Yesu wa Kenya adai kuwa watu 168,000 tu duniani ndo wataingia mbinguni

Nimekaa hapa navuta bange yangu, kuna kitu kinanisukuma nafsini kinaniambia mimi ni yesu, hebu ngoja pakuche nikanunue kanzu
 
Je huyo msanii nae amesema atauonja huo ufalme wa mungu au anabwabwajatu
Haya utayasikiatu Afrika
 
wakenya walivyo na mbio kama nawaona watakavyo zishindania hizo nafasi mbili kwa spidi ya mwanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…