Yesu wa Kenya adai kuwa watu 168,000 tu duniani ndo wataingia mbinguni

Yesu wa Kenya adai kuwa watu 168,000 tu duniani ndo wataingia mbinguni

Miaka 2000 iliyopita unalinganisha na leo ,huyo zoba fala sana


USSR
Ah'ah' Ah! Jamani msigombane bure. Yesu ni jina kama yalivyo majina mengine mfano Paul, Omari, Daniel, Ngoikumash, Nyakubimbi, Johnson, Zelensky n.k.n.k. na jina hilo Yesu ni mojawapo ya majina ya kawaida sana ambayo hutumika katika jamii na watu wengi na hakuna shida. Hata wewe waweza kumwita mwanao wa kiume jina hilo la Yesu.

Lakini Yesu Kristo ni mmoja tu, ni jina pekee (unique) na hakuna mtu mwingine mwenye jina hilo hapa duniani. Yaani tuseme mathalan wewe unaitwa Paschal Daniel Masha. Ukifa ndo imetoka hivyo. Hakuna mtu mwingine atakayekuwa sawa 100% na ww atakayeitwa Paschal Daniel Masha. Lakini watu wataendelea kuwaita watoto wao jina Paschal na hakuna shida. Kwa mantiki hiyo huyo mtu anayeitwa yesu ndo jina lake. Shida iko wapi? Nyie hamtaki aitwe jina hilo? Basi nendeni mkamwulize babake ni kwa nini alimwita kijana wake jina hilo. Muwe na amani. Jina lisiwape shida. Endeleeni na kazi zenu -Tafuteni pesa.

Samahani, jina hilo Paschal Daniel Masha nimebuni tu na kama kuna mtu kweli mwenye jina hilo wala sikumlenga yeye ni coincidence tu.
 
Dunia haiishi vituko, yule jamaa anayedai kuwa yeye ndo Yesu aliyerudi kutoka mbinguni amedai kuwa ni watu 168,000 pekee duniani ndio watafanikiwa kuingia mbinguni, aidha ameongeza kuwa kwenye jiji la Nairobi ni watu 2 tu ndo wataingia mbinguni wengine wote wataenda motoni.

Screenshot_20230202-210349.jpg
 
Kwenye hao wawili, na yeye yumo? 😁

Kama ni Yesu wa kweli, naomba anisamehe. Nimekosa mimi! 🙏
 
Hapo sisemi kwamba yupo sahihi ila naona hio ni makadirio mazuri maana hamna kitu kigumu kama kujisacrifice kwa ajili ya yesu mwokozi ni ngumu sana hata mimi nilishawahi kuota kwamba Arusha watu 2 tu ndo watakao nyakuliwa hivyo namwamini kwa Percent fulani huyu jamaa

Kama mnabisha subirieni kiama mtaona cha mtema kuni tu

Na log on
🤾
 
Hapo sisemi kwamba yupo sahihi ila naona hio ni makadirio mazuri maana hamna kitu kigumu kama kujisacrifice kwa ajili ya yesu mwokozi ni ngumu sana hata mimi nilishawahi kuota kwamba Arusha watu 2 tu ndo watakao nyakuliwa hivyo namwamini kwa Percent fulani huyu jamaa

Kama mnabisha subirieni kiama mtaona cha mtema kuni tu

Na log on
🤾
 
Kama kweli ni Yesu anionyeshe alama za misumari mikononi mwake. .
 

Attachments

  • 5223152-595eddcb90eebaa4f03450fe3a98aa2a.mp4
    13.4 MB
Yesu alikuwa Myahudi Mmazareth na asili ya wayahudi (Jews) ni weupe, na wanazungumza kiyahudi sasa huyu mbona ni mweusi ma hazungumzi kiyahudi?
 
Yesu alikuwa Myahudi Mmazareth na asili ya wayahudi (Jews) ni weupe, na wanazungumza kiyahudi sasa huyu mbona ni mweusi ma hazungumzi kiyahudi?
 
Back
Top Bottom