Ni wa kweli au sio wa kweli Mungu aliemtuma ndo anaejua, wakristo wa Tanzania changamkieni huu unabii na huenda ni mkweli mkawa taifa teule.
YESU WA BUNGOMA NCHINI KENYA ASEMA WATU 168,000 WATAENDA MBINGUNI
Yesu wa Bungoma azidi kuzua gumzo baada ya kudai kwamba watu 168,000 pekee ndio watakaoenda mbinguni duniani kote.
Kulingana na Yesu huyo pia ni kwamba watu wawili pekee kutoka Nairobi ndio watakaofanikiwa kuingia mbinguni.
Nini maoni yako
YESU WA BUNGOMA NCHINI KENYA ASEMA WATU 168,000 WATAENDA MBINGUNI
Yesu wa Bungoma azidi kuzua gumzo baada ya kudai kwamba watu 168,000 pekee ndio watakaoenda mbinguni duniani kote.
Kulingana na Yesu huyo pia ni kwamba watu wawili pekee kutoka Nairobi ndio watakaofanikiwa kuingia mbinguni.
Nini maoni yako