Yevgeny Prigozhin: Hatukuwa na lengo la kumpindua Rais Putin

Yevgeny Prigozhin: Hatukuwa na lengo la kumpindua Rais Putin

Ingawa mimi mrusi niko mpakani na malawi ila kwenye ukweli sijawahi kuongopa. Mkuu wa wegna muda wote vyombo viliripoti kuwa anataka afanye mapinduzi katika mifumo ya kijeshi ya Taifa lake hakuwa amemlenga putin ingawa kiukweli nilijiuliza sana hilo linawezekanaje?
🤣🤣🤣
 
Hili tukio limewafamya Western leader na majasusi wao kulala na
viatu maana hawaelewi wanaota au vipi
 
Wamepigwa 6 Billion inasemekana US 6.2 Billion walitoa kuwapa wagner wapigane na Russian.

Kiongozi Wagner akamuambia Putin na Putin alimwambia achukue hio Ofa afu atampa 1 Billion iliapote na ajifiche

ndege ya urusi inaangushwa na wagner. Wanajeshi wengine wanajipanga moscow kuzuia wagner. Putin anahutubia taifa kwamba hali ni mbaya. Halafu wewe unachora makatuni kweli?.
 
We naye kama mwanamke malaya tu, Sasa NATO ipi hiyo ambayo haiwezi Urusi dhaifu mbele ya wanamgambo??
.
Screenshot_20230516-211511.jpg
 
Mbona NATO walishangilia sana? hivi wanajua wazi hawaiwezi Russia kivita? au kulikoni?

Sijaona mahali ambapo nchi wanachama wa NATO walishangilia, isipokuwa mataifa hayo yalisema yana fuatilia hili tukio kwa ukaribu.
 
Wamepigwa 6 Billion inasemekana US 6.2 Billion walitoa kuwapa wagner wapigane na Russian.

Kiongozi Wagner akamuambia Putin na Putin alimwambia achukue hio Ofa afu atampa 1 Billion iliapote na ajifiche



“Inasemakana” yaani speculation halaf unaleta story 6B wkt bado inasemekana?
 
Tafsiri yake
wagner walikua kwny maandamano ya amani Kama Yale ya MEI MOSI kuelekea moscow [emoji28]
 
Kiongozi wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameweka wazi kuwa hakumlenga Putin alipotangaza kuwa wanajeshi wake wangeandamana mjini Moscow akisema: "Hatukuandamana kuupindua uongozi wa Urusi."

Katika ujumbe wake wa video wa dakika 11, anasema: "Lengo la maandamano hayo lilikuwa kuepusha uharibifu wa Wagner na kuwawajibisha maafisa ambao kwa vitendo vyao visivyo vya kitaalamu wamefanya makosa mengi".

Anasema Wagner anajuta "ilibidi waigonge ndege ya Urusi" na wakageuka "ili kuzuia kumwaga damu ya wanajeshi wa Urusi."

Ujumbe wa Nukuu: Tulikuwa kwenye maandamano kuonesha masikitiko yetu ya kugeukwa, sio kupindua serikali."

Yevgeny Prigozhin
Kiongozi wa Wagner
Putin ameshagoga muhuri alichokifanya ni uhaini mkubwa amehatarisha usalama WA Russia ,asubiri muda wake wa kuliwa kichwa ufike
 
Kiongozi wa Wagner, Yevgeny Prigozhin ameweka wazi kuwa hakumlenga Putin alipotangaza kuwa wanajeshi wake wangeandamana mjini Moscow akisema: "Hatukuandamana kuupindua uongozi wa Urusi."

Katika ujumbe wake wa video wa dakika 11, anasema: "Lengo la maandamano hayo lilikuwa kuepusha uharibifu wa Wagner na kuwawajibisha maafisa ambao kwa vitendo vyao visivyo vya kitaalamu wamefanya makosa mengi".

Anasema Wagner anajuta "ilibidi waigonge ndege ya Urusi" na wakageuka "ili kuzuia kumwaga damu ya wanajeshi wa Urusi."

Ujumbe wa Nukuu: Tulikuwa kwenye maandamano kuonesha masikitiko yetu ya kugeukwa, sio kupindua serikali."

Yevgeny Prigozhin
Kiongozi wa Wagner
Putn ajitoe sasa Ukraine.
Tumechoka mavita vita.
 
Naamini WAGNER anajutia mpango huo uliofeli, naamini aliingizwa chaka na west + NATO ukisikiliza maneno ya BIDEN unapata picha nini kilikuwepo behind..

Na huenda PUTIN analitambua hilo...
Huyu WAGNER it's a matter of time, cjui PUTIN atamfanya nn?
 
We naye kama mwanamke malaya tu, Sasa NATO ipi hiyo ambayo haiwezi Urusi dhaifu mbele ya wanamgambo??


Kwa hizi kauli zako za hovyo kama wewe ni mwanamke, hustahili kuwa na hiyo profile picture.

Tania zako za kuita wenzako mwanamke Malaya bila sababu zinafanana na hii sura!
 

Attachments

  • 8cb9304c-25b7-4a53-afb3-4bfc3ae29add.jpg
    8cb9304c-25b7-4a53-afb3-4bfc3ae29add.jpg
    28.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom