Yetkin Gen Mehmen, Meneja wa Yapi Merkezi, kampuni inayojenga SGR ahukumiwa Kisutu

Yetkin Gen Mehmen, Meneja wa Yapi Merkezi, kampuni inayojenga SGR ahukumiwa Kisutu

Aiseee kumbe ndo yule????

TBC wameficha kwamba ni mturuki mjenga reli.... daaaah!

Hawataki tujue chochote, yani tubaki wajinga, closed system! Almuradi mradi wa mzee usichafuke!

Aisee, leo ndio nimejua kwa nini Wazungu (Westerners) hawawapendi wakomunisti, wasoshalisti na ma closed system yetu!

nimekasirika mno kujua utumbo ambao wananchi wasio na internet access wanalishwa!

Astakafullulilah!

Ndio wewe ulioandika 'shalom my arse?'
 
hata mimi mkuu ninesoma comments hapa mpaka nacheka. hivi watu kweli hawajui kama kuna minimum cash ambayo unatakiwa usafiri nayo zaidi ya hapo unatakiwa utoe maelezo. na hii sheria ipo dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maximum imeshatajwa hapa kwamba ni $ 10,000. Hiyo minimum cash ni dola ngapi ili na wengine tujue?
 
Bado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?

Huu ni udictator wa wazi kabisa..


Sent from my iPhone using JamiiForums
We mwendawazimu kweli, kama umepewa umanager na mshahara wako ni milioni 2 kwa mwezi, milioni 200 umezitoa wapi?
 
Bado haiingii akilini.. Mnafahamu kabisa ni manager wa kampuni kubwa mlioipa tenda ya SGR, sasa kuna ajabu gani kumkuta na hizo fedha? Na maelezo gani hasa mnayoyataka wakati mnafahamu fika ni manager wa kampuni wa kampuni kubwa na yenye tenda kubwa?

Huu ni udictator wa wazi kabisa..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sheria haisemi ukiwa manager wa kampuni kubwa upite na mabulungutu,haipo nchi yoyote hiyo
Sheria ya Tanzania inataka upite na dola zisizo zidi 10,000 zaidi ya hapo upate kibali cha gavana
Hata hivyo benki si zipo nyingi tu,kwa nn asitumie benki akifika kwao anachota mzigo
 
Mambo mengine kama huna ufahamu bora unyamaze. Hizo hela ni sawa na million 200 za kitanzania. Unawezaje kuwa na cash kubwa hiyo mkononi kama sio kwa ajiri ya uhalifu? Kisheria za kibenki za Tanzania ukitaka kutoa (withdraw) kiasi cha million 10 lazima BoT ifahamishwe na lazima hiyo account iwe inayoeleweka vinginevyo utasubirishwa saana uku wakikuchunguza.

Sasa RAIA wa kigeni kuwa na hela kubwa hiyo ya kigeni cash uwanja wa ndege ni uhalifu na unahatarisha usalama wa taifa. Nenda nchi yoyote duniani labla ya kuingia au kutoka lazima utolee maelezo kiasi cha fedha ulichonacho na uhalali vinginevyo zinataifishwa!
Million 10? acha uongo wewe..
Hiyo mbona pesa ndogo sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
https://millardayo.com/mkurugenzi-wa-kampuni-inayojenga-sgr-ahukumiwa-kisutu/#respond

WhatsApp-Image-2020-02-28-at-07.44.11-660x400.jpg


Mkurugenzi wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga reli ya kisasa ya Standard Gauge (SGR), Yetkin Genc Mehmet (54) amehukumiwa kulipa faini ya dola za Marekani (USD) milioni 100, sawa na shilingi bilioni 230.9 za Tanzania, ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri shtaka la kushindwa kutoa tamko la fedha USD 84,850, sawa na shilingi milioni 196, alizokutwa akizisafirisha.

Aidha mahakama imeamuru kutaifishwa kwa fedha hizo alizokutwa nazo Mehmet kuwa mali ya serikali.

Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba amesoma hukumu hiyo baada ya Mturuki huyo anayeishi Ilala, Dar es Salaam kufikishwa mahakamani Februari 27 na kusomewa shtaka moja la kushindwa kuzitolea taarifa fedha alizokutwa akisafiri nazo.

Mapema akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Mkuu, Shadrack Kimaro amedai kuwa Februari 13, mwaka huu huko katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (terminal III) mshtakiwa akiwa anaondoka nchini kwenda Instabul, Uturuki alikutwa na USD 84,850 ambazo hakuwa amezitolea taarifa kwa Idara ya Forodha.

 
Ni jana tuu DAB alikuwa na kikao na wawekezaji wa Turkey. Nadhani haka ni ka mchezo ka kuingiza pesa kwenye stream bila kuleta taswira ya utakatishaji.

Hivi wote tunaonekana hatuna akili eeeh?


Unforgetable
 
Back
Top Bottom