Yetkin Gen Mehmen, Meneja wa Yapi Merkezi, kampuni inayojenga SGR ahukumiwa Kisutu

Yetkin Gen Mehmen, Meneja wa Yapi Merkezi, kampuni inayojenga SGR ahukumiwa Kisutu

Premij canoon, Kampuni na mameneja wao hawabebi pesa kiasi kama hicho kwenye mabegi. Alikuwa na nia mbaya ndio maana hata kashindwa kutolea maelezo.

Ningekuwa serikalini, baada ya kutaifisha hizo dola ningemtimua arudi kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kafanya vitu kama hivyo USA uone kama utabaki salama. Kila kila kitu kina sheria zake
Pesa walizotaifisha zenyewe ni nyingi sana kuliko hizo wanazotaka alipe faini, naamini hakuna haki kabisa basi tu hizi zote ni hujuma, sas kama mtu ni manager wa kampuni inayojenga SGR pesa hizo kuwa nazo ni kitu gani kwani mbona fikra za kimaskini zinatutesa sana wabongoo ? hata kama ningekuwa mm wanikute na pesa ziwezi kuanza kutolea maelezo yeyote .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la Waturuki hawajui Kiswahili wala Kingereza. Itakuwa alishindwa kujieleza kutokana na lugha hapo Uwanja wa ndege na mahakamani ni hayo hayo.
 
Wageni wanahukumiwa fasta fssta. Juzi mchina na mkewe walitaka kumpa mtu rishwa kesho yake mapema sana wakahukumiwa. Huyu nae hivyo hivyo. Labda watz hawataki kukiri makosa ndio maana wanasota magerezani
 
Aiseee kumbe ndo yule????

TBC wameficha kwamba ni mturuki mjenga reli.... daaaah!

Hawataki tujue chochote, yani tubaki wajinga, closed system! Almuradi mradi wa mzee usichafuke!

Aisee, leo ndio nimejua kwa nini Wazungu (Westerners) hawawapendi wakomunisti, wasoshalisti na ma closed system yetu!

nimekasirika mno kujua utumbo ambao wananchi wasio na internet access wanalishwa!

Astakafullulilah!
 
Au nae alipata mgao wa zile za NBC za wale walinzi.
 
Tatizo la Waturuki hawajui Kiswahili wala Kingereza. Itakuwa alishindwa kujieleza kutokana na lugha hapo Uwanja wa ndege na mahakamani ni hayo hayo.
Unafikiri kwamba hakupata mkalimani?
 
Nimeona aibu kama ni mimi niliyeandika huu ''utumbo wa bata''
Sio utumbo mkuu,milioni 200 ni pesa ndogo sana kuanza kufunguliana kesi za kipuuzi.Nafikiri wangeweka kiwango cha angalau bilioni moja cash or 1000,000 USD ila chini ya hapo ni ujinga.dola laki moja ni sawa na noti 1000 za dola 100 ambazo ni unaweza beba kwenye rambo.Sheria nyingine sio.
 
Nimegundua watanzania wengi vilaza sana,maoni niliyoyaona insta,nayakuta pia hapa "home of great thinkers"

Ujinga mtupu.Mahakama haiwezi kumuonea mtu,kila mtu anapaswa kufuata sheria



Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema mahakama haiwezi kumuonea mtu ni upumbavu wa hali ya juu,mara ngapi suspects wanahukumiwa na preliminary courts halafu wanaoneka hawana hatia kwenye mahakama za juu?
Hapa sizungumzii kesi ya huyo mturuki,nimeongelea maamuzi ya mahakama kwa ujumla.
Polisi huko huko Tz wameshawahi kukamata kikundi cha watu wasiofahamiana kabisa,na waliwakusanya kutoka maeneo tofauti lakini wakawa jointly charged ila kichekesho ni kwamba hao suspects walifahamiana kwa mara ya kwanza ndani ya cells za polisi. Walikutwa na hatia ya kushirikiana kufanya tukio la ujambazi na wakafungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimegundua watanzania wengi vilaza sana,maoni niliyoyaona insta,nayakuta pia hapa "home of great thinkers"
Ujinga mtupu.Mahakama haiwezi kumuonea mtu,kila mtu anapaswa kufuata sheria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kheri umegunduwa hilo, labda uvivu wa kusoma vitabu vya kisheria unasumbuwa au tunazidi kuwa wajinga. Naihurumia dola kwa kulaumiwa kisa watu hawataki hata kuuliza sheria inasemaje. Ebu waiulize wajaribu kupita na hela kama hizo Airports za USA, EU na zingine ughaibuni kama wataweza?! Huo mziki wake watajuta milele...
Endelea kusisitiza wasome vitabu zaidi, hasa vya kisheria na katiba...Labda dola itapumuwa...
 
Tatizo la Waturuki hawajui Kiswahili wala Kingereza. Itakuwa alishindwa kujieleza kutokana na lugha hapo Uwanja wa ndege na mahakamani ni hayo hayo.


Wewe mama saa nyingine uwe unaficha ujinga wako hujui kuwa n Sheria ya kimataifa hyo kuwa huwez kusafiri na pesa cash Zaid ya USD 10k vinginevyo inatakiwa kudeclare kuwa unahzo pesa na kwann.

Pili n haki ya kila mtu kupata haki sawa katika mahakaman hii inamana kuwa kabla hujafikishwa mahakaman inatakiwa ujue unakosa gani hvyo Kama hujui lugha ya mawasiliano ya eneo husika jamhuri inawajibika kukutafutia mkaliman ili uelewe nn unashitakiwa nacho then unasign form unaingia mahakaman.

Tatu huyo jamaa n professional na ili upewe Kaz kwenye eneo unalokwenda atleast ujue lugha za kuwasiliana na jamii unayoenda kufanya nayo kazi ambayo n kiswahili Kama hujui Basi atleast kiingereza uwe unajua.


MUDA MWINGINE NI BORA UKAE KIMYA KUFICHA UJINGA WAKO KWA WATU
 
Hiyo ni wizi wa fedha za watu kisheria. Tuna kuwa ya za October
 
Back
Top Bottom