Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Ni mtume Wa waislam sio Wa mungu
Kuhurumina gani mashetni hawa
Asilimia 99 ya wasomalia ni waislamu, wanauana wao kwa wao
Eneo ambalo boko haramu wanakaa lina waislamu wengi wanaouawa
Siria ni nchi ya kiislamu wanauana wao kwa wao
Libya nchi ya waislamu wanauana wao kwa wao
Misri nchi ya waislamu wanachinjana wenyewe
Iraq nchi yao wanachinana kila uchwao
Nchi yoyote, jamii yoyote inayotawaliwa na kanuni za quaran ina machafuko na mauaji tele. Quarani ni kitabu cha kigaidi.
 
Mahammad mwenyewe huyu mtume wa ugaidi na ndio alichofanikiwa kuwarithishisha wafuasi wake. Mkimbilieni Yesu mkombolewe. Kwa Yesu amani tele.
 
Ukristo ulikuwepo miaka 600 kabla ya kuja hii imani yenu ya kiqureish ya uislam.Narudia ya kiqureish.Haina uhusiano wowote na wayahudi.Unapoongelea Yesu,utatu,,wanafunzi wa Yesu nk unatoka kabila moja kwenda lingine.
....Nia yenu kwenye mjadala huu tayari nimeiona na Ndugu yangu wa ukweli mgeni aliiona Mapema ndo maana anawajibu kulingana na akili na mtazamo wenu.
.....Kama!# injili na torati zimechakachuliwa nyie kwenye mjadala huu mnaitumia hio mistari iliochakachuliwa kwa mantiki gani???

,,,,,,,,,,,,Kwa nini mnaelezea dini msioijua na mnayoichukia kwa wanaoijua na kuipenda???

,,,,,, ..Hivi huwa mnapata mda wa kusoma na kujadili hio dini yenu ya nabii (muhamad) alietabiriwa unabii kwa mganga wa kienyeji..????

Hio dini yenu tumeisoma na tunaendelea kuisoma,,,nakupa zoezi dogo utafiti kitu hiki
"""""Masheikh wenu wanapokuwa wanakaribia kumaliza mafunzo ya kuwaongoza,,hulishwa yamini kutunza siri za uislam,,,siri hizo ni zipi???? Je!! Ninyi washika vibendera zinawahusu????Pia hutunzwa kwa ajili ya nani?? Kwa lengo lipi???"""""""""""

Una mengi ya kuyajua kuhusu uislam kama akili zako sio za kuamshwa kwa kunywa maji ya Zam zam yaliyochanganywa na Zafarani....
 
acha zako wewe...hivi Mungu alisahau nini hadi amtume Muhammad?¿ naona mafundisho yake ni dhaifu hadi basi..au ni huko kukamuana ngama? au kutufundisha kumpopoa shetani kwa mawe...?
Unajifanya unajua kumbe hujui, ndo maana ukisha maliza kukujoa hunawi mdudu, mchafu mkubwa wee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tofauti eeh?! Kwanza niombe radhi mimi sio mtukanaji Bali ninanukuu ilimu Islam, sasa wee ilimu hiyo unaita matusi? Kwa hiyo walokole kutoa mapepo unaona uchungu eeh.....
Sasa hiyo elimu huijui, ili uweze kujua elimu Ya kiislamu, nahwu, balagha, fiqhi, tawheed, sira lazma ujue, wewe unajua nini kati Ya elimu hizo nilizozitaja
 
Mara nyingi mashetani Na mapepo yake makazi makubwa ni mapangoni
Hujafahamu aya ndugu, ili uweze kufahamu Qur-an, Kuna baadhi Ya fani lazima uwe nayo kama vile balagha, Lakin wewe umenifahamu iyo aya kienyeji enyeji tu, ndugu wakristo mmechanganyikiwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Biblia ni kitabu kilichotungwa na watu ambao hawakuwa na upeo wa kimawazo
 
Wewe hujui ata unaongea nini, hao kwa kina Mussa, Daudi, Ibrahim, Adam, walikuja na dini gani
 
Wewe hujui ata unaongea nini, hao kwa kina Mussa, Daudi, Ibrahim, Adam, walikuja na dini gani
Wewe kwa akili zako za kushikiwa unadhani walikuwa Waislam wakimuabudu Allah subhana?? Au walikuwa wayahudi wakimuabudu Yehova the king?
 
Wewe hujui ata unaongea nini, hao kwa kina Mussa, Daudi, Ibrahim, Adam, walikuja na dini gani
Kinachokuchanganya wewe kitakuwa kilianza kumchanganya subhana na mtume wake Muhammad kwamba wawe na kitabu chao au wacopy na kupaste injili,,tourat na Zaburi...Maana wao hawakuvielewa kama wewe unavyosumbuka..Laiti kwamba wasingevikuta wangekaa chini kama kamati wafikirie kitu sahihi cha kuuandikia umati wake kama wewe ambao mda wote mnahangaika na kitabu kile kile na hamna point mnayoeleza zaidi ya kuonyesha udhaifu wenu kwa maneno yalioandikwa kwa kiswahili.
 
Hebu niambie nani waliotunga biblia
 
Kwa hiyo unataka kusema Gadafi aliuawa na waislam wenzie? Na pale Trump analosema marekani ilifanya makosa kumuua Gadafi wewe unaelewa nini?
 
Mahammad mwenyewe huyu mtume wa ugaidi na ndio alichofanikiwa kuwarithishisha wafuasi wake. Mkimbilieni Yesu mkombolewe. Kwa Yesu amani tele.
Tumkimbilie Yesu kama nani? Mungu ama mtume?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…