Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Asiyeamini kuwa Yesu ni mwana wa Mungu,tayari ameshahukumiwa...
Bwana Yesu ajitambulishe kwako kama alivyojitambulisha kwa Paulo,nakuombea usife kabla hujamkiri Bwana Yesu kuwa ni mwokozi wa maisha yako,ninaomba haya kwa Jina la Yesu,lipitalo majina Yote....
AMEN.
 
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA. WAHUNI, MALAYA, WAUAJI NA WABAKAJI WANAWEZAJE KUWA MITUME?

NI MAZUZU NA MAZOMBIES NDIO WANAOWEZA FWATILIA UTUMBO HUO.

FUNGUENI MACHO MIAFRIKA. HUU SIO WAKATI WAKUBURUZWA. MUHOJI MAMLAKA ZILIZOBUNI UJINGA HUU WA DINI.
By the way mawazo yako hayawezi kuwa Yetu endelea kutoamini uwepo wa MUNGU sisi tunaamini,pia mitume na manabii wake tunawaheshim,KWELI DAUDI ALINENA VYEMA JUU YA WATU MFANO WAKO,
1476203232968.jpg
1476203238441.jpg
 
Mnepha hata kama huamini yeyote unaoandika hapa ni upumbavu na ubaradhuli,please usicheze na imani za watu,we ni MTU tu,na walikuwepo wengi tu kama wew wamepita!!!..
Mpumbavu na baradhuli ni yule anaemfwata baradhuli na malaya na muuaji.

Niuwendawazimu kbsa kumuamini mtu aliebaka, kuuwa na kuendendekeza umalaya kama huyo aliejifanya mtume wenu.

Wote ninyi ni wasenge na mabaradhuli. Usilete akili za kiuzombie kwenye mijadala ya wenye kufahamu huu ulimwengu. Endeleeni kukariri kuran na biblia.

Wakati hakuna aliezaliwa pamoja na kitabu mbwa musie na akili. Vitabu vyote mmevikuta hapa duniani. Mama zetu wamewazaa pekee yenu.

Acheni ulofa.
 
ukubali ukatae yesu ni BWANA. MUNGU pamoja nasi. sio nyie mpaka mumfuate uarabuni. wenzenu wanapiga hela nyie mnajaa ujinga eti mumesamehewa DHAMBI
 
******** na baradhuli ni yule anaemfwata baradhuli na malaya na muuaji.

Niuwendawazimu kbsa kumuamini mtu aliebaka, kuuwa na kuendendekeza umalaya kama huyo aliejifanya mtume wenu.

Wote ninyi ni wasenge na mabaradhuli. Usilete akili za kiuzombie kwenye mijadala ya wenye kufahamu huu ulimwengu. Endeleeni kukariri kuran na biblia.

Wakati hakuna aliezaliwa pamoja na kitabu mbwa musie na akili. Vitabu vyote mmevikuta hapa duniani. Mama zetu wamewazaa pekee yenu.

Acheni ulofa.
Sawa ahsante sana barikiwa sana!!..
 
Hivyo vitabu vyote viligeuzwa na wanaadamu ndo maana akatumwa nabii mwengine ili kurekebisha kitabu cha nabii aliopita, na Injili iliharibiwa ndo maana akatumwa Muhammad kuja kuirekebisha kwa kutumia Qur-an.

acha zako wewe...hivi Mungu alisahau nini hadi amtume Muhammad?¿ naona mafundisho yake ni dhaifu hadi basi..au ni huko kukamuana ngama? au kutufundisha kumpopoa shetani kwa mawe...?
 
latif 48nabi post: 18004701 said:
Vizur, inamaana wewe unamuamin Muhammad kama ni nabii wa mwisho au

Mimi naamini ni nabii wa kwanza na hatma nabyina wa shetani...
 
acha zako wewe...hivi Mungu alisahau nini hadi amtume Muhammad?¿ naona mafundisho yake ni dhaifu hadi basi..au ni huko kukamuana ngama? au kutufundisha kumpopoa shetani kwa mawe...?
Toa maandiko acha matusi wewe. Kumpopoa shetani kuna tofauti gani na ninyi walokole kudondosha watu madhabahuni eti mnasema mmetoa mashetani?
 
[weweana, post: 18004833, member: 11367"]Swali:

Wapi katika vitabu vyote uvijuavyo ulimwenguni , Mungu alisema nitajidhihirisha kwa umbo la kibinadamu ??????

