robby klax
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 283
- 121
Maelezo mengi Ata uweleweki soma yohana 1 :1-12 majibu yote yako apo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine?
Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?
Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?
Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi? Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi? Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?
Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?
Ikiwa Wakristo wanaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hawamuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia wanalopaswa kulifuata kwa vile kuna machapisho mengi?
Uislam ulianzishwa na jamaa anaitwa mudi.hakuna kitu kama hicho hapo kabla.kabla ya hapo ni ukristo ambao ulianzishwa baada ya kristo yaan wafuasi wa kristo.na kabla ya ukristo kuna dini ya wayahud ambayo asili yake ni abraham.abraham ndiye baba hasa wa wayahud kwan katika yeye alizaliwa isaka na isaka ambaye ndie alibarikiwa kama mrithi wa abraham kuanzia baraka hadi uzao wa neema alimzaa yakobo na esau.katika hao ambazo zile baraka za ibrahim zilimuendea ni yakobo.yakobo ndiye israel mwenyewe ambaye alipewa ilo jina maeneo ya mlima moria sasa jerusalem baada ya kupambana na malaika kwa usiku wote.na pia akaambiwa vizazi vyako vimebarikiwa na watu wataabadu kupitia huko.Wewe ongea maneno ya ngojera mimi nakupa andiko na wewe toa andiko. Nani alikuambia uislam haukuwepo kwanzia awali? Embu thubutu kunipa andiko linalosema 1. watu kabla ya Yesu walikuwa na dini inaitwa ukristo. Na la pili nipe aya inayosema ukristo ni dini ya Mungu.
Quran 2:213
Watu wote walikuwa ni umma mmoja. Mwenyezi Mungu akapeleka Manabii wabashiri na waonyaji. Na pamoja nao akateremsha Kitabu kwa Haki, ili kihukumu baina ya watu katika yale walio khitalifiana. Na wala hawakukhitalifiana ila wale walio pewa Kitabu hicho baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi, kwa sababu ya uhasidi baina yao. Ndipo Mwenyezi Mungu kwa idhini yake akawaongoa walio amini kwendea haki katika mambo waliyo khitalifiana. Na Mwenyezi Mungu humwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka
Ukristo ulianza baada ya Yesu kuondoka hivyo kipindi cha yesu na kabla ya yesu hakukuwa na dini inayoitwa Ukristo. Naomba ukipinga pinga kwa andiko sio porojo tu. Mimi nakupa hili. Soma matendo 11:16-26
Matendo 11:25-26
25. Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26 . hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.
A ukitaka kuwakamata zaidi ni kuwa hata mudi alikuwa akisali akielekea jerusalem mount moria gafla akageuza upepo.wachambuz wanaeleza kuwa aliogopa lengo lisionekane amekop kila kitu toka kwa wayaudTo any Muslim prove to me Kaaba existed before 600 AD. Maana navyosikia Abraham ndo alitengeneza Kaaba ni Abraham huyu huyu ninayemjua au mbona hakuna hata neno moja kuhusu Kaaba kwenye bible kama ndio the most holy place of Allah.. HATUWEZI KUWA TUNAABUDU MUNGU MMOJA..
YESU NI MUNGU.View attachment 406746
"Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, MTU ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Ibrahimu hakufanya hivyo."
Yohana 8:40
Katika andiko hilo YESU kwa kinywa chake yeye mwenyewe amejiita kuwa ni "MTU". Kama kuna mtu ana ushahidi wowote katika biblia YESU akijiita MUNGU, basi nami hapo nitaamini kuwa YESU Mungu.
Hata hivyo, mnaweza kusema pia, kuwa YESU alikuwa Mungu na Pia alikuwa mtu. Hata hivyo tukitazama sifa mbalimbali za mungu kama zilivyo tajwa au ainishwa na biblia, utaona hata kiduchu YESU hana sifa hizo.
Mathalani.
"Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalifikiliza.."
Hesabu 23:19
Tumeona katika Yohana 8:40 Yesu akijiita Mtu, na hapa katika hesabu tunaambiwa Mungu si mtu, sasa wewe unayemuita Yesu Mungu umepata wapi?
NANI KAFUNDISHA YESU NI MUNGU?
"tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; "
Tito 2:13
Hayo maneno katika kitabu cha Tito, kimsingi ni barua ya kimisionari aliyo andika Paulo kwa watu wa Tito, kama tuonavyo katika barua hiyo, pamoja na mambo mengine Paulo anawaambia watu wa Tito kuwa Yesu ni Mungu Mkuu, maneno haya ya Paulo yanakwenda kinyume kabisa na maneno ga Yesu mwenyewe aliyo yasema katika Yohana 8:40 lakini kinyume kabisa na mafundisho ya kinabii kutoka katika kitabu cha Hesabu 23:19.
YESU ANASEMAJE KUHUSU PAULO?
Awali ya yote Paulo hakuwahi kuwa mwanafunzi wa Yesu na hakuwahi kumuona Yesu Kristo. Yesu kabla hajapaa kwenda mbinguni aliwahi kusema maneno haya.
"Maneno hayo nimewaambia, msije mkachukizwa. Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhania kila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada. Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi"
Yohana 16:1-3
Hapa Yesu anatabiri kuwa wanafunzi wake watakuja kuuliwa, anatabiri wakristo na wafuasi wa kanisa lake watakuja kuuliwa, na akasisitiza huyo atajaye wauwa wanafunzi wake hamjui yeye wala Baba(Mungu)
Nani huyo aliyeua wanafunzi wa Yesu? Jawabu ni Sauli ambaye ni Paulo.
"Lakini Sauli, akizidi kutisha na kuwaza kuwaua wanafunzi wa Bwana, akamwendea Kuhani Mkuu, akataka ampe barua za kuenda Dameski zilizoandikwa kwa masinagogi, ili akiona watu wa Njia hii, waume kwa wake, awafunge na kuwaleta Yerusalemu."
Matendo 9:1-3
Kwa hivyo Mtu aliyetajwa na Yesu katika injili ya Yohana 16:1-3 kuwa atawaua wanafunzi wa Yesu si mwingine Paulo, na katika kitabu cha matendo tunaoneshwa ukatili wa Paulo kwa wanafunzi wa Yesu. Hata hivyo, Bwana Yesu anaendelea na utabiri wake juu ya Paulo katika aya hii.
"Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo"
Yohana 8:44
Katika aya hiyo Bwana Yesu anasema huyo Paulo si kwamba ni muuaji tu, lakini pia mtu muongo sana. Na uongo mkubwa alio ufanya Paulo ni pale aliposema kakutana na Yesu na kisha akajifanya kipofu.
"Hata alipokuwa akisafiri, ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni. Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona waniudhi? Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe. Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda"
Matendo 9:3-7
Baaada ya Paulo kuwaua sana wanafunzi wa Yesu na kuwatesa sana ili waache mafunzo ya Yesu, lakini wanafunzi wa Yesu waligoma na walikataa katakata kuachana na mafunzo Yasu. Pia naomba mjue, mafunzo ya Yesu yalikuwa mwiba kwa serikali(Dola ya Rumi) na Paulo alikuwa anatumiwa na serikali katika kuhakikisha wanafunzi wa Yesu wanaachana na ukristo/uyaudi.
Pamoja na juhudi hizo za Paulo lakini alishindwa, hivyo njia aliyo amua kuitumia si nyingine bali ni kujiunga na wanafunzi wa kristo. Na ili aaminike ndipo hapo alipotengeneza stori ya kumuona Yesu na maagizo ya upofu, lakini kubwa zaidi alimnunua Anania ili msaidie kufanikisha lengo lake. Kwa kumtumia Anania na kwa kudanganya kwake kuwa kamuona Yesu, wanafunzi wa Yesu walimkubali.
Na hapo ndipo Paulo alipoanza kuyachakua mafunzo ya Yesu, na ndio maana ukristo wa sasa si ule alio ufundisha Yesu.
YESU NA MFARISAYO.
"Ewe FARISAYO KIPOFU, safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nayo ipate kuwa safi. Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote."
Mathayo 26:23
Paulo msomi mkubwa alikuwa Farisayo, lakini Yesu alisema nini juu mafarisayo? Kama tulivyo ona, Yesu anawaona mafarisayo kama vipofu, lakini kubwa katika andiko hili Yesu anamtabiri pia Paulo na maigizo yake ya upofu.
"Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu"
Matendo 23:6
Kwanza Paulo amekiri kwa kinywa chake kuwa yeye ni farisayo. Lakini hiyo haitoshi Paulo alijitia upofu aso kuwa nao.
"Sauli akainuka katika nchi, na macho yake yalipofumbuka, hakuona kitu; wakamshika mkono wakamleta mpaka Dameski. Akawa siku tatu haoni; hali, wala hanywi."
Matendo 9:8-9
Katika aya hizi tunaona kuwa Paulo amekiri kuwa Farisayo lakini pia tunaona Paul yuko katika maigizo ya upofu. Yote haya mawili yanakamilisha unabii wa Yesu pale aliposema
"Ewe farisayo kipofu.."
Mathayo 26:23
Katika aya hizo inatajwa sifa kuu au tabia kubwa ya Mafarisayo, na ambayo imethibiti(ilitimia) kwa Paulo. Sifa hiyo si nyingine bali UNAFIKI.
Paulo alikuwa mnafiki, yaani alijifanya muumini wa mafundisho Yesu ili mradi apate kuwapotosha wanafunzi wa Yesu, na hili kwakweli kafanikiwa sababu hakuna hata kanisa moja ambalo linafuata mafunzo ya asili ya Yesu. Kila kanisa lina kituko chake.
MWISHO.
Kwa kifupi huku nikizingatia maelezo yangu yote ya huko juu, kuwa YESU SI MUNGU, lakini hakumaanishi kuwa hakuna wanao muita au wanao amini Yesu Mungu. La kuzingatia kama tukiambiwa kauli ipi ya kushika kati ya YESU mwenyewe na ya Paulo kwa vyovyote vile tunatakiwa kushika kauli ya Yesu.
Kauli zote za Paulo ambazo hazipingani na za Yesu, kauli hizo tutazifuata, lakini kauli yoyote ya Paulo inayo pingana na Yesu, kauli ya Paulo itapuuzwa na kuanguka, alafu watu wote wanatakiwa wafuate kauli ya Yesu.
Hakuna kauli ya Yesu anayo alijiita Mungu, lakini zipo nyingi akijiita Mtu au mwana wa adamu. Na siku zote alijitafautisha na Mungu. Yesu anakata mzizi wa fitina katika andiko hili.
"Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma"
Yohana 17:3
Nasema YESU SI MUNGU, na Paulo ana kesi ya kujibu kwa kudanganya ulimwengu, na kwa kuharibu mafundisho ya Yesu na kubwa zaidi kwa kuwatesa na kuwaua wanafunzi wa Yesu na wafuasi wake.
Katika kuendeleza urongo wa Paulo, watu wameambukizwa urongo, sasa wanatusambazia picha na sanamu za wacheza sinema na kisha wanataka tuziheshimu kama Yesu, kweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
TUJADILI!
Dotto Rangimoto Chamchua(Njano5)
Call/whatspp 0622845394 Morogoro.
[emoji45] [emoji45] nashangaa.Kwani kuna ulazima wowote Mungu wa Wakristo awe ndie wa waislamu jama...
weka chapisho moja tu linalo fundisha kinyume na Amri.10 za Mungu...weka?! In kuruani pekee iliyo kanyaga Amri zote za mwenyezi kama unabisha weka amri.1 tu ambayo Muhammad wameihifadhi, kuitunza, kuifanya weka Mimi nitasilimu...
A ukitaka kuwakamata zaidi ni kuwa hata mudi alikuwa akisali akielekea jerusalem mount moria gafla akageuza upepo.wachambuz wanaeleza kuwa aliogopa lengo lisionekane amekop kila kitu toka kwa wayaud
Nini maana ya mlezi?
Mlezi ni mtu au kiumbe ambaye analea au mtoto wake au ndugu yake au analea kiumbe chenye uhai, kwa maadili ya huyo mlezi ambayo yana kuwa kifikra, kimatendo na kiufahamu.
SOMA:
Surah Al Hijr 39. Shetani akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
[Sûrah al-A`râf: 16-17], [Sûrah al-Isrâ’: 62] ,
Kumbe Allah ni MLEZI WA SHETANI......
MUHAMMAD ALIKUWA NA MATATIZO YA KUSAHAU SAHAU
Katika Sahihi Al-Bukhar Vol vi hadithi nambari 556-558 zinamuelezea Muhammad naye Nabii wa Allah alivyokuwa ni mmoja kati ya watu waliosahau aya na sura za Qur’an. Tazama Qur’an 87:6-7. tena Sahihi al-Bukhari Vol vi hadithi nambari 530-557. sijawahi kusoma wala kusikia habari za Nabii yeyote wa Mungu wa kweli aliesahau ujumbe wake. Kwa hiyo kwa maana ya maneno haya tunakuwa na shaka na imani ya Kiislamu kuwa Nabii anasahau aya na sura za ujumbe wa Mungu.
Sababu nyingine ambayo ni ya kushangaza ni kuondoshwa kwa baadhi ya aya kwa makusudi tu. Imeelezwa katika Sahihi al-Bukhari Vol vi hadithi nambaro 8 na 527 jinsi Sayyidina Umar alivyoziondoa sura za “ HAFD” na “KHAL’A”. Inasemekana sura hizo zilihifadhiwa na Ibn Ka’b. katika maelezo ya mwanazuoni mmoja Ibn majah yanasema katika heke heka ya mazishi ya Muhammad aya zingine ambazo zilihifadhiwa uchagani mwa kitanda cha bibi Aisha zilikuwa na mnyama wa kufugwa.
1. Kutoaminika kwa madai ya sura 5:48, kupotea kwa sura na aya kadhaa ambazo Allah anadai alizishusha kuwaonesha sio kuaminika tu bali kukosa uwezo na mamlaka ya Kiungu (Divinity Authority) ya kutunza aya alizo ahidi kuzilinda.
2. Kuhusu madai ya Allah ya NASKH na MANSUWKH yaani aya moja inaweza kufutwa na nyingine hii ni ulaghai wa kibinadamu ili kutoa nafasi ya kubadilisha mambo kwa madai ya kwamba Mungu amesema.
Kwa mfano aya nyingi katika Qur’an inasemekana ni maneno ya watu mbalimbali. Nitakukumbusha tena jambo hili. Katika Sahihi al-Bukhar Vol vi musnad Harba Vol I Saifa ya 23-24 inamtaja sana Ibn Hanbal akimkaririAnnas akisema:
Umar bin Khatab baba mkwe wa Muhammad alisema nimekubaliwa mambo matatu. Nikasema ewe Mtumme wa Allah lau kama tungeweka kisimamo cha Ibrahimu ndipo ilipoteremka aya ya kuweka kisimamo cha Ibrahimu. Tazama Sura 2:125 Surat Bakara.
Neno la Kiarabu la WAAFAQTU (Yaani nimekubaliwa) katika hadithi hiyo lilionesha kuwa Umar bin Khatab alitoa pendekezo kuwa Qibla ya Waislamu kiwe Al-Kaaba na sio kwamba badiliko lile lilitoka kwa Allah Mungu wa Waislamu. Je, mashekhe hili mmnasemaje? Je, kisa cha aya hii ya 125 ya Surat Bakara ni Sahihi aliyosema Bukhari katika hadithi aliyoipokea? Kama sawa basi wapasheni Waislamu waiojua ukweli huu. Na kama siyo sawa toweni ukweli kinyume na yale ambayo Bukhari ameyapokea.
Ikumbukwe katika Sahihi Muslimu Vol:I hadithi 525 na 527 inaeleza kuwa miezi 17 tangu Muhammad ahamie Makka Waislamu walisali huku wameelekea Yerusalemu sawa na Wayahudi. Lakini ilipofika aya ya 125 ya Surat Bakara Qibla kilibadilika na kuwa Al-Kaaba.
Je inatupasa kusemama nini? Ya kusema ni haya: Ashukuriwe Umar bin Khatab kwa pendekezo lake lililomfanya Allah ahamishe Qibla kukipeleka AL-kaaba.
AISHA ANASEMA: MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA MPAKA AKAPOTEZA FAHAMU
Muhammad Aliwahi Kulogwa (Kwa Apizo, ‘Under a Spell’)
" ‘Aisha anasimulia: Nabii alifanyiwa uchawi hata akaanza kudhani kuwa anafanya kitu fulani wakati hakuwa anafanya. Siku moja alimwomba (Allah) kwa muda mrefu sana kisha akasema, ‘Naona kuwa Allah amenipa mwongozo wa namna ya kujitibu mwenyewe.’..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 10 na.490 uk.317.
Tazama pia juzuu ya 4 kitabu cha 53 (Wajibu wa Khumus) sura ya 34 na.400 uk.267, juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.56-57, juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266-267. Juzuu ya 7 na.658-660 uk.441-443.
Pia tazama Muislam Sahihi juzuu ya 2 kitabu cha 4 (Kitabu cha Sala) sura ya 309 na.1888 uk.411
Muhammad alilogwa. Alisimulia ‘Aisha: Nabii aliendelea kwa kipindi fulani akidhania kuwa anafanya tendo la ndoa na mke wake, lakini haikuwa hivyo. Siku moja alisema kwangu, "O ‘Aisha! Mungu ameniagiza kuhusiana na suala nililomuuliza. Watu wawili walikuja, mmoja alikaa karibu na miguu yangu na mwingine karibu na kichwa changu. Yule aliyekuwa karibu na miguu yangu alimuuliza yule wa karibu na kichwa changu (akininyooshea kidole), ‘Mtu huyu ana shida gani? Yule mwingine akamjibu, ‘Ameathirika na uchawi. Yule wa kwanza akauliza, ‘Ni nani aliyemfanyia uchawi?’ Yule mwingine akajibu, ‘Lubaid bin A’sam." Yule wa kwanza akauliza, ‘(Alitumia) nyenzo gani?.’ Yule mwingine alijibu ‘Ngozi ya chavua ya mtende wa kiume na chanio lililowekwa nywele, na kuwekwa chini ya jiwe kwenye bwawa la Dharwan.’" Kisha Nabii alikwenda kwenye bwawa lile na kusema, "Hili ndilo bwawa lilelile nililoonyeshwa kwenye ndoto. Ncha za mitende yake inaonekana kama vichwa vya mashetani, na maji yake yanaonekana kama mchanganyiko wa hina."… ‘Aisha aliongeza, "(Mchawi) Lubaid bin A’sam alikuwa anatokea Bani Zuraiq, mshirika wa Wayahudi." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.57. Tazama pia Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266
1. Kwanini tumfuate Mtume aliyerogwa na kupoteza fahamu?
2. Hivi kuna Mtume au Nabii yeyote yule kwenye Biblia na yeye alirogwa?
3. Kwanini Allah alishindwa kumlinda Mtume wake kutoka nguvu za kurogwa?
4. Hivi wapi tunasoma kuwa Muhammad alifanyiwa maombi na urogi ukamtoka?
Hakuna ushahid wowote ule ambao unasema kuwa Muhammad aliombewa na kutokwa huo uchawi. Huu ni msiba kwa Nabii wa Allah kufa huku akiwa amefanyiwa urogi.
Ndugu yangu,
Hivyo hadi anakufa hakuna pahali pameandikwa kuwa uchawi ulimtoka...
Maelezo mengi Ata uweleweki soma yohana 1 :1-12 majibu yote yako apo
Gavana WAKATI MWINGINE UTUMIE AKILI KIDOGO, HILO CHAPISHO UNALOLITAKA WEW LA BIBLIA KUWA NDIO SAHIH"ULISHAWAHI KULIONA"AU BAADA YA KUDANGANYWA NAWW UKAINGIA MOJ KWA MOJ, SWAL,""*Hivyo vifungu unavyoquote unavitoa kweny Biblia ipi(isiyochakachuliwa au iliyochakachuliwa)?...
Huwa unatumia Quran ya SHEKH ABDU SALEH FARSY?..Vipi huwa unaitumia biblia ya QUEEN JAMES VERSION ???