Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
UMEISHIWA , HUWEZI KUJIBU HOJA

Nakuelimisha zaidi


Paulo Na Ukristo

• Biblia yamdhihirisha Mungu anayeabudiwa na Wakristo
• Paulo alivyoibadilisha majina "miungu-Zeu" na "Herme" ya Wapagani na kuiita "Yesu"!
• Afundisha desturi na sifa zao kuwa ni moja

Uhusiano kati ya mungu wa Ukristo na miungu ya upagani


Sambamba na imani hiyo ya watu wa mataifa au wapagani, ya kuamini miungu-watu (akina Zeu na Herme) wanayoiamini kuwa na desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu maandiko ya Biblia tukufu yanafundisha pia kuwa, muasisi wa dini ya Kikristo, Bwana Paulo naye baadae aliihubiri miungu hiyo ya wapagani lakini kwa jina lingine. Uthibitisho wa hilo tunaupata kwenye mafundisho yake mwenyewe (Paulo) yafuatayo:

"Nakuandikia hayo nikitaraji kuja kwako hivi karibuni. Lakini nikikawia upate kujua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, iliyo Kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli. Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaamniwa katika ulimwengu, akachukuliwa juu katika utukufu". (1 Timotheo 3:14-16)

"Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa Yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu, kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu." (Wafilipi 2:5-7)

Cha msingi anachofundisha Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, hapo mwanzo Yesu (a.s.) alikuwa hana tofauti yoyote na Mungu, kwa maana kwamba alikuwa ni Mungu kamili! Baadae akaona kuna umuhimu pia awe mtumwa; kwa hiyo akaamua kuuvua Uungu wake na kuuvaa mwili akawa mwanadamu kamili japokuwa roho yake iliendelea kubaki kuwa Mungu!

Aidha, kwa lugha ya jumla anachotueleza Bwana Paulo hapo juu ni kwamba, kipindi fulani Yesu (s.a.) alikuwa Mungu kamili na kipindi kingine alijibadilisha akawa mwanadamu kamili japokuwa Uungu wake ukabaki nao rohoni! Kwa uchache, hivi ndivyo Bwana Paulo (muasisi wa Ukristo) afundishavyo kuhusu Mungu.

Hata hivyo, mafundisho hayo ya Bwana Paulo kwamba Yesu ni Mungu japokuwa ni mwanadamu kamili, yanapingwa vikali na mafundisho sahihi ya Bwana Yesu mwenyewe (a.s.) kama ifuatavyo:

"Na mmojawapo wa waandishi akafika, akawasikia wakisemezana naye, akatambua ya kuwa amewajibu vema, akamwuliza, katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza? Yesu akamjibu, Ya kwanza ndio hii, sikia Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja; nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote. Na ya pili ndio hii. Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi. Yule mwandishi akamwambia, Hakika, Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja, wala hakuna mwingine ile Yeye, na kumpenda yeye kwa moyo wote, na kwa ufahamu wote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani kama nafsi yako, kwafaa kuliko sadaka nzima za kuteketezwa na dhabihu zote pia. Naye Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, alimwambia, Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumsaili neno tena tokea hapo". (Marko 12:28-34)

"Yesu akamwambia. Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu". (Yohana 20:17)

Hapa Bwana Yesu (a.s.) anawafundisha wanadamu wafahamu kwamba Mungu wake na wao ni mmoja tu na daima hakuna mwingine.

Sambamba na ukweli wa mafundisho yake hayo, ni jambo lilowazi kabisa pia kwamba, hakuna mahali popote ndani ya maandiko matakatifu ambamo Bwana Yesu (a.s.) katika maisha yake yote alimowahi kukaririwa akidai Uungu japo kwa kutania. Kinyume chake tunaona mara nyingi alikaririwa akifundisha wazi wazi kuwa Yeye ni mtu (Tazama Yohana 8:40) na kusisitiza mara kwa mara kwamba yeye daima ni mwanadamu kamili (Tazama Mathayo 11:19)

Aidha, kwa kuzingatia ukweli kwamba yeye (Yesu a.s.) ni mtu na ni mwanadamu kamili kama mwenyewe alivyofundisha hapo juu, tumeona jinsi Mungu (Yehovah au Allah s.w.t.) anavyokataa kata-kata kwamba Yeye kamwe si mtu na wala si mwanadamu kwa kila hali (rejea Hesabu 23:19)

Kwa shuhuda hizo basi ni wazi kuwa Mungu aliyekuwa akimhubiri Bwana Paulo hapo ni ile ile miungu ya wapagani (akina Zeu na Herme). Kwa kutumia jina la "Yesu", hasa kwa kuzingatia desturi aliyomsifia kuwa nayo mungu wake huyo ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu i sawa na imani ile ya watu wa mataifa au wapagani katika miungu yao hiyo (Zeu na Herme).