Hayo maneno uliyoyanukuu si maneno ya malaika[/QUOTE]

hhhhhhhh...wazimu ni fani..
 
acha zako wewe...hivi Mungu alisahau nini hadi amtume Muhammad?¿ naona mafundisho yake ni dhaifu hadi basi..au ni huko kukamuana ngama? au kutufundisha kumpopoa shetani kwa mawe...?
Elewa akili ya huyo ndugu na umuache tu,hana anachojua
 
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA. WAHUNI, MALAYA, WAUAJI NA WABAKAJI WANAWEZAJE KUWA MITUME?

NI MAZUZU NA MAZOMBIES NDIO WANAOWEZA FWATILIA UTUMBO HUO.

FUNGUENI MACHO MIAFRIKA. HUU SIO WAKATI WAKUBURUZWA. MUHOJI MAMLAKA ZILIZOBUNI UJINGA HUU WA DINI.
Hayo maneno WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA unadhani maneno hayo aliyatamka Mungu? Si kweli!!! Ni maneno ya mtu........' angekuwa mungu angesema VIUMBE WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA........
Soneni maandiko muelewe!!!!
 
Toa maandiko acha matusi wewe. Kumpopoa shetani kuna tofauti gani na ninyi walokole kudondosha watu madhabahuni eti mnasema mmetoa mashetani?

Tofauti eeh?! Kwanza niombe radhi mimi sio mtukanaji Bali ninanukuu ilimu Islam, sasa wee ilimu hiyo unaita matusi? Kwa hiyo walokole kutoa mapepo unaona uchungu eeh.....
 
Hayo maneno WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA unadhani maneno hayo aliyatamka Mungu? Si kweli!!! Ni maneno ya mtu........' angekuwa mungu angesema VIUMBE WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA........
Soneni maandiko muelewe!!!!

Sisi Wakristo ni Wana wa Mungu sio viumbe kama mijusi, kenge, nyau, tula nongo maisilamu....
 
Sio dunia nzima wanaoelekea kaskazini, China wanaoelekea mashariki, ulaya wanaoelekea kusini, kama huujui uislamu usi uzungumze utakuja kujutia
Kama kuna andiko Muhammad anasema yeye ndio njia ya kweli na uzima, nitajutia.
 
******** na baradhuli ni yule anaemfwata baradhuli na malaya na muuaji.

Niuwendawazimu kbsa kumuamini mtu aliebaka, kuuwa na kuendendekeza umalaya kama huyo aliejifanya mtume wenu.

Wote ninyi ni wasenge na mabaradhuli. Usilete akili za kiuzombie kwenye mijadala ya wenye kufahamu huu ulimwengu. Endeleeni kukariri kuran na biblia.

Wakati hakuna aliezaliwa pamoja na kitabu mbwa musie na akili. Vitabu vyote mmevikuta hapa duniani. Mama zetu wamewazaa pekee yenu.

Acheni ulofa.
Hasira za nini naona mapepo yanakusumbua unajifanya mtaalamu wa kutukana.
 
View attachment 406746 Ungekuwa na nia njema usingepita bila kutaka kujua Yohana 1:1-5Hapo mwanzo, neno alikuwako naye alikuwa na Mungu 2Tangu mwanzo neno alikuwa na Mungu 3kwanjia yake vitu vyote viliumbwa hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye 4 yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ilikuwa mwanga wa watu 5 na mwanga huo huangaza gizani, nalo gizani jalikuweza kuushinda. 14 Naye neno akawa mwanadamu, akakaa kwetu. Nasi tumeuona utukufu wake, utukufu wake yeye aliye mwana wa pekee wa Baba amejaa neema na ukweli..

"Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, MTU ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Ibrahimu hakufanya hivyo."

Yohana 8:40

Katika andiko hilo YESU kwa kinywa chake yeye mwenyewe amejiita kuwa ni "MTU". Kama kuna mtu ana ushahidi wowote katika biblia YESU akijiita MUNGU, basi nami hapo nitaamini kuwa YESU Mungu.

Hata hivyo, mnaweza kusema pia, kuwa YESU alikuwa Mungu na Pia alikuwa mtu. Hata hivyo tukitazama sifa mbalimbali za mungu kama zilivyo tajwa au ainishwa na biblia, utaona hata kiduchu YESU hana sifa hizo.

Mathalani.

"Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalifikiliza.."

Hesabu 23:19

Tumeona katika Yohana 8:40 Yesu akijiita Mtu, na hapa katika hesabu tunaambiwa Mungu si mtu, sasa wewe unayemuita Yesu Mungu umepata wapi?

NANI KAFUNDISHA YESU NI MUNGU?

"tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; "

Tito 2:13

Hayo maneno katika kitabu cha Tito, kimsingi ni barua ya kimisionari aliyo andika Paulo kwa watu wa Tito, kama tuonavyo katika barua hiyo, pamoja na mambo mengine Paulo anawaambia watu wa Tito kuwa Yesu ni Mungu Mkuu, maneno haya ya Paulo yanakwenda kinyume kabisa na maneno ga Yesu mwenyewe aliyo yasema katika Yohana 8:40 lakini kinyume kabisa na mafundisho ya kinabii kutoka katika kitabu cha Hesabu 23:19.

YESU ANASEMAJE KUHUSU PAULO?

Awali ya yote Paulo hakuwahi kuwa mwanafunzi wa Yesu na hakuwahi kumuona Yesu Kristo. Yesu kabla hajapaa kwenda mbinguni aliwahi kusema maneno haya.

"Maneno hayo nimewaambia, msije mkachukizwa. Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada. Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi"

Yohana 16:1-3

Hapa Yesu anatabiri kuwa wanafunzi wake watakuja kuuliwa, anatabiri wakristo na wafuasi wa kanisa lake watakuja kuuliwa, na akasisitiza huyo atajaye wauwa wanafunzi wake hamjui yeye wala Baba(Mungu)

Nani huyo aliyeua wanafunzi wa Yesu? Jawabu ni Sauli ambaye ni Paulo.

"Lakini Sauli, akizidi kutisha na kuwaza kuwaua wanafunzi wa Bwana, akamwendea Kuhani Mkuu, akataka ampe barua za kuenda Dameski zilizoandikwa kwa masinagogi, ili akiona watu wa Njia hii, waume kwa wake, awafunge na kuwaleta Yerusalemu."

Matendo 9:1-3

Kwa hivyo Mtu aliyetajwa na Yesu katika injili ya Yohana 16:1-3 kuwa atawaua wanafunzi wa Yesu si mwingine Paulo, na katika kitabu cha matendo tunaoneshwa ukatili wa Paulo kwa wanafunzi wa Yesu. Hata hivyo, Bwana Yesu anaendelea na utabiri wake juu ya Paulo katika aya hii.

"Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo"

Yohana 8:44

Katika aya hiyo Bwana Yesu anasema huyo Paulo si kwamba ni muuaji tu, lakini pia mtu muongo sana. Na uongo mkubwa alio ufanya Paulo ni pale aliposema kakutana na Yesu na kisha akajifanya kipofu.

"Hata alipokuwa akisafiri, ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni. Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona waniudhi? Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe. Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda"

Matendo 9:3-7

Baaada ya Paulo kuwaua sana wanafunzi wa Yesu na kuwatesa sana ili waache mafunzo ya Yesu, lakini wanafunzi wa Yesu waligoma na walikataa katakata kuachana na mafunzo Yasu. Pia naomba mjue, mafunzo ya Yesu yalikuwa mwiba kwa serikali(Dola ya Rumi) na Paulo alikuwa anatumiwa na serikali katika kuhakikisha wanafunzi wa Yesu wanaachana na ukristo/uyaudi.

Pamoja na juhudi hizo za Paulo lakini alishindwa, hivyo njia aliyo amua kuitumia si nyingine bali ni kujiunga na wanafunzi wa kristo. Na ili aaminike ndipo hapo alipotengeneza stori ya kumuona Yesu na maagizo ya upofu, lakini kubwa zaidi alimnunua Anania ili msaidie kufanikisha lengo lake. Kwa kumtumia Anania na kwa kudanganya kwake kuwa kamuona Yesu, wanafunzi wa Yesu walimkubali.

Na hapo ndipo Paulo alipoanza kuyachakua mafunzo ya Yesu, na ndio maana ukristo wa sasa si ule alio ufundisha Yesu.

YESU NA MFARISAYO.

"Ewe FARISAYO KIPOFU, safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nayo ipate kuwa safi. Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote."

