Mhusika anafahamu hilo? Airport kuna bango linalotahadharisha wasafiri kuwa wanapaswa ku declared amount in excess of Us$ 10,000?
Sawa mmeingiza kipato ila jamii ya kimataifa itakuwa imepigia mstari kuhusu usalama wa uwekezaji wao hapa kwetuIgnorance of the law is not an excuse( kwa tafsiri isiyo rasmi maana yake ni kwamba..usipofahamu sheria,siyo utetezi kwa kosa utakalofanya).
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi umeelewa kwa kiwango cha uelewa wako, wenye uelewa zaidi yako wanajua kosa lake...kabla ya kuchangia jaribu kusoma michango ya wengine utaona kosa lake.Kwa kifupi mimi nimeona jamaa amepigwa faini na fedha nyingine kutaifishwa baada ya mtuhumiwa kushindwa kuzitolea maelezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuBasi umeelewa kwa kiwango cha uelewa wako, wenye uelewa zaidi yako wanajua kosa lake...kabla ya kuchangia jaribu kusoma michango ya wengine utaona kosa lake.
Kukiri ni hiyari ya mtu, jitahidi kusoma sheria ata online utapata mwanga kidogo.Sawa mkuu
Na vipi kuhusu K.Lugola?
Naye atakiri lini?
Kwanini mnaamua kutetea uovu hapa jukwaani!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
hujui lolote kaa kimya,kuna sheria inayotawala masuala yoote yahusuyo fedha hapa nchini,kuna kiasi maalumu cha fedha unazotakiwa kutembea nazo,Bado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?
Huu ni udictator wa wazi kabisa..
Sent from my iPhone using JamiiForums
kwa awamu hii ya 5Kukiri ni hiyari ya mtu, jitahidi kusoma sheria ata online utapata mwanga kidogo.
Mie nakupa ushauri wa kitaaluma wewe unaingiza siasa, muda mwema mkuu.kwa awamu hii ya 5
Kukiri kosa= kukubali makosa uliyobambikiwa & kutoa pesa ili kununua haki
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante, na kwako piaMie nakupa ushauri wa kitaaluma wewe unaingiza siasa, muda mwema mkuu.
Huku ni kujikweza unacheka nini sasa wewe kuweza kuvuka mipaka ya nchi yako usidhani ni kila mtz anaweza so elimisha unachofaham ili tusiofaham tujue,hata mimi mkuu ninesoma comments hapa mpaka nacheka. hivi watu kweli hawajui kama kuna minimum cash ambayo unatakiwa usafiri nayo zaidi ya hapo unatakiwa utoe maelezo. na hii sheria ipo dunia nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afrika kusini ni kosa kutembea na pesa kuanzia rand 2000 ambayo haifiki hata laki NNE kwamba kupitia hiyo uko kwenye risk ya kuporwa hata kufaBado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?
Huu ni udictator wa wazi kabisa..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu Nduza!! hili jina asee...Afrika kusini ni kosa kutembea na pesa kuanzia rand 2000 ambayo haifiki hata laki NNE kwamba kupitia hiyo uko kwenye risk ya kuporwa hata kufa
Nchi nyingi zina limit ya kiwango cha pesa unachoweza kutembea nacho
Lakini jambo lingine huwenda unasafirisha vimbwanga/magendo
Sasa uko na huu mzigo kwaajili ya kuwapoza mabwana mipaka
Huyu ndugu hajaonewa hata ni kawaida sana
Kumbuka kwamba hawajamshtaki kwa kosa la kumiliki pesa nyingi Bali kosa la kutembea nazo huwenda anamiliki hata Mara mia ya hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana alishindwa kutoa maelezo kwa maafisa wetu kumuuliza kwa kiswahili wakati yeye anajua kiiingereza na kituruki...hivyo akashindwa kutoa maelezo..
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Meneja Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Merkezi inayojenga reli ya kisasa (SGR), Yetkin Gen Mehmen kulipa faini ya Sh100 milioni au kwenda jela miaka mitatu huku ikitaifisha dola za Marekani 84, 850 alizoshindwa kuzitolea maelezo baada ya kukutwa nazo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA)
Mehmen ambaye ni raia wa Uturuki amehukumiwa na mahakama hiyo leo Alhamisi Februari, 27, 2020 baada ya kukiri kosa la kushindwa kutoa tamko ama maelezo ya fedha alizokutwa nazo dola za Marekani 84,850 katika Uwanja wa Ndege wa JNIA.
Akitoa hukumu hiyo Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba amesema kutokana na mshtakiwa huyo kukiri kosa lake mahakama hiyo imemtia hatiani.
"Mahakama inakuhumu kulipa faini ya Sh100 milioni au kwenda jela miaka mitatu pia fedha ulizokutwa nazo ambazo dola za Kimarekani 84,850 zinataifishwa na kuwa mali ya Serikali ya Tanzania," amesema Simba.
Awali Wakili wa Serikali Mkuu, Shadrack Kimaro alimsomea hati ya mashtaka mshtakiwa huyo kuwa Februari 13, 2020 eneo la Uwanja wa Ndege wa JNIA, alikamatwa akiwa na begi la mkononi ndani yake kukiwa na dola za Marekani 84,850.
Kimaro alidai baada ya mshtakiwa huyo kukamatwa na dola hizo maofisa wa polisi walipomuuliza alishindwa kuzitolea maelezo.
Hata hivyo, mshtakiwa huyo bado hajalipa kiasi hicho cha fedha ili aweze kuachiwa huru.
Kuna kitu wewe hujui, hiyo kampuni kuna mgogoro unalindima na serikali, kilichofanyika ni hasira za serikali za kumkomoa huyo Meneja, hivi unadhani angekuwa yuko vizuri na serikali angekamatwa? Bos wa kusimamia ujenzi Mkubwa Kama huo unadhani wangemuadhibu? Ubabe wa magufuli anataka kuubeleka hadi kwenye makampuni ya wazungu, ndio wakajibu koma wewe kama ni limradi lako tunakuachia na tunaenda kukudai fidia, Jamaaa Alikuwa anasepa wakaona wamkomoe, kumbe wanajipalilia mkaa ataenda halafu watajipanga watashusha mashambulizi had Ndege zitaanza tena kukamatwa, huwezi cheza na wenye akiri kusema utawaweza Kwa kutumia bunduki, utafanikiwa Kwa muda tuBado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?
Huu ni udictator wa wazi kabisa..
Sent from my iPhone using JamiiForums