PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Sawa hawaiwezi, you happy now?Siyo kawaida yako kujitoa ufahamu kisa tu NATO wakiongozwa na kilanja wao mkuu USA hawaiwezi Russia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa hawaiwezi, you happy now?Siyo kawaida yako kujitoa ufahamu kisa tu NATO wakiongozwa na kilanja wao mkuu USA hawaiwezi Russia.
🤣🤣🤣Ingawa mimi mrusi niko mpakani na malawi ila kwenye ukweli sijawahi kuongopa. Mkuu wa wegna muda wote vyombo viliripoti kuwa anataka afanye mapinduzi katika mifumo ya kijeshi ya Taifa lake hakuwa amemlenga putin ingawa kiukweli nilijiuliza sana hilo linawezekanaje?
Umemjibu vema kabisa. Anadhani NATO ni sawa na wanamgambo wa Palestina au kikundi cha wagner.We naye kama mwanamke malaya tu, Sasa NATO ipi hiyo ambayo haiwezi Urusi dhaifu mbele ya wanamgambo??
ndege ya urusi inaangushwa na wagner. Wanajeshi wengine wanajipanga moscow kuzuia wagner. Putin anahutubia taifa kwamba hali ni mbaya. Halafu wewe unachora makatuni kweli?.Wamepigwa 6 Billion inasemekana US 6.2 Billion walitoa kuwapa wagner wapigane na Russian.
Kiongozi Wagner akamuambia Putin na Putin alimwambia achukue hio Ofa afu atampa 1 Billion iliapote na ajifiche
Kwa nini?Hili tukio limewafamya Western leader na majasusi wao kulala na
viatu maana hawaelewi wanaota au vipi
.We naye kama mwanamke malaya tu, Sasa NATO ipi hiyo ambayo haiwezi Urusi dhaifu mbele ya wanamgambo??
Mbona NATO walishangilia sana? hivi wanajua wazi hawaiwezi Russia kivita? au kulikoni?
Wamepigwa 6 Billion inasemekana US 6.2 Billion walitoa kuwapa wagner wapigane na Russian.
Kiongozi Wagner akamuambia Putin na Putin alimwambia achukue hio Ofa afu atampa 1 Billion iliapote na ajifiche
Mimi nimeona kwenye news sikutoa kichwani kwangu dogo“Inasemakana” yaani speculation halaf unaleta story 6B wkt bado inasemekana?
Putin ameshagoga muhuri alichokifanya ni uhaini mkubwa amehatarisha usalama WA Russia ,asubiri muda wake wa kuliwa kichwa ufikeKiongozi wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameweka wazi kuwa hakumlenga Putin alipotangaza kuwa wanajeshi wake wangeandamana mjini Moscow akisema: "Hatukuandamana kuupindua uongozi wa Urusi."
Katika ujumbe wake wa video wa dakika 11, anasema: "Lengo la maandamano hayo lilikuwa kuepusha uharibifu wa Wagner na kuwawajibisha maafisa ambao kwa vitendo vyao visivyo vya kitaalamu wamefanya makosa mengi".
Anasema Wagner anajuta "ilibidi waigonge ndege ya Urusi" na wakageuka "ili kuzuia kumwaga damu ya wanajeshi wa Urusi."
Ujumbe wa Nukuu: Tulikuwa kwenye maandamano kuonesha masikitiko yetu ya kugeukwa, sio kupindua serikali."
Yevgeny Prigozhin
Kiongozi wa Wagner
Russia hii hii wagner anatikisia nchi?Mbona NATO walishangilia sana? hivi wanajua wazi hawaiwezi Russia kivita? au kulikoni?
Jiunge na JWTZ ukatetee bandar ipigwe mnadaNasubiri majibu yangu nimeomba kujiunga na hao PMC niwe Askari wa Wagner
Putn ajitoe sasa Ukraine.Kiongozi wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameweka wazi kuwa hakumlenga Putin alipotangaza kuwa wanajeshi wake wangeandamana mjini Moscow akisema: "Hatukuandamana kuupindua uongozi wa Urusi."
Katika ujumbe wake wa video wa dakika 11, anasema: "Lengo la maandamano hayo lilikuwa kuepusha uharibifu wa Wagner na kuwawajibisha maafisa ambao kwa vitendo vyao visivyo vya kitaalamu wamefanya makosa mengi".
Anasema Wagner anajuta "ilibidi waigonge ndege ya Urusi" na wakageuka "ili kuzuia kumwaga damu ya wanajeshi wa Urusi."
Ujumbe wa Nukuu: Tulikuwa kwenye maandamano kuonesha masikitiko yetu ya kugeukwa, sio kupindua serikali."
Yevgeny Prigozhin
Kiongozi wa Wagner
We naye kama mwanamke malaya tu, Sasa NATO ipi hiyo ambayo haiwezi Urusi dhaifu mbele ya wanamgambo??
[emoji23][emoji23][emoji23]Yupo SHAKAHOLA Bado anatafuta ndugu zake bwana MSENGE MACKENZIE kaua nduguze
Sent using Jamii Forums mobile app
jwtz njaa kali hamna helaJiunge na JWTZ ukatetee bandar ipigwe mnada