Mafundisho kama hayo ya Bwana Paulo yamepelekea leo kuwababaisha wanadamu wamdhani Yesu kuwa ni Mungu wakati si kweli.

Sambamba na mafundisho yake hayo juu ya desturi hiyo ya miungu hiyo ya kipagani katika kutilia mkazo kwamba mungu wa dini yake ya Kikristo kwamba ana desturi ya kujibadilisha badilisha, Bwana Paulo alidiriki kudai kuwa mungu wake huyo aliyemwita "Yesu" pia wakati mwingine huwa anakuwa jabali! Uthibitisho wa dai lake hilo tunaupata katika kauli yake ifuatayo:

"Kwa maana ndugu zangu sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu, wote wakapita kati ya bahari, wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari; wote wakala chakula kile kile cha roho; wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo". (1 Wakorintho 10:1-4)

Katika maelezo yake hayo juu, mwamba anaoukusudia hapo Bwana Paulo anaodai eti ulikuwa ni Kristo, yaani Yesu, ni lile jabali lililokuwa katika Horebu ambalo Nabii Musa (a.s.)kama Biblia ifundishavyo alilipiga kwa fimbo yake kisha maji yakatoka na watu wakapata kunywa (Tazama Kutoka 17:6).

Kwa maelezo yake hayo, yaonyesha dhahiri Bwana Paulo anakiri kwamba Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kutandikwa bakora na Nabii Musa (a.s.)! Ingawa Nabii Musa (a.s.) haonekani kabisa katika zama zake akiwa pamoja na Nabii Yesu (a.s).

Kwa ujumla, mafundisho hayo ya Bwana Paulo yanalenga wazi katika kuonyesha sifa kubwa ya Mungu anayemhubiri kwamba ni pamoja na kujibadilisha-badilisha katika maumbile tofauti! Ambapo desturi hiyo (ya kujibadilisha-badilisha) haipatikani isipokuwa katika imani ya wapagani juu ya miungu yao, ndivyo waiaminivyo kuwa ina sifa hiyo (kama tulivyoona hapo awali).

Na ni katika mafundisho kama hayo ya Paulo ndipo unapopatikana dhahiri shahiri uhusiano halisi wa imani ya mungu-mtu kati ya dini yake ya Kikristo na dini ya kipagani.

Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa asili ya Mungu anayeabudiwa na Wakristo inatokana na imani ya miungu-watu ya kipagani kama ile akina Zeu na Herme.
Sasa kama hayo maandiko ameandika mvaa GAUNI mwenzio shida yake nn?angeandika Mkristo usingeona hivyo vyeo mbele ya majina ya mitume mf,Daud(a.s)
 
Yaani inamaanisha hujui kuwa tunaamini kuwa mwana wa mungu ni divine title yani mungu ana nafsi tatu Baba ,Mwana na roho mtakatifu... Yohanna 17:5. Baba unitukuze Mimi na ule utukufu tuliokuwa nao kabla ya dunia kuwako.. Kwenye Islam Allah hana mwana na hana uwezo wa kuwa na mwana, mungu asiyeweza sio mungu tena.. Kama kuwa na mwana ni jambo baya mbona kwenye jennah(heaven) yake kuna virgins 72 ambao waislam watapewa kufanya nao sex..Hawa wote wa nini? Yesu alisema mbingun hakuna kuuoana wote Tutakuwa kama malaika. Mafundisho ya yesu na muhammad ni tofauti..
Sasa wewe wa nafsi tatu za uungu ndio nataka unijibie maswali yangu ya huo utatu kama utanielewesha vizuri basi utanipeleka kanisani ila maswali yangu ni ya kutumia akili hivyo kabla ya kunijibu kwanza rudia kusoma swali kisha changanua kisha unijibu.

Swali La kwanza lililonipa mashaka na imani ya kikristo ni hili nijiuliza hapa:

Kuwa mtoto ni kuwa chini ya daraja ya uungu na kuwa na uungu ni kutokuwa mtoto wa yoyote. Vipi Yesu atakuwa na sifa ya utoto na uungu kwa wakati mmoja?
 
ndugu yangy nyankundo,yakobo kapewa jina la israel ukubwani,takriban miaka kumi na tano baada ya kuzaliwa ISHMAEL.

POINT hapa ni jina El,
kumbuka wakati waebrania wanakuja caanan kutoja iraq waliwakuta wacaanan wakiabudu mungu alieitwa El,kabla hata ya mungu yehova hajatokea,
maana yake ni kuwa abrahamu alikuwa akiabudu mungu El,
ni uongo kusema mungu alitaja jina lake kwa mara ya kwanza mbele ya yakobo,vinginevyo yakobo angeitwa israyahwh.
El ni jina la mungu huyo yehova ni mungu fake na sasa.
Logic ni kuwa El ndo huyohuyo Allah au pengine hata Elloh.

Sijui kwanini hawa wagalatia kila baada ya miaka 50 wanabadili jina la mungu wanaeabudu,saa hizi wanasema kumbe mungu wao anaitwa yesu na si jehova tena,ha ha ha ha
Hamna kitu kama hicho nipe mstari kuonyesha yakobo .halafu nipe heshima ni nyiokunda
 
abraham alihamia caanan akiwa tayari kishavuka miaka 70 kama sikosei,history ya abraham kuanzia akiwa na mwaka mmoja hadi miaka 70 haipatikani ndani ya bible,which means bivle yenyewe iko incomplete.
Kuna mambo meeengi sana mtu anaweza kuyafanya ndani ya miaka 70.
Mfano katika maandiko ya kiislamu na kiyahudi kuna story za abrahamu akiwa kijana kuvunja masanamu ya baabake ambayo alikuwa akiyachonga na kuwauzia watu kama miungu,
kuna story ya abraham kuwekwa ndani na mfalme NIMROD kama sikosei kwa kusema kuwa mungu ni mkuu kuliko mfalme Nimrod,kuna story za abraham kuchomwa moto na asiungue kwa amri ya mfalme etc,
sasa hata kama alijenga kaaba,usidhani inaweza kuwa kubwa kama ilivyo leo,
anaweza kujenga mahali pa kusalia kwani yeye hakuabudi masanamu,kisha baada ya miaka 3000 hapohapo ndo pakachipua kaaba unayoiona leo

Hapo tatizo la kujiuliza ni zile ibada walizo kuwa wanafanya makafir wa kikureshi pale al kaaba muhammad aliendelea kkuziimarisha!; mf; tawaf, kutufu, kuzunguka safaa na marwa, kunyoa nywele na kukata kucha, kupopoa mawe, ka-update hapa, wale makureshi walikuwa uchi uchi uchi yeye kaboresha muwe nusu uchi unavaa vipande viwili vya ihram bila chupi kimoja juu kimoja chini, kuchinja, ndoa za muta...vyote hivyo aliviendeleza kiibada...kama alivyo Fanya baba take ambaye aliitwa and allah jina lenye maana ya mtumishi wa Allah...hapo ndipo ujue ghilba za muhammad na Mungu wake aliye mtoa mfukoni...
 
Wewe nimekwambia ukristo ni baada ya kristo.nisome usikurupuke.

Harafu unaposema uislamu ni dini ya watu wakale kabla ya yesu, uje na jibu kwanini mwaka wa kiislamu mpaka sasa ni 1600???
Mkuu atalitoa wapi MUDI kashamharibia kuw yey ndo mwislam wa KWANZA DUNIAN?
1475392426074.jpg
1475392431399.jpg
 
[QUOTE="mkorinto, post: 17879595, member:atakusikia emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Embu ona haya basi kabla kuhimizwa kutumia akili yako.

Ndio maana huwa tunawadharau kwa kuufananisha ukristo na mambo ya kijinga, yaani Mungu anajua lugha zote, halafu nikienda china nitafute namna china wanavyosali[emoji53] [emoji53].

