Yetkin Gen Mehmen, Meneja wa Yapi Merkezi, kampuni inayojenga SGR ahukumiwa Kisutu

Yetkin Gen Mehmen, Meneja wa Yapi Merkezi, kampuni inayojenga SGR ahukumiwa Kisutu

Kuna siku nilienda pale bureau de change ya mwanza hotel kubadilisha fedha... Ilikuwa jumapili... Akaja jamaa fulani mbabambaba hivi kubadilisha fedha....Mimi nikabadilisha zangu nikatulia kando kuzihesabu akaingia jamaa... Akauliza rate akaambiwa...Akachukua kikotoo chake akapiga hesabu zake haya...Akamwambia mtoa huduma anahitaji kubadi USD 70000!!!! Ikabidi nami nitulie nisome mchezo...mtoa huduma akasema dola ngapi?? Jamaa akarudia USD 70000....ikabidi tucheke aisee.... Jamaa katoa bahasha mbili.. Akatoa zile hela...Kweli aisee...Mtoa huduma akamwambia leo weekend hatuna,uje kesho jumatatu...jamaa akachukua pesa zake akasema poa.... Ila jamaa alikuwa wa kawaida sana kama wale wanaofanya kazi za nguvunguvu mjini... Nikaamini tembea uone.
Umekariri wenye hela ni wavaa suti....
njoo kilingeni kwetu tunavaa kobasi na kaptura..
lkn watu wana hela za kununulia dreemliner...
 
Bado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?

Huu ni udictator wa wazi kabisa..
Kuna mtu kazitamani hizo pesa. 🏃🏃🏃🏃

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?

Huu ni udictator wa wazi kabisa..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sheria ya pesa hamruhusu kutembea na mzigo wote huo bila kuwataarifu polisi apewe ulinzi hata wewe ukikamatwa na pesa zaidi ya 100K utashtakiwa
 
Bado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?

Huu ni udictator wa wazi kabisa..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuwa kwake Manager kunaweza sababisha wenye nia ovu kumtumia kutakatisha fedha.
Swali kwanini alishindwa kuzitolea maelezo/ufafanuzi ili Jamhuri ijilidhishe na kiasi hicho cha fedha kutoka nje?
 
Bado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?

Huu ni udictator wa wazi kabisa..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawaoni Ata aibu
 
Wabongo akili hazipo kabisa.Yaani aliyekamatwa nazo kashindwa kuzielezea,lakini mbumbu huku mnakazana kutoa maelezo kanakwamba mna manufaa nazo.Sheria ni msumeno wacha ifanye kazi yake.KILA LA KHERI MTURUKI HUKO SEGE DANCE. Kalete janja janja na huko.
 
Bado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?

Huu ni udictator wa wazi kabisa..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata waliomkamata wanajua kazi yake.Point ni kwamba fedha hizo pamoja na wazifa alionao kashindwa kuzielezea.Nyumbu tulia mtu apewe haki yake
 
Nimegundua watanzania wengi vilaza sana,maoni niliyoyaona insta,nayakuta pia hapa "home of great thinkers"

Ujinga mtupu.Mahakama haiwezi kumuonea mtu,kila mtu anapaswa kufuata sheria



Sent using Jamii Forums mobile app
hata mimi mkuu ninesoma comments hapa mpaka nacheka. hivi watu kweli hawajui kama kuna minimum cash ambayo unatakiwa usafiri nayo zaidi ya hapo unatakiwa utoe maelezo. na hii sheria ipo dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe unaishi dunia gani,ngoja kwanza nikuulize je umewahi kusafiri nje ya Tanzania?kwa haraka haraka naona mwisho wako wa kusafiri labda ni Dar Es Salaam,ungekuwa ni mkwea pipa ungejua sheria za kimataifa kuhusu mambo ya pesa,au kwa kifupi anza kuangalia runinga kwenye channely ya NatGeo wanaonyesha kipindi cha Border,hiki kinaonyesha askari wa mipaka kwenye viwanja vya ndege,bandari na mipaka ya nchi kavu wanavyofanya kazi zao.Kwa kifupi ni kuwa sheria ya kimataifa duniani koe ni kuwa unapoenda au kuingia nchi nyingine hata kama ni Bill gate unatakiwa kuwaambia wahusika wa ukaguzi tena kwa kujaza fomu kuwa una pesa zaidi ya usd 10,000.Pesa taslimu unayoruhusiwa kuvuka nayo mpaka inatakiwa isizidi USD 10,000 ama sivyo basi unatakiwa kubenki hiyo pesa na kuitolea maelezo,hizi ni sheria zinazotumika duniani kote kuepusha utakakashkaji wa pesa za mihadarati au ugaidi< Wakati mwingine sio lazima kutoa maoni yako ambayo yataonyesha jinsi ya uelewa wako wa mambo ulivyo kwa sababu tu basi una kisimu basi unaandika ujinga ,pianiwakati Watanzania wenzangu kuacha chuki za kisiasa na kuzileta kwenye mambo ya kazi.Huyo Mturuki anajua alichokuwa anakifanya.
waliopanda pipa tz ni 1% mkuu. kwa hiyo usilaumu sana comments za watu humu hawajui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?

Huu ni udictator wa wazi kabisa..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Huo ni zaidi ya Uporaji...
 
Back
Top Bottom