Mathayo 26:23

Paulo msomi mkubwa alikuwa Farisayo, lakini Yesu alisema nini juu mafarisayo? Kama tulivyo ona, Yesu anawaona mafarisayo kama vipofu, lakini kubwa katika andiko hili Yesu anamtabiri pia Paulo na maigizo yake ya upofu.

"Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu"

Matendo 23:6

Kwanza Paulo amekiri kwa kinywa chake kuwa yeye ni farisayo. Lakini hiyo haitoshi Paulo alijitia upofu aso kuwa nao.

"Sauli akainuka katika nchi, na macho yake yalipofumbuka, hakuona kitu; wakamshika mkono wakamleta mpaka Dameski. Akawa siku tatu haoni; hali, wala hanywi."

Matendo 9:8-9

Katika aya hizi tunaona kuwa Paulo amekiri kuwa Farisayo lakini pia tunaona Paul yuko katika maigizo ya upofu. Yote haya mawili yanakamilisha unabii wa Yesu pale aliposema

"Ewe farisayo kipofu.."

Mathayo 26:23

Katika aya hizo inatajwa sifa kuu au tabia kubwa ya Mafarisayo, na ambayo imethibiti(ilitimia) kwa Paulo. Sifa hiyo si nyingine bali UNAFIKI.

Paulo alikuwa mnafiki, yaani alijifanya muumini wa mafundisho Yesu ili mradi apate kuwapotosha wanafunzi wa Yesu, na hili kwakweli kafanikiwa sababu hakuna hata kanisa moja ambalo linafuata mafunzo ya asili ya Yesu. Kila kanisa lina kituko chake.

MWISHO.

Kwa kifupi huku nikizingatia maelezo yangu yote ya huko juu, kuwa YESU SI MUNGU, lakini hakumaanishi kuwa hakuna wanao muita au wanao amini Yesu Mungu. La kuzingatia kama tukiambiwa kauli ipi ya kushika kati ya YESU mwenyewe na ya Paulo kwa vyovyote vile tunatakiwa kushika kauli ya Yesu.

Kauli zote za Paulo ambazo hazipingani na za Yesu, kauli hizo tutazifuata, lakini kauli yoyote ya Paulo inayo pingana na Yesu, kauli ya Paulo itapuuzwa na kuanguka, alafu watu wote wanatakiwa wafuate kauli ya Yesu.

Hakuna kauli ya Yesu anayo alijiita Mungu, lakini zipo nyingi akijiita Mtu au mwana wa adamu. Na siku zote alijitafautisha na Mungu. Yesu anakata mzizi wa fitina katika andiko hili.

"Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma"
Yohana 17:3

Nasema YESU SI MUNGU, na Paulo ana kesi ya kujibu kwa kudanganya ulimwengu, na kwa kuharibu mafundisho ya Yesu na kubwa zaidi kwa kuwatesa na kuwaua wanafunzi wa Yesu na wafuasi wake.

Katika kuendeleza urongo wa Paulo, watu wameambukizwa urongo, sasa wanatusambazia picha na sanamu za wacheza sinema na kisha wanataka tuziheshimu kama Yesu, kweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

TUJADILI!

Dotto Rangimoto Chamchua(Njano5)
Call/whatspp 0622845394 Morogoro.
 
QURAN NA BIBLIA ZATHIBITISHA KUWA PAULO NI MTUME WA MWENYEZI MUNGU LAKINI MUHAMMAD SIO KABISA.

Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.

Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.

Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo 13:6-12.

Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na mitume ni lazima wafanye miujiza.

Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini] inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia (majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”

Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.
Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni na kama hataki basi), nami hakika ni mwonyaji mbainishaji (dhahiri tu).” (Taz. Qur,an 6:35-37 13:7,)

Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja. Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”

Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume, huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa tendo lililotendeka.

Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani? Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale “Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!!

Muhammad alitenda dhambi kubwa kubwa na hakufanya muujiza hata mmoja.

Lakini Mtume Paulo alifanya miujiza mingi sana.
Mara nyingi mashetani Na mapepo yake makazi makubwa ni mapangoni
 
Quran 48:29

Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. Alama zao zi katika nyuso zao, kwa athari ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katika Taurati. Na mfano wao katika Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha kwa ajili yao makafiri. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio amini na wakatenda mema katika wao msamaha na ujira mkubwa
Ni mtume Wa waislam sio Wa mungu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom