Yevgeny Prigozhin: Hatukuwa na lengo la kumpindua Rais Putin

Yevgeny Prigozhin: Hatukuwa na lengo la kumpindua Rais Putin

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kiongozi wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameweka wazi kuwa hakumlenga Putin alipotangaza kuwa wanajeshi wake wangeandamana mjini Moscow akisema: "Hatukuandamana kuupindua uongozi wa Urusi."

Katika ujumbe wake wa video wa dakika 11, anasema: "Lengo la maandamano hayo lilikuwa kuepusha uharibifu wa Wagner na kuwawajibisha maafisa ambao kwa vitendo vyao visivyo vya kitaalamu wamefanya makosa mengi".

Anasema Wagner anajuta "ilibidi waigonge ndege ya Urusi" na wakageuka "ili kuzuia kumwaga damu ya wanajeshi wa Urusi."

Ujumbe wa Nukuu: Tulikuwa kwenye maandamano kuonesha masikitiko yetu ya kugeukwa, sio kupindua serikali."

Yevgeny Prigozhin
Kiongozi wa Wagner
 
Kiongozi wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameweka wazi kuwa hakumlenga Putin alipotangaza kuwa wanajeshi wake wangeandamana mjini Moscow akisema: "Hatukuandamana kuupindua uongozi wa Urusi."

Katika ujumbe wake wa video wa dakika 11, anasema: "Lengo la maandamano hayo lilikuwa kuepusha uharibifu wa Wagner na kuwawajibisha maafisa ambao kwa vitendo vyao visivyo vya kitaalamu wamefanya makosa mengi".

Anasema Wagner anajuta "ilibidi waigonge ndege ya Urusi" na wakageuka "ili kuzuia kumwaga damu ya wanajeshi wa Urusi."

Ujumbe wa Nukuu: Tulikuwa kwenye maandamano kuonesha masikitiko yetu ya kugeukwa, sio kupindua serikali."

Yevgeny Prigozhin
Kiongozi wa Wagner
Mbona NATO walishangilia sana? hivi wanajua wazi hawaiwezi Russia kivita? au kulikoni?
 
Kiongozi wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameweka wazi kuwa hakumlenga Putin alipotangaza kuwa wanajeshi wake wangeandamana mjini Moscow akisema: "Hatukuandamana kuupindua uongozi wa Urusi."

Katika ujumbe wake wa video wa dakika 11, anasema: "Lengo la maandamano hayo lilikuwa kuepusha uharibifu wa Wagner na kuwawajibisha maafisa ambao kwa vitendo vyao visivyo vya kitaalamu wamefanya makosa mengi".

Anasema Wagner anajuta "ilibidi waigonge ndege ya Urusi" na wakageuka "ili kuzuia kumwaga damu ya wanajeshi wa Urusi."

Ujumbe wa Nukuu: Tulikuwa kwenye maandamano kuonesha masikitiko yetu ya kugeukwa, sio kupindua serikali."

Yevgeny Prigozhin
Kiongozi wa Wagner
Huyu mwamba ana akili na mbinu sana za kivita ni hatari,,ni lazima raisi Putin atetemeke maana anamjua huyu kiongozi wa Wagner
 
Ingawa mimi mrusi niko mpakani na malawi ila kwenye ukweli sijawahi kuongopa. Mkuu wa wegna muda wote vyombo viliripoti kuwa anataka afanye mapinduzi katika mifumo ya kijeshi ya Taifa lake hakuwa amemlenga putin ingawa kiukweli nilijiuliza sana hilo linawezekanaje?
 
Wamepigwa 6 Billion inasemekana US 6.2 Billion walitoa kuwapa wagner wapigane na Russian.

Kiongozi Wagner akamuambia Putin na Putin alimwambia achukue hio Ofa afu atampa 1 Billion iliapote na ajifiche


Biden: US and Western allies "had nothing to do" with Russian rebellion​

President Joe Biden said the US and its Western allies had "nothing to do" with Saturday's events in Russia, where Wagner boss Yevgeny Prigozhin allegedly incited an armed rebellionagainst the Kremlin.

Biden said he directed the national security team to monitor Saturday's events in Russia closely and report to him "hour by hour" and prepare for a range of scenarios.

He said he also spoke to the United States' key allies over the weekend to "make sure we are all on the same page."

"It's critical that we are in a coordinated in our response and coordinated in what we are to anticipate," he said, adding that all parties agreed that "we had to make sure we gave Putin no excuse to blame this on the West or to blame this on NATO."

"We made clear that we were not involved. We had nothing to do with it. This was part of a struggle within the Russian system," he added.
 
Wamepigwa 6 Billion inasemekana US 6.2 Billion walitoa kuwapa wagner wapigane na Russian.

Kiongozi Wagner akamuambia Putin na Putin alimwambia achukue hio Ofa afu atampa 1 Billion iliapote na ajifiche

Nyie watoto mgeenda kucheza nje tu wakati watu wazima wanazungumza, mnafanya usumbufu tu kupiga kelele na kurukia kushika ndevu.
 
BREAKING NEWS:- Mashambulizi mazito yameendelea kurindima nchini Ukraine punde tu baada ya Wagner kupiga U-turn moja matata na Kurudi Eneo la Mapigano[emoji23][emoji23][emoji23]... Zele kazi anayo.
 
Wamepigwa 6 Billion inasemekana US 6.2 Billion walitoa kuwapa wagner wapigane na Russian.

Kiongozi Wagner akamuambia Putin na Putin alimwambia achukue hio Ofa afu atampa 1 Billion iliapote na ajifiche


Ona story za vijiweni hizi
 
NATO gani wa kuhangaika na hao wanaofanya vituko vya kama wanakikundi cha East Coast Team?
Au Jamiiforum ndiyo NATO?
Siyo kawaida yako kujitoa ufahamu kisa tu NATO wakiongozwa na kilanja wao mkuu USA hawaiwezi Russia.
 
Back
Top Bottom