Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
NINAUNGANA NA MTOA MAADA. NADHANI UNDONDOCHA WAKO NI PALE USIPONIELEWA NILICHOKIELEZA.

NARUDIA TENA. YESU HAKUWA MUNGU ALIKUWA MTU KAMA MIMI NA WEWE. AMBAE ALIKUFA KWA KUNYONGWA KWENYE MTI.

KAMA VILE MUHUNI, MALAYA, MUUWAJI MOHAMAD IBN ABDULLAT AMBAE KAJIPA UTUME NA MSUKULE KAMA WEWE UKAMUAMINI MALAYA KUWA MTUME WAKO. AMBAE NAE ANAKIRI KUWA SIKU YA MWISHO ATAHUKUMIWA NA HUYO YESU.

USICHONIELEWA HAPO NI NINI? KIFUPI HAKUNA NINAE MUABUDU KATI YA MALAYA, MUUWAJI NA ASIE MUNGU.
Usimtukane Muhammad hajakufanya kitu, utaumia
 
Du! Uhuru wa mawazo na imani, haki kwwli "imefika kwa wahusika
 
Nitaumia? UKWELI UTAKUWEKA HURU. SOMA HISTORIA YA HAWA WAHUNI. HAWASTAHILI HATA KUFIKIRIWA KWA UHUNI WALIOUFANYA KTK ULIMWENGU HUU.
Sasa wenzako wakiwa wahuni, nyinyi wengine mtakuwa mabaradhuli, sasa uhuni na ubaradhuli ni ipi strong behaviour kwa mwanamme
 
Lakini kumbukeni hakuna haki bila wajibu. Wajibu kidini ni kuishi kwa imani yako kikamilifu bila kukashifu imani ya mtu mwingine, kwa kuwa wote Muumba wetu ni mmoja - Mungu na aachwe aitwe Mungu
 
Swali:

Wapi katika vitabu vyote uvijuavyo ulimwenguni , Mungu alisema nitajidhihirisha kwa umbo la kibinadamu ??????

Hayo maneno uliyoyanukuu si maneno ya malaika
1476198830216.jpg
1476198840220.jpg
1476198856760.jpg
1476198895792.jpg
Naimani nimejibu!!.
 
Sasa wenzako wakiwa wahuni, nyinyi wengine mtakuwa mabaradhuli, sasa uhuni na ubaradhuli ni ipi strong behaviour kwa mwanamme
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA. WAHUNI, MALAYA, WAUAJI NA WABAKAJI WANAWEZAJE KUWA MITUME?

NI MAZUZU NA MAZOMBIES NDIO WANAOWEZA FWATILIA UTUMBO HUO.

FUNGUENI MACHO MIAFRIKA. HUU SIO WAKATI WAKUBURUZWA. MUHOJI MAMLAKA ZILIZOBUNI UJINGA HUU WA DINI.
 
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA. WAHUNI, MALAYA, WAUAJI NA WABAKAJI WANAWEZAJE KUWA MITUME?

NI MAZUZU NA MAZOMBIES NDIO WANAOWEZA FWATILIA UTUMBO HUO.

FUNGUENI MACHO MIAFRIKA. HUU SIO WAKATI WAKUBURUZWA. MUHOJI MAMLAKA ZILIZOBUNI UJINGA HUU WA DINI.
Hujajibu kabisa, hamna uhusiano kati Ya swali na jawabu
 
Nitaumia? UKWELI UTAKUWEKA HURU. SOMA HISTORIA YA HAWA WAHUNI. HAWASTAHILI HATA KUFIKIRIWA KWA UHUNI WALIOUFANYA KTK ULIMWENGU HUU.
Mnepha hata kama huamini yeyote unaoandika hapa ni upumbavu na ubaradhuli,please usicheze na imani za watu,we ni MTU tu,na walikuwepo wengi tu kama wew wamepita!!!..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom