Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Aliyaongea lini haya yenye ukweli mchungu mheshimiwa sana Jinping?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyaongea lini haya yenye ukweli mchungu mheshimiwa sana Jinping?
Bora ukae kimyaYesu alikuwa Myahudi Mmazareth na asili ya wayahudi (Jews) ni weupe, na wanazungumza kiyahudi sasa huyu mbona ni mweusi ma hazungumzi kiyahudi?
Kwanini nikae kimya?Bora ukae kimya
wakenya walivyo na mbio kama nawaona watakavyo zishindania hizo nafasi mbili kwa spidi ya mwangaNi wa kweli au sio wa kweli Mungu aliemtuma ndo anaejua, wakristo wa Tanzania changamkieni huu unabii na huenda ni mkweli mkawa taifa teule.
YESU WA BUNGOMA NCHINI KENYA ASEMA WATU 168,000 WATAENDA MBINGUNI
Yesu wa Bungoma azidi kuzua gumzo baada ya kudai kwamba watu 168,000 pekee ndio watakaoenda mbinguni duniani kote.
Kulingana na Yesu huyo pia ni kwamba watu wawili pekee kutoka Nairobi ndio watakaofanikiwa kuingia mbinguni.
Nini maoni yako
View attachment 2504024