Uislamu ni uniform dunia nzima na kutafsiri ni kuipunguza/kuongeza ujazo, hizi tafsiri zake za kiswahili zinaandikwa na wakristo????
Kapige azana kwa kikurya uone allah kama atakusikia na bakora za makalio utatandikwa na wafuasi wa allah...[/QUOTE]
Huwezi kupiga adhana kikulya kwasabu adhana apigiwi Mungu bali anapigiwa waumini kwa waumini kuhimizana kuwa muda wa ibada imewadia na ibada ni haki na wajibu wa kila muumin haijalishi mmakonde au mlugulu au muhazabe. Hivyo inapigwa adhana kwa lugha iliyo rasmi kumuwezesha hata kama kuna muislam mkimbizi kutoka vatican yupo eneo la karibu anapata kujua kwamba hapa nakumbushwa wakati wa ibada na pia katika adhana anapata kusikia maneno na sifa za Mwenyezi Mungu hata kama yeye ni muislam kutoka italy lakini anajua kinachoendelea hivyo atajongea msikitini kuambatana na wamakonde ibadani.
 
Yaani baada ya kuleta kwa maandiko una ongea ngonjera. Mafundisho Ukristo ulianza antokia baada ya yesu kuondoka. Sasa si ukatae kwa hoja zilizowazi au huna utetezi?

Matendo 11:25-26

Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26 hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia

Yaani baada ya kuleta kwa maandiko una ongea ngonjera. Mafundisho Ukristo ulianza antokia baada ya yesu kuondoka. Sasa si ukatae kwa hoja zilizowazi au huna utetezi?

Matendo 11:25-26

Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26 hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia
Muhammad hakuyajua hayo hadi amewapa Wakristo darja la wacha Mungu na Wasomi? Ref; kuluani.5:82..hhhhhhhhh...
 
Tatizo unabandika maandiko mengi kwa wakati mmoja. Weka moja kwanza upate ufafanuzi. Hilo swala la yesu kusema kwamba mimi na baba ni wamoja au aliyeniona mimi kamuona baba. Yesu hakumaanisha kuwa ni wamoja kiuungu bali ni wamoja kimafundisho. Yesu alitumwa na Mungu hivyo anachonena ndio kile kile alichoagizwa na Mungu.

Yohana 14:23-24

Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.
24 Mtu asiyenipenda, yeye hayashiki maneno yangu; nalo neno mnalolisikia silo langu, ila ni lake Baba aliyenipeleka
Yaani wewe una itafikia biblia haswaaa sijui hawaelewi wapi ?Mungu awaongoze kwakweli maana mengine ni kwa rehema tu.
 
Kapige azana kwa kikuryatone allah kama atakusikia na bakora za makalio utatandikwa na wafuasi wa allah...
Huwezi kupiga adhana kikulya kwasabu adhana apigiwi Mungu bali anapigiwa waumini kwa waumini kuhimizana kuwa muda wa ibada imewadia na ibada ni haki na wajibu wa kila muumin haijalishi mmakonde au mlugulu au muhazabe. Hivyo inapigwa adhana kwa lugha iliyo rasmi kumuwezesha hata kama kuna muislam mkimbizi kutoka vatican yupo eneo la karibu anapata kujua kwamba hapa nakumbushwa wakati wa ibada na pia katika adhana anapata kusikia maneno na sifa za Mwenyezi Mungu hata kama yeye ni muislam kutoka italy lakini anajua kinachoendelea hivyo atajongea msikitini kuambatana na wamakonde ibadani.[/QUOTE]
Kwa hiyo muumini asiyejua kiarabu anaona kelele kama jogoo anawika eeh..wazimu ni fani tobaa...
 
Wewe hujui ukristo wala harufu yake, usichekeshe watu bwana.

Ungeujua ukristo, usingeanza kubabika kuhusu kuitikia wala utafanya nini ukiwa kanisani china au japan.

Kwa akili yako wewe kusali kwa wakristo ni kupiga magoti kuimba na kuitikia?????
Ibada ya kikristo imeambata na maneno na vitendo. Hakuna dhehebu hata moja linalofanya ibada kibubu bubu. Kuna mahubiri, somo (RC) unapaswa kujua kinachoongeleka ni nini. Na pia lazima sawa na padri au mchungaji anachokizungumza. Kama wewe ni mswahili halafu padri anaongea kispania wakati wewe hujui kihispania ni wazi kabisa utakuja haujui anachoongea padri au mchungaji
 
Hamna kitu kama hicho nipe mstari kuonyesha yakobo .halafu nipe heshima ni nyiokunda
sorry,haya majina ya kikabila inatakiwa uandike huku unatazamia vinginevyo unakosea spelling,
kwani mkuu huna habari yakobo alipigana mieleka na jehova na akamshinda?
Na hapo ndo akaitwa ISRAEL,
Nachouliza kwanini aitwe israel wakati El ilikuwa ni deity ya wacaanan?
Bado yakobo alijenga sehemu ya kuabudia iliyoitwa Beitel- yaani nyumba ya mungu,
unadhani ni kwanini baada ya israel kutawanyika,jerusalem ndo ulifanya mji mtakatifu na si BeithEl?.


Kumbuka pia katika bible kuna watu wana majina mfano-
AbdiEl.

Hilo jina abdiel ni sawa na jina la kiarabu AbdaAllah,maana yana maana moja,which means El na allah ni the same meaning.

Which means abraham aliabudu El ndo maana hata mtoto wake alimwita ISHMAEL,
Kama nilivyosema El na Allah ni kitu kilele tofauti matamshi,nahiyo maana yake abraham aliabudu Allah na si jehova au yesu.


Sasa hebu nitupie ka aya kamoja ka biblia kakionyesha abraham akiabudu jehova?
 
Amesema pia ANATAKA andiko kuw wap kweny BIBLIA sijui et Manabii walikuw WAKIRSTO?nataka kwanza ajue kuitwa MKIRSTO bahati san,pil aya zifuatazo zaonyesh kuw MANABII WOTE WALIBATIZWA,sasa atuambie kat ya sis na Wao Ubatizo akina nan wana hiyo sifa?
1475392946667.jpg
1475392997817.jpg
1475393011939.jpg
1475393019540.jpg
1475393037658.jpg
1475393042589.jpg
1475393046148.jpg
1475393536158.jpg
1475393549659.jpg
1475393592358.jpg
1475393602408.jpg
SIJUI HUKO KUSILIMISHANA MMEKUTOA WAP,CHAKA MLILOINGIZWA NA "ASIYEJUA KUSOMA" HAMPON KWAMWE.
 
Ibada ya kikristo imeambata na maneno na vitendo. Hakuna dhehebu hata moja linalofanya ibada kibubu bubu. Kuna mahubiri, somo (RC) unapaswa kujua kinachoongeleka ni nini. Na pia lazima sawa na padri au mchungaji anachokizungumza. Kama wewe ni mswahili halafu padri anaongea kispania wakati wewe hujui kihispania ni wazi kabisa utakuja haujui anachoongea padri au mchungaji
Inategemea umeenda kufanya nini.

Kusali ama kisikiliza anachoongea, ilhali unajua yeye ni mholanzi wewe ni msukuma.utang'ang'ania umuelewe!!!!!!
 
msisitizo wake ulikua katika jina israel,
kataja abraham,isaka,yakobo ambao ndo israel,ndo maana nikamcrush kuwa yakobo jina hilo kalipatia ukubwani kwahiyo ni nickname,wakati ishmael ni jina la kuzaliwa,
pia abraham,isaka sio waisrael wala wayahudi,

sijakuelewa kuhusu allah,
nilichoonyesha ni kuwa El lilikuwa ni jina la walilotumia jamii za caanan kama MUNGU.

HOW COME JACOB akaitwa Israel kama hakuendelea kumuabudu El?.

