Acha kubeza hata yesu yule alio mtangulia alikua na Kanzu moja na ndevu kama za huyu.Yesu gani mchafu hivyo
USSR
Miaka 2000 iliyopita unalinganisha na leo ,huyo zoba fala sanaAcha kubeza hata yesu yule alio mtangulia alikua na Kanzu moja na ndevu kama za huyu.
Huyu kibwengo wakimchekea ataondoka na Kijiji huyu atawachoma moto hao Mbuzi wakeNi wakweli au sio wa kweli Mungu alie mtuma ndo anaejua, wakiristo wa Tanzania changamkieni hu unabii wa uenda ni mkweli mkawa taifa teule.
YESU WA BUNGOMA NCHINI KENYA ASEMA WATU 168,000 WATAENDA MBINGUNI
Yesu wa Bungoma azidi kuzua gumzo baada ya kudai kwamba watu 168,000 pekee ndio watakaoenda mbinguni duniani kote.
Kulingana na Yesu huyo pia ni kwamba watu wawili pekee kutoka Nairobi ndio watakaofanikiwa kuingia mbinguni.
Nini maoni yakoView attachment 2504024View attachment 2504025
Wewe acha kutukana mtume litakukuta kama liliomuta Goriath. Hata yule yesu wa kwanza muzungu alitukanwa na wa Roma badaye wakamuamini na kujiita Roman CatholicMiaka 2000 iliyopita unalinganisha na leo ,huyo zoba fala sana
USSR
Goliath alikuwaje nachojua aliuawa vitani na David sio ishu ya kipuuzi kama huyu yesu na mke wake fala flani hivi.Wewe acha kutukana mtume litakukuta kama liliomuta Goriath. Hata yule yesu wa kwanza muzungu alitukanwa na wa Roma badaye wakamuamini na kujiita Roman Catholic
Na wewe utajikuta kwenye vita ya maneno utakuja kuuliwa na David hivo hivo, mpaka utowe ushahidi kutoka bibilia kwamba huyu ni Yesu batili bila hivyo utaaminikaGoliath alikuwaje nachojua aliuwawa vitani na David sio ishu ya kipuuzi kama huyu yesu na mke wake fala flani hivi
USSR
[emoji23][emoji23]AJE HUKU BUZA TUTAMKUBALI MAANA SISI HATUNA UBAGUZI ILA ASISAHAU KUJA NA KINA YAKOBO ,NA PETRO