Dabodaiga
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 441
- 706
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kesho ndiyo atajua mbichi na mbivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kesho ndiyo atajua mbichi na mbivu
[emoji1787][emoji1787]kesho akiona wayahudi wanamfuta na mapanga, lzm atoke nduki mpk kituo cha polisi akaiponye roho yake[emoji1787][emoji1787]kesho ndiyo atajua mbichi na mbivu
Lazima afe ili tupate msamaha wa dhambi[emoji1787][emoji1787]kesho akiona wayahudi wanamfuta na mapanga, lzm atoke nduki mpk kituo cha polisi akaiponye roho yake[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]hana lolote ndio maana ameingiza upepo[emoji1787][emoji1787]Lazima afe ili tupate msamaha wa dhambi
Kina stephano walichunwa ngozi wakiwa hai, kina Jan hus walichomwa moto wakiwa hai martin luther king aliishi kama digidigi sababu ya injili hii iliomsurubisha Yesu ila kuna miamba inaendesha range , private jets yatch big mansions with ocean on the backyards, well armed elites bodyguards na wanaamiwa kinoma na maraiaAmani iwe nanyi,
Kazi ya Mungu siku zote ina upinzani mkali. Tumeona Yesu OG, mitume na manabii walivyo uwawa, teswa na kudhihakiwa. Soma maandiko kwa urahisi wa rejea.
Huko jirani, wadau wanataka kumjambisha yule yesu wa mchongo, wanataka kumsulubisha kwa kadiri ya maandiko wakitarajia ufufuko wake siku ya tatu, je sisi tunasubiri nini? Hawa mitume na manabii wa mchongo inabidi wachezee vichapo.
Maandiko yako wazi, hakuna utukufu unaokuja bila mateso.Manabii na mitume walichezea vichapo wakapata utukufu huko kwa baba
Ieleweke, njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba, manabii na mitume chukueni tahadhari.
Polisi watarusha kesi kwa kaisari, kaisari atarusha kwa pilato halafu pilato atanawa mikono kuwaachia waendelee naye hadi golgota. Njia ya maslaba ilikuwa kujitoa sadaka kwa kiwango cha ya juu sana, huyo yesu wa mchongo atajua hajui.[emoji1787][emoji1787]kesho akiona wayahudi wanamfuta na mapanga, lzm atoke nduki mpk kituo cha polisi akaiponye roho yake[emoji1787][emoji1787]
Yesu wa Kenya mbona tunae humu jf ni huyu MK254Amani iwe nanyi,
Kazi ya Mungu siku zote ina upinzani mkali. Tumeona Yesu OG, mitume na manabii walivyo uwawa, teswa na kudhihakiwa. Soma maandiko kwa urahisi wa rejea.
Huko jirani, wadau wanataka kumjambisha yule yesu wa mchongo, wanataka kumsulubisha kwa kadiri ya maandiko wakitarajia ufufuko wake siku ya tatu, je sisi tunasubiri nini? Hawa mitume na manabii wa mchongo inabidi wachezee vichapo.
Maandiko yako wazi, hakuna utukufu unaokuja bila mateso.Manabii na mitume walichezea vichapo wakapata utukufu huko kwa baba
Ieleweke, njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba, manabii na mitume chukueni tahadhari.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Polisi watarusha kesi kwa kaisari, kaisari atarusha kwa pilato halafu pilato atanawa mikono kuwaachia waendelee naye hadi golgota. Njia ya maslaba ilikuwa kujitoa sadaka kwa kiwango cha ya juu sana, huyo yesu wa mchongo atajua hajui.
Juhudi kudhibiti wimbi la matapeli wa dini Hawa..... walioazisha oparesheni waungwe mkono[emoji1787][emoji1787]tena kisimamiwe kwa marungu na mapanga[emoji1787]
Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na wakati wanajitokeza kumshika yesu wa kenya, lazima petro achomoe upanga na kumkata myahudi mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Polisi watarusha kesi kwa kaisari, kaisari atarusha kwa pilato halafu pilato atanawa mikono kuwaachia waendelee naye hadi golgota. Njia ya maslaba ilikuwa kujitoa sadaka kwa kiwango cha ya juu sana, huyo yesu wa mchongo atajua hajui.
Kabisa yaani, mapambano yaendelea mpk msalabani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Juhudi kudhibiti wimbi la matapeli wa dini Hawa..... walioazisha oparesheni waungwe mkono
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ngoja kwanza! bado hawajamfikisha kwa pilato wanamlia chabo, wanamtafuta yuda wamuhonge vipande vya fedha,[emoji1787][emoji1787] kesho ndio pilato aingie mzigoni na yesu watongani[emoji1787][emoji1787]Polisi watarusha kesi kwa kaisari, kaisari atarusha kwa pilato halafu pilato atanawa mikono kuwaachia waendelee naye hadi golgota. Njia ya maslaba ilikuwa kujitoa sadaka kwa kiwango cha ya juu sana, huyo yesu wa mchongo atajua hajui.
Huyu yesu sura yake huwa inatia huruma
Watembezewe vichapo, huwezi ukafanya kazi ya Mungu ukla bataKina stephano walichunwa ngozi wakiwa hai, kina Jan hus walichomwa moto wakiwa hai martin luther king aliishi kama digidigi sababu ya injili hii iliomsurubisha Yesu ila kuna miamba inaendesha range , private jets yatch big mansions with ocean on the backyards, well armed elites bodyguards na wanaamiwa kinoma na maraia
Sisi tunasema asulubiweHuyu yesu sura yake huwa inatia huruma
Hii itafanya wajiulize mara mbili mbili kujipachika vyeo wakati hawataki responsibilitiesJuhudi kudhibiti wimbi la matapeli wa dini Hawa..... walioazisha oparesheni waungwe mkono