Huyo yahw,au kwa kiswahili JEHOVA alitoka wapi,kama kweli jehova ni mungu wa yakobo,kwanini yakobo aitwe ISRAEL NA SI ISRAYAHW?
au kwani asiitwe ISRAYESU,maana kumbe mungu wa israel ndo huyo yesu sikuhizi
lugha lmani ya Wakeisto wewe in usiku wa Giza...ninachoona una wazimu wa maswali basi.. Ref 1Tm.6:3-5
 
Hapo tatizo la kujiuliza ni zile ibada walizo kuwa wanafanya makafir wa kikureshi pale al kaaba muhammad aliendelea kkuziimarisha!; mf; tawaf, kutufu, kuzunguka safaa na marwa, kunyoa nywele na kukata kucha, kupopoa mawe, ka-update hapa, wale makureshi walikuwa uchi uchi uchi yeye kaboresha muwe nusu uchi unavaa vipande viwili vya ihram bila chupi kimoja juu kimoja chini, kuchinja, ndoa za muta...vyote hivyo aliviendeleza kiibada...kama alivyo Fanya baba take ambaye aliitwa and allah jina lenye maana ya mtumishi wa Allah...hapo ndipo ujue ghilba za muhammad na Mungu wake aliye mtoa mfukoni...
ha ha ha,kwahiyo kuzunguka na kukata kucha ni upagani?
Ulitaka waenda na suit ya vipande vitatu,hivi walijua joto la kule wewe?,
 
To any Muslim prove to me Kaaba existed before 600 AD. Maana navyosikia Abraham ndo alitengeneza Kaaba ni Abraham huyu huyu ninayemjua au mbona hakuna hata neno moja kuhusu Kaaba kwenye bible kama ndio the most holy place of Allah.. HATUWEZI KUWA TUNAABUDU MUNGU MMOJA..
8:8 yeremia .......sisi tuna akili na taurati ya bwana ipo pamoja nasi tazama kalamu ya mwandishi imeifanya taurati kuwa uongo. my take biblia siyo reliable source, ndio maana inajichanganya sehemu nyingi paulo anawapoteza
 
Amesema pia ANATAKA andiko kuw wap kweny BIBLIA sijui et Manabii walikuw WAKIRSTO?nataka kwanza ajue kuitwa MKIRSTO bahati san,pil aya zifuatazo zaonyesh kuw MANABII WOTE WALIBATIZWA,sasa atuambie kat ya sis na Wao Ubatizo akina nan wana hiyo sifa?View attachment 410746View attachment 410747View attachment 410748View attachment 410749View attachment 410750View attachment 410751View attachment 410752View attachment 410755View attachment 410756View attachment 410758View attachment 410759SIJUI HUKO KUSILIMISHANA MMEKUTOA WAP,CHAKA MLILOINGIZWA NA "ASIYEJUA KUSOMA" HAMPON KWAMWE.
Kwanza umesema uongo. Maandiko yako yote hakuna neno dini ya ukristo. Halafu pili katika hilo andiko la ibrahim ulilotoa hakukusema ibrahim ni mkristo. Na jambo la tatu ni kwamba hakuna andiko lililoonesha kubatizwa kwa daudu, musa na ibrahim hivyo ni wazi hawakubatizwa. Na jambo la mwisho ni kwamba kama unadai ya kwamba ubatizo ulikuwepo tangu zamani je ni nani aliyekuwa mbatizaji wa hao watu kabla ya kuja yohana?
 
lugha lmani ya Wakeisto wewe in usiku wa Giza...ninachoona una wazimu wa maswali basi..
huwezi kujibu maana upeo wako sio mrefu,
wewe saa hizi unawaza kuwahi kwa ngwajima akuombee ununue kibabywalker afu jumapili uende na funguo wa gari na utoe ushuhuda,"bwana amenibariki sana mchungaji uliponiombea nimefanikiwa kununua gari,na ufunguo ndo huu,sasa nimeanza kujenga nyuma,Bwana wetu yesu asifiwe sana"

hujiuliza mbona kule china wanaabudu budha na wanajenga na kumiliki vitu vya hatari wao nani anawabariki?
 
Kubishana na muislamu ni kitu kigumu sababu Quran yote imeandikwa kuupinga ukristo... Huyu mungu tunayembishania hapa hakuna nabii yoyote ambaye ameshawahi kumuona isipokuwa Yule aliyetoka kwake Yesu kristo na ambaye yuko mbinguni hivi sasa ameketi mkono wa kuume wa Baba yake. Muhammad yupo kaburini, jiulize swali kwa nini Allah alishindwa kumuokoa muhammad lakini akamuokoa yesu. Je yesu c mkuu kuliko muhammad.. Katika manabii wote ni muhammad tu ambaye hakuongea na mungu direct yeye ni jibril tu halafu hakuna hata shahidi aliyemuona huyo jibril..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom