Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.


Uhusiano kati ya ibada za dini ya Kikristo na ibada za dini ya Kipagani

Katika maelezo yaliyopita tumeona kwa uchache jinsi muasisi wa dini ya Kikristo, Bwana Paulo alivyokuwa akimshutumu Petro, Barnaba na Wayahudi wengine alipokutana nao huko Antiokia (kwa watu wa mataifa au wapagani) kwa kutofuata kwao moja kwa moja desturi (ibada) za watu wa mataifa (wapagani), kinyume na walivyokuwa wakifanya hivyo kabla ya Wayahudi wenzao waliotoka kwa Yakobo (Myahudi) kufika hapo Antiokia. (Rejea Wagalatia 2:11-14).

Zaidi ya hivyo, tuliona pia Bwana Paulo jinsi alivyokuwa akimlaumu Petro kwa kitendo chake cha kuwashurutisha watu hao wa mataifa, yaani wapagani kufuata desturi za Wayahudi (yaani kufuata Torati ya Nabii Musa a.s.) akidai kwamba mwanadamu hatohesabiwa haki kwa matendo ya sheria (Torati); lakini kwa imani ya Kristo Yesu! (Rejea Wagalatia 2:14-16)

Kwa maelezo yake hayo, ikadhihirika kuwa Bwana Paulo alikwenda kwa watu wa mataifa (wapagani) kufuata dini yao ambayo kama tulivyoona, pia ilikuwa ina ibada zake wanazoifanyia miungu yao (miungu-watu) walioiamini kuwa ina desturi ya kujigeuza kuwa wanadamu.

Kwa hali hiyo, kwa kuwa Bwana Paulo anafuata mia kwa mia desturi za dini ya watu wa mataifa, yaani wapagani, tuliona kuwa huo ndio lazima utakaokuwa msimamo pia wa ibada za dini yake ya Kikristo.
Na ili kuthibitisha uhusiano huo (kati ya ibada za dini ya Paulo ya Kikristo na ibada za dini ya kipagani) hapana budi hapa nikazirejea japo kwa uchache ibada hizo za watu wa mataifa (wapagani) kama zilivyotajwa na Yehova; kisha tuzilinganishe na ibada za dini ya Kikristo, tuone jinsi kimsingi zinavyolingana.

Ibada hizo (za watu wa mataifa au wapagani) zimetajwa kwa uchache na Yehova alipokuwa akiwakemea wanadamu wajiepushe nazo kama ifuatavyo:

"Utakapokwisha kuingia katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako, usijifunze kutenda kwa mfano wa machukizo ya mataifa yale. Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu. Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa BWANA, kisha ni kwa sababu ya hayo BWANA, Mungu wako, anawafukuza mbele yako". (Kumbukumbu la Torati 18:9-12).

Bali walijichanganya na mataifa, wakajifunza matendo yao. Wakazitumikia sanamu zao, Nazo zikawa mtego kwao. Naam, walitoa wana wao na binti zao kuwa dhabihu kwa mashetani. Wakamwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana wao na binti zao, Waliowatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani; Nchi ikatiwa unajisi kwa damu". (Zaburi 106:35-38).

Katika maandiko hayo, Yehova kwa uchache tunaona amezitaja ibada hizo zisizopungua nane ambazo hufanywa na watu wa mataifa (wapagani) akiwataka wanadamu wajiepushe nazo mbali kabisa ili waweze kupata radhi yake hapa duniani na kesho huko akhera.

Kati ya ibada hizo za wapagani alizozikemea Yehova hapo juu, amezitaja pia ibada nne ambazo nimeziwekea alama ya maandishi meusi sana (bold) kwa ajili ya mazingatio katika uchambuzi ujao hapo punde.

Ibada hizo ni pamoja na kuua wana na binti (kama kafara), kupandisha pepo, kuwaomba wafu na kuzitumikia (kuabudu) sanamu.

Tuzitazamapo ibada hizi, tunaona ndizo leo zimekuwa ibada za msingi katika dini ya Kikristo mpaka dakika hii na hivyo kudhihirisha wazi uhusiano wa kimsingi kati ya ibada zake (Ukristo) na ibada za dini ya kipagani ambazo Yehova amewakemea vikali wanadamu kujishughulisha nazo kwa namna yoyote ile.
Mfano wa ibada kama hizo za wapagani zilizomo katika dini ya Kikristo mpaka leo ni kama zifuatazo:

Kuua wana

Hii ndiyo ibada kuu ya msingi katika dini ya Kikristo mpaka dakika ya leo.

Licha ya Yehova kuwakemea vikali wanadamu kujihusisha nayo, lakini sambamba na kuanzisha dini yake hiyo (Kikristo), Bwana Paulo aliamua pia kuifundisha ibada hiyo kwa kuunga mkono dhana ya kuuliwa mwana wa Mariamu (Nabii Isa au Yesu a.s.) kama kafara ya dhambi kwa waumini wa dini yake hiyo (Ukristo), kwa kusema:

"Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu tulipokuwa tungali wenye dhambi" (Warumi 5:8).

"Kristo alitukomboa katika laana ya Torati kwakuwa alifanywa laana kwa ajili yetu, maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti". (Wagalatia 3:13)

Kwa uchache, hivi ndivyo Bwana Paulo aifundishavyo ibada hiyo (ya kuua wana) akiunga mkono dhana ya kuuliwa mwana wa Mariamu kama kafara ya dhambi za Wakristo wote.

Sambamba na mafundisho hayo ya Bwana Paulo juu ya ibada hiyo (kuua wana) waandishi wa agano jipya kwa kuwa nao walidhamiria kuuandikia Ukristo wa Paulo, kama ilivyo kazi yao (kusherehesha mafundisho ya Paulo) katika kusherehesha ibada hiyo kama ilivyofundishwa na "mwalimu wao" Bwana Paulo, katika Injili zao na nyaraka zao wamediriki hata kupenyeza maneno kinywani mwa Bwana Yesu (a.s.) wakisimulia kuwa Yesu mwenyewe (a.s.) ati aliwahi kutabiri kuuliwa kwake msalabani (Tazama Mathayo 12:40, 20:17-19; Marko 10:32-34; Luka 18:31-33 na kadhalika).

Nasema waandishi hao wamepenyeza ibada hiyo (ya kuua wana) kinywani mwa Yesu (a.s.) kwa sababu siyo wao tu, bali hata 'mwalimu wao' Bwana Paulo anajua wazi kuwa Bwana Yesu (a.s.) kamwe hawezi akathubutu kufundisha ibada potofu za watu wa mataifa, yaani wapagani, zilizokemewa vikali na Yehova.

Kwa upande mwingine, kutokana na mafundisho hayo ya Paulo yanayounga mkono ibada hiyo ya wapagani (ya kuuwa wana), katika kuunga kwao mkono na kutilia mkazo mafundisho hayo (ya Paulo), Wakristo pia wameibua kitu kiitwacho "Ekaristi takatifu", "Chakula cha Bwana", "Meza ya Bwana" na kadhalika. Hapo hula mikate na kunywa divai wakiashiria kuula mwili wa Yesu (a.s.) na kuinywa damu yake wakijifariji kwa dhana ya kuuliwa mwana wa Mariamu! Sambamba na hilo, pia wamezua "sikukuu ya Pasaka ya Yesu" kama kumbukumbu ya kutukuza dhana ya kuuliwa mwana huyo wa Mariamu kama kafara ya dhambi zao! Kwa ujumla, ibada hiyo ya kipagani inaungwa mkono mia kwa mia na dini ya Kikristo.

Kwa uchache, ibada hiyo (ya kuua wana) ni chukizo kubwa kwa Yehova kwa kuwa alikwishaikemea vikali. InshaAllah upotofu wa ibada hii nitauelezea zaidi katika makala zangu zijazo nitakapokuwa nikiwajibu wapinzani wote wa neno la Mungu waliojitokeza kuzidandia makala zangu zile zilizohusu "Pasaka wa kweli wa Mungu" ijapokuwa waliteleza kwa kufinyangafinyanga maneno wakitoa hoja dhaifu zisizokuwa na msingi wowote.
 
Sema wewe kabla ya muham mad ibada hizo alifanya mtume gani zaidi ya makafir wa kikureshi [emoji351] [emoji12] [emoji4]


Kujishughulisha na pepo


Hii ni ibada nyingine ya msingi katika dini ya Kikristo. Hata hivyo, katika kutilia mkazo makemeo yake dhidi ya ibada hiyo potofu, Yehova aliwaambia wanadamu kama ifuatavyo:

"Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi; msiwatafute; ili kutiwa unajisi na wao; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu". (Mambo ya Walawi 19:31)

"Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala; akatawala miaka hamsini na mitano katika Yerusalemu; ... Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawa sawa na machukizo ya mataifa; ... akajishughulisha na hao wenye pepo wa utambuzi, ... akafanya mabaya mengi machoni pa BWANA, hata kumkasirisha". (2 Wafalme 21:1-6)

"Tena mtu mume na mtu mke aliye na pepo au aliye mchawi, hakika atauawa, watawapiga kwa mawe, damu yao itakuwa juu yao". (Mambo ya Walawi 20:27)

Kulingana na maandiko hayo juu, hapo Yehova kwa ujumla anawataka wanadamu wasishirikiane kabisa na watu wenye pepo, bali wajitenge nao mbali kabisa. Zaidi ya hivyo, mbali ya amri hiyo pia Yehova ameamuru wenye pepo wauawe kabisa na si kuacha kujishughulisha nao tu.

Pamoja na makemeo hayo ya Yehova dhidi ya yeyote anayejishughulisha na pepo, lakini muasisi wa Ukristo, Bwana Paulo anasema:

"Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka; juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho". (Waefeso 6:12)

Kulingana na maelezo hayo ya Paulo hapo juu, tunaona wazi kwamba wakati Yehova amefikia kuamuru kuuawa yeyote atakayebainika akijishughulisha na pepo, hapo juu Bwana Paulo anawataka watu wajishughulishe na pepo kwa kushindana nayo!

Na kama ilivyo desturi yao kuuandikia Ukristo wa Paulo, waandishi wa agano jipya katika kusherehesha mafundisho hayo ya 'mwalimu wao' (ya kuruhusu watu washindane na pepo), wamethubutu kuonyesha katika Injili zao kuwa ati Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kujishughulisha na pepo na kuwaagiza wafuasi wake wafanye hivyo! (Tazama Mathayo 8:28-32; 15:21-28; Marko 5:1-13; 7:24-30; 9:38-40; 16:17; Luka 8:26-33).

Pamoja na Paulo na washereheshaji wa mafundisho yake hayo kuhubiri mafundisho hayo ya dini yao ya Kikristo, lakini wanafahamu fika kwamba Bwana Yesu (a.s.) kamwe hawezi kusema au kutenda jambo lolote lililokatazwa na Yehova aliyemtuma, kama hilo la kujishughulisha na ibada hiyo (ya kujishughulisha na pepo) ambayo imetokana na wapagani.

Kwa ujumla basi, katika kufuata mafundisho hayo ya Paulo, ndio utaona mpaka leo Wakristo hasa walokole hujishughulisha sana na pepo katika mikutano yao ya wazi wanayoiita ya "neno la Mungu", "December Crussade", "November Crussade" na kadhalika. Huku wakijua wazi kwamba asili ya ibada hii imetokana na wapagani na Yehova ameikemea vikali sana!
 
Ha haa,roho mtakatifu anatakiwa anguongoze utakuja badilika tu siku moja.




Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine?


Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?


Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?


Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi? Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?


Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?



Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi?
 
Kwanza mimi siabudu kiumbe. Kiumbe maana yake ni chochote kilichoumbwa, unayeabudu kiumbe ni wewe. Kuhusu mwana wa mungu; mimi nimekuonesha kwamba katika biblia yako kuna neno "wana wa Mungu" kwa wengi tu zaidi ya yesu. Hivyo ukiweka kigezo cha kumfanya yesu kuwa mungu kutokana na kuandikwa kwake mwana wa mungu basi na hao wengineo pia ni miungu yenu. Quran imesema wazi kwamba Mungu hakuzaa wala kuzaliwa. Sasa ukisema kwamba itikadi yenu ni sahihi katika hoja ya uwana wa mungu ki baiolojia (kuzaa) basi naomba utoe andiko jinsi hao wana wa mungu wote hao jinsi mungu alivyowazaa. Ukishindwa kutoa andiko basi ni wazi ya kwamba suala la neno "mwana wa mungu" lipo katika biblical linguistic tu (ni swala lugha ya kibiblia tu) Ambapo wana wa mungu likiwamaanisha watu (manabii) watendao mema kwa mungu (wacha mungu) hivyo hiyo verse ya QURAN itakuwa imebakia katika uhalisia ya kwamba MUNGU HAKUZAA WALA KUZALIWA. Haya nasubiria maandiko unipe sasa.
Swali dogo mbona unaleta bla bla [emoji351] wewe kwa maandiko yako umekubali itikadi ya uwana kama ilivyo andikwa ndani ya Biblia Takatifu [emoji120] jee allah anakubaliana na sisi [emoji351] [emoji351] [emoji350] [emoji350] [emoji348]
Hilo la kuabudu kiumbe sina shaka kabsaa [emoji4] hivi Mungu gani anae Apia kwa [emoji117] aliye umba dhakar na kum℅[emoji768][emoji767]¥[emoji351] [emoji350] [emoji348] jee yeye ndie aliye umba [emoji47] [emoji13] halafu tukirudi kauli ya allah kwamba ili awe na mwana hadi awe na mke as if ni dume la ng'ombe ili awe na mwana lazima angonoke [emoji15] huoni kuwa allah ni kiumbe tu kisicho na uwezo tena ana dhakar kama wewe [emoji47] [emoji351] [emoji12] [emoji4]
 
Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine?


Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?


Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?


Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi? Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?


Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?



Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi?
Gavana WAKATI MWINGINE UTUMIE AKILI KIDOGO, HILO CHAPISHO UNALOLITAKA WEW LA BIBLIA KUWA NDIO SAHIH"ULISHAWAHI KULIONA"AU BAADA YA KUDANGANYWA NAWW UKAINGIA MOJ KWA MOJ, SWAL,""*Hivyo vifungu unavyoquote unavitoa kweny Biblia ipi(isiyochakachuliwa au iliyochakachuliwa)?...
 
Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine?


Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?


Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?


Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi? Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?


Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?



Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi?
By then MBONA HATA QURAN INA MACHAPISHO MENGI HUSEMI?AU NIKUORODHESHEE HAPA,wew ni MTU mzima acha kukaririshw,*IMITATION IS LIMITATION*naanza kuamin hata huko masjid kumb hamfundshn uislam bal UKRISTO,maan hoja zenu ni zile zile,Paul sio Mtume,Yesu si MUNGU,Biblia imechakachuliw...
 
Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine?


Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?


Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?


Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi? Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?


Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?



Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi?
Nikitoa maandiko mbona hamjibu mnakimbia,JANA NIMETOA MAANDIKO MUHAMMAD NDIE MUISLAM WA KWANZA DUNIAN,mbon hujapinga,sijasahau nakusubir,
 
By then MBONA HATA QURAN INA MACHAPISHO MENGI HUSEMI?AU NIKUORODHESHEE HAPA,wew ni MTU mzima acha kukaririshw,*IMITATION IS LIMITATION*naanza kuamin hata huko masjid kumb hamfundshn uislam bal UKRISTO,maan hoja zenu ni zile zile,Paul sio Mtume,Yesu si MUNGU,Biblia imechakachuliw...


Poa ujibu hayo masuali kwanza!!!
 
Nikitoa maandiko mbona hamjibu mnakimbia,JANA NIMETOA MAANDIKO MUHAMMAD NDIE MUISLAM WA KWANZA DUNIAN,mbon hujapinga,sijasahau nakusubir,

Soma heading ya thread kwanza ,hayo unayoleta peke yake ni thread, fungua utajibiwa kwa uwazi
 
Ukitaka uelewe kuwa Yesu ni Mungu basi soma bible kwa kina kisha utakuja kufuta thread hii.
 
8:8 yeremia .......sisi tuna akili na taurati ya bwana ipo pamoja nasi tazama kalamu ya mwandishi imeifanya taurati kuwa uongo. my take biblia siyo reliable source, ndio maana inajichanganya sehemu nyingi paulo anawapoteza
Kalamu ya waandishi hapo umesema kweli!; ona hii > Yesu anasema Peponi mtaishi kama Malaika!; mwandishi Muhammad anasema sio huko kuna kungonoka na dhakar Haifa sinyaa...Yesu anasema Usiape...Muhammad anasema sivyo naapa kwa shafi na witri, naapa kwa aliyeumba dhakar na kum#&...hhhhhhhh...umeona kalamu ya allah na Muhammad walivyo tia mkono kwa kalamu yao?
 
8:8 yeremia .......sisi tuna akili na taurati ya bwana ipo pamoja nasi tazama kalamu ya mwandishi imeifanya taurati kuwa uongo. my take biblia siyo reliable source, ndio maana inajichanganya sehemu nyingi paulo anawapoteza
Kalamu ya waandishi hapo umesema kweli!; ona hii > Yesu anasema Peponi mtaishi kama Malaika!; mwandishi Muhammad anasema sio huko kuna kungonoka na dhakar Haifa sinyaa...Yesu anasema Usiape...Muhammad anasema sivyo naapa kwa shafi na witri, naapa kwa aliyeumba dhakar na kum#&...hhhhhhhh...umeona kalamu ya allah na Muhammad walivyo tia mkono kwa kalamu yao?
 
Wewe Bwana fuata mambo ya dini yako usiparamie imani za watu zisizo kuhusu na wala usizozijua ya dini yako yenyewe yanakushinda utazijulia wapi ya dini za wenzako,au unataka na sisi tuanze kuzungumza ya dini yako halafu uanze kujilipua/kijuta mhanga eti unafia dini!
 
Yaani baada ya kuleta kwa maandiko una ongea ngonjera. Mafundisho Ukristo ulianza antokia baada ya yesu kuondoka. Sasa si ukatae kwa hoja zilizowazi au huna utetezi?

Matendo 11:25-26

Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26 hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia
Hata Muhammad amekuonya kama hujui seen kaa kimya ufunge domo lako..! Ukristo ulibainishwa na Yesu Mwenyewe aliposema nyinyi ni Wakristo ref; Marko 9:41!; kama tz, kenya, uganda, antiokia...haijalishi ulianza lini kwa mara ya kwanza...dhahir eeh?!
 
Kiongoz hio aya 169 al baqara haisemi hvyo,kuwaAllah kasema yesu ni neno,soma hii aya... إِنَّمَا يَأْمُرُكُم بِالسُّوءِ وَالْفَحْشَاءِ وَأَن تَقُولُوا عَلَى اللَّهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ
Tafair :Hakika anawaamrisheni(shetani) kufanya uovu na machafu na kuwafanyeni mseme msio yajua (uongo) kuhu Allah..
Sasa hebu onyesha ni sehem gan ktka aya hii Allah kasemaYESU NI NENO.. Au kuna aya nyengine ya 169 kwenye baqara???
Unaropoka halaf umeweka avata ya Allah,
Nimekosea hebu weka q.4:171 uone Allah anamfunua Masihi kwamba no Neno na Roho ya Mungu...nano kati ya mitume aliye tambulishwa kihivyo?
 
Wewe Bwana fuata mambo ya dini yako usiparamie imani za watu zisizo kuhusu na wala usizozijua ya dini yako yenyewe yanakushinda utazijulia wapi ya dini za wenzako,au unataka na sisi tuanze kuzungumza ya dini yako halafu uanze kujilipua/kijuta mhanga eti unafia dini!
Hao wameanzisha wenyewe mchezo wa kurushiana mawe huku wanajua kabsaa nyumba yao ni ya vioo...kama hawakujua ndio tunawajulisha! Mpaka wakome kumtukana Mungu wetu Yesu!; ref; Yuda.1:4...
 
Kujishughulisha na pepo

Hii ni ibada nyimsingi katika dini ya Kikristo. Hata hivyo, katika kutilia mkazo makemeo yake dhidi ya ibada hiyo potofu, Yehova aliwaambia wanadamu kama ifuatavyo:

"Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi; msiwatafute; ili kutiwa unajisi na wao; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu". (Mambo ya Walawi 19:31)

"Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala; akatawala miaka hamsini na mitano katika Yerusalemu; ... Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawa sawa na machukizo ya mataifa; ... akajishughulisha na hao wenye pepo wa utambuzi, ... akafanya mabaya mengi machoni pa BWANA, hata kumkasirisha". (2 Wafalme 21:1-6)

"Tena mtu mume na mtu mke aliye na pepo au aliye mchawi, hakika atauawa, watawapiga kwa mawe, damu yao itakuwa juu yao". (Mambo ya Walawi 20:27)

Kulingana na maandiko hayo juu, hapo Yehova kwa ujumla anawataka wanadamu wasishirikiane kabisa na watu wenye pepo, bali wajitenge nao mbali kabisa. Zaidi ya hivyo, mbali ya amri hiyo pia Yehova ameamuru wenye pepo wauawe kabisa na si kuacha kujishughulisha nao tu.

Pamoja na makemeo hayo ya Yehova dhidi ya yeyote anayejishughulisha na pepo, lakini muasisi wa Ukristo, Bwana Paulo anasema:

"Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka; juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho". (Waefeso 6:12)

Kulingana na maelezo hayo ya Paulo hapo juu, tunaona wazi kwamba wakati Yehova amefikia kuamuru kuuawa yeyote atakayebainika akijishughulisha na pepo, hapo juu Bwana Paulo anawataka watu wajishughulishe na pepo kwa kushindana nayo!

Na kama ilivyo desturi yao kuuandikia Ukristo wa Paulo, waandishi wa agano jipya katika kusherehesha mafundisho hayo ya 'mwalimu wao' (ya kuruhusu watu washindane na pepo), wamethubutu kuonyesha katika Injili zao kuwa ati Bwana Yesu (a.s.) aliwahi kujishughulisha na pepo na kuwaagiza wafuasi wake wafanye hivyo! (Tazama Mathayo 8:28-32; 15:21-28; Marko 5:1-13; 7:24-30; 9:38-40; 16:17; Luka 8:26-33).

Pamoja na Paulo na washereheshaji wa mafundisho yake hayo kuhubiri mafundisho hayo ya dini yao ya Kikristo, lakini wanafahamu fika kwamba Bwana Yesu (a.s.) kamwe hawezi kusema au kutenda jambo lolote lililokatazwa na Yehova aliyemtuma, kama hilo la kujishughulisha na ibada hiyo (ya kujishughulisha na pepo) ambayo imetokana na wapagani.

Kwa ujumla basi, katika kufuata mafundisho hayo ya Paulo, ndio utaona mpaka leo Wakristo hasa walokole hujishughulisha sana na pepo katika mikutano yao ya wazi wanayoiita ya "neno la Mungu", "December Crussade", "November Crussade" na kadhalika. Huku wakijua wazi kwamba asili ya ibada hii imetokana na wapagani na Yehova ameikemea vikali sana!

Umeelewa nilicho uliza? Kabla ya Muhammad ni mtume gani aliye Fanya tawaf, kumpopoa mawe shehetan, kuzunguka alkaba nusu uchi, kubusu like jiwe >
FB_IMG_1473688943720.jpg
kunyoa vipara na kucha ndoa za mutta...mtaje hata mmoja tu...kuhusu uchawi kwani hujui aliye uleta duniani no Allah kwa kuwatumia malaika aluta na maluta? hhhhhhhh...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom