaking the Sabbath, but also was calling God His own Father, making Himself equal with God."
  3. John 8:24, "I said therefore to you, that you shall die in your sins; for unless you believe that I am He, you shall die in your sins."
    1. Note: In the Greek, "He" is not there.
  4. John 8:58, "Jesus said to them, 'Truly, truly, I say to you, before Abraham was born, I am.'"
    1. Exodus 3:14, "And God said to Moses, 'I AM WHO I AM'; and He said, Thus you shall say to the sons of Israel, ‘I AM has sent me to you.’"
  5. John 10:30-33, "I and the Father are one." 31 The Jews took up stones again to stone Him. 32 Jesus answered them, "I showed you many good works from the Father; for which of them are you stoning Me?" 33 The Jews answered Him, "For a good work we do not stone You, but for blasphemy; and because You, being a man, make Yourself out to be God."
  6. John 20:28, "Thomas answered and said to Him, "My Lord and my God!"
  7. Col. 2:9, "For in Him all the fullness of Deity dwells in bodily form."
  8. Phil. 2:5-8, "Have this attitude in yourselves which was also in Christ Jesus, 6 who, although He existed in the form of God, did not regard equality with God a thing to be grasped, 7 but emptied Himself, taking the form of a bond-servant, and being made in the likeness of men. 8 And being found in appearance as a man, He humbled Himself by becoming obedient to the point of death, even death on a cross. 9 Therefore also God highly exalted Him, and bestowed on Him the name which is above every name, 10 that at the name of Jesus every knee should bow, of those who are in heaven, and on earth, and under the earth, 11 and that every tongue should confess that Jesus Christ is Lord, to the glory of God the Father."
  9. Heb. 1:8, "But of the Son He says, "Thy throne, O God, is forever and ever, and the righteous scepter is the scepter of His kingdom."
    1. Quoted from Psalm 45:6, "Thy throne, O God, is forever and ever; a scepter of uprightness is the scepter of Thy kingdom."
 
Paulo anaweza kua sawa tu,kwa MUNGU yote yawezekana kama alivyoweza kumtengeneza popo.wengine wanamuita ndege na wengine humwita mnyama.yamkini YESU alikua BINADAMU na MUNGU pia
Pia unaposema kwa Mola yote yanawezekana inaonyesha una ufahamu wa kiasi au mdogo juu ya sifa na matendo take.Mathalani Mola hadhulumu,mola halali,Mola hasahau,Mola hakutwi na umauti.Sasa unaposema kila kitu kwake kinawezekana inabidi ubainishe na utupe mifano yakinifu.

Halafu Mola ameshajiwekea utaribu katika kuratibu mambo yake yaani utaratibu katu haubadiliki,mathalani leo mwadamu lazima ule,lazima ulale,lazima ufe na mfano wa hayo huu ni utaratibu ambao ameuweka na kamwe haubadiliki.
 
Yesu Kristo anajulikana katika Quran kama Neno la Mungu.roho ya Mungu kuna maana gani hapo.Mungu aliumba kila kitu kutumia neno.je neno ni nani
Unasema uongo wa wazi.Hivi Qur'an huwa mnaisoma mnasikia kwa watu ?

Muwe mnasoma na ubaya uliyoje kuzungumzia kitu ambacho hauna elimu nacho.Lazima tuchunge misingi ya elimu na misingi ya kuhakiki habari.

Nikikuuliza ni wapi katika Qur'an imeandikwa kwamba Yesu anafahamika kama neno la Mungu huwezi kuniambia na halipo hilo andiko.Kwahiyo umakini ni wa dharura katika kuchukua habari.
 
Nikitoa andiko kuwa MUNGU NI MTU unachakujib tena?acha kusumbua watu na uelewa wako mdogo!!!..SOMA HAPA..View attachment 407375
Halafu uniambie huyo mtu wa vita ni ndio Yesu.Pia kuna kitu kinaitwa karina katika somo la balagha sijui kama unalijua,katika somo muhimu la lugha.

Hapo imetumika balagha,katika kipengele kiitwacho "karina",katika elimu ya balagha.

Ufafanuzi juu ya hilo

Karina ni hali ya kutowezekana katika kitu au tamko lilotumika nadala ya tamko halisi.Nakupa mfano maarufu sana.Nikisema nimemuona simba anashuka kwenye mimbari kwa akili yako ya kawaida na iliyo salama hautafikiria ya kuwa simba mnyama lazima itakupa jibu ya kuwa huyo aidha ni mtu mwenye Simba au mwenye sifa yaani nguvu kama za simba.Hapa inakubalika balagha katika majazi sababu katika hali halisi simba kiuhalisia hawezi kuwa binadamu.

Tukirudi katika tamko lako "Bwana ni mtu wa vita",hiyo ni majazi na limetumika hapo sababu kamwe mtu hawezi kuwa Bwana kama andiko linavyosema.

Kwahiyo andiko hilo ni dhidi yako.Na karina hapo ndio imetoa ile hali wezekano na ndio hilo neno limetumika badala ya neno jingine.

Kama hujaelewa uliza.
 
Tatizo lenu mnakariri Mambo hamna hata hata ELIMU KIROHO,situkan QURAN YENU NDIO INASEMA HIVYO,soma,17:85,
 

Attachments

  • 1474958538514.jpg
    31.3 KB · Views: 98
Nikitoa andiko kuwa MUNGU NI MTU unachakujib tena?acha kusumbua watu na uelewa wako mdogo!!!..SOMA HAPA..View attachment 407375
Halafu sema nachelea hapa tunazungumzia vitu ambavyo usahihi wake ndio unatupa sisi mustakabali wa maisha yetu baada ya kifo.

Ila ningeamua kujibu au kuijadili hoja yako kihuni huni,pia ningeijadili sema naheshimu hilo.Kwani kihuni pia inaelezeka.

Kwahiyo kama mtu ukiamua kusoma kweli basi soma kweli na ujifunze kweli kweli,tuache ujanja ujanja.
 
SASA KUNA KOSA GANI KATIKA HIZI AYA TUKUFU?wewe ni ABNORMAL yaani akili ndogo kupita maelezo
 
Tatizo lenu mnakariri Mambo hamna hata hata ELIMU KIROHO,situkan QURAN YENU NDIO INASEMA HIVYO,soma,17:85,View attachment 407574View attachment 407578
Sasa hapo wapi hapo inaonyesha kwamba mtu ni mungu mzee ?

Acha kuokota okota vitu.Hapo Mtume alikuwa anaulizwa na swahaba zake kuhusiana na mambo ya roho yaani roho ni nini na mfano wa hayo.Ndio akaambiwa na Allah ya kuwa elimu yake anaijua Allah peke yake na sisi hatukupewa elimu isipokuwa kwa uchache yaani elimu ndogo katika ile ilimu yote.

Kaka mimi nimesomeshwa na nimeuliza na sasa naifanyia kazi.Acha ujanja ujanja mzee.

Hata Leo hii ukiangalia suala la roho au kifo linawatatiza wengi isipokuwa wale ambao Allah amewarehemu.

Soma mzee tena usome kweli.
 
Tatizo lenu mnakariri Mambo hamna hata hata ELIMU KIROHO,situkan QURAN YENU NDIO INASEMA HIVYO,soma,17:85,View attachment 407574View attachment 407578
Unajua pia nashangaa mpaka nahisi kama kiswahili hukijui vizuri au unajitoa ufahamu au unayasoma haya maandishi kinyume nyume ? Jambo liko wazi tena jeupe sanaaa.

Au unaniletee mzaha kaka ? Kama unaleta mzaha niambie mzee ?
 
NI KWELI KABISA LAKIN SI KWA KIWANGO HIKIView attachment 407587
Nyinyi mtakuwa ndio wale huwa mnaambiwa ukitaka kumkamata muislamu mwambie katika Qur'an kuna kadha wa kadha uone kama atachomoka,halafu wanasahau kuwapa misingi ya kujibu hoja.

Kwa taarifa yako mzee mimi bado mchanga sana katika elimu ya dini yangu ya UISLAMU,ila namshukuru Allah nilipewa misingi ya kielimu.

Sasa kuna kituko kimoja nilikikuta kwenye blog "kimbilia.blogspot.com" kama sikosei kaweka makala yenye kichwa "Maswali yaliyofanya nitoke katika uislamu",angalia maswali yenyewe sasa ni porojo na mepesi ajabu,tatizo watu hawasomi.

Kwahiyo mzee nakuusia kama unataka unakishi hoja usiwe unachukua vitu nusu nusu kuna watu wamesoma mzee na waelewa vitu huwa hawaachi kitu.

Kama nimekukwaza kwa hali yoyote niwie radhi mzee.
 

Bwana Dotto, naona umenukuu vifungu vingi kwa ajili ya kututhibutishia kuwa YESU si Mungu na Paulo ni mwongo.

Nilichogundua kwako ww ni msomaji mzuri wa biblia lakini naona unaitafasili kwa maono yako wewe Kama Dotto na si kwa kuongozwa na hekima ya Mungu. Kwa taarifa yako YESU hakuja kwa ajili ya wale waliokuwa wakimcha Mungu, Bali kwa wale waliokuwa wamepotea na kuzama katika uovu akiwamo Paulo na sisi wote ambao tulikuwa hutuijui kweli ya Mungu.

kwa habari ya Paulo inaonyesha ni jinsi gani neno la Mungu limetimia na Paulo aliyekuwa mpinga KRISTO sasa amekuwa ndio msemaji Mkuu wa YESU. Huo ndio mpango wa Mungu kuwa wale wote wenye dhambi wapate kutubu na kumwamin YESU kuwa ndio BWANA na mwokozi wao na wayasimulie matendo Makuu ya MUNGU.( mtu mzima hamwitaji daktari Bali wagonjwa)
 
Kumbe hata Quran hujui we mlaini sana ngoja tukufundishe,usipotosheka sema tuongezeee,YESU NI NENO(MUNGU),hata kweny quran
 
Msamehe yaani inaonyesha hata mende IQ yake kubwa kuliko yeye
 
Samahani sana sikujua kama wewe ni MCHANGA katika uislam,sorry kwa kukuover dose,NITAFUTIE SHEKHE,[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hapa sijui yesu alikuwa akimlilia mungu yupi amwokoe wakati yeye ndo mungu.

Hapa.

Na sijui ni Mungu yupi anayesemwa katika wingi??? wakati mnatuaminisha Mungu ni mmoja, agawanyiki wala kuzidishwa...sasa kwa nini kwenye hiki kitabu chenu anatumia wingi....Mungu mmoja nafsi tatu..baba, mwana na roho mtakatifu.....

And We have created you in pairs (male and female, tall and short, good and bad, etc.).(8)----An-Naba 78:8
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…