Yeye mwenyewe alijitetea kwa mkono wa chuma, Wewe unaweza kumtetea kwa mdomo?

Yeye mwenyewe alijitetea kwa mkono wa chuma, Wewe unaweza kumtetea kwa mdomo?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ni ngumu sana kumtetea Magufuli kwa mdomo mtupu.

Mambo yaliyoendelea katika utawala wake dhidi ya haki ya kutoa maoni, dhidi ya haki ya kuishi na kufikia hatua ya kudhuru wengine, ni dhahiri ilikuwa katika harakati za kujitetea.

Magufuli mwenyewe alijitahidi kujitetea kwa mdomo akashindwa ikabidi atumie mkono wa chuma kushughulikia wakosoaji.

Wengine wanataka yasisemwe na kuwekwa wazi kwa kuwa alishaondoka duniani. Huu utetezi wa kitoto na funzo kwamba tuondoke duniani kwa wema. Lakini pia huu ni historia kwa vizazi. Taifa la kesho kinapata kurejea kwenye kitabu cha Kabendera kujifunza kitu.

Ni ngumu sana kuficha mambo kwenye kizazi hivi kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu.

Tuache historia mbaya na nzuri iandikwe
 
Mimi kinachonishangaza ni kwanini mamlaka zimeacha hili jambo liende hivi bila wao kutumia nguvu ya kulizuia!
 
Alipokufa Ndio Mapolisi wakamkamata Mwenyekiti wa Chadema Kwa tuhuma za Ugaidi

Mahakama ikamkuta Mwenyekiti wa Chadema ana KESI ya kujibu

Maofisa wa DPP walioendesha Kesi wote wakapandishwa vyeo na mmoja ndiye Mkuu wa Upelelezi nchi nzima Kwa sasa

Mwenyekiti wa Chadema akaitwa Magogoni na Maongezi yakawa ya Siri

Maridhiano ya Kitaifa yaliongozwa na Prof Mkandara na Zitto Kabwe siyo Mbowe

Nawatakia Sabato njema 🌹😃
 
Nyie semeni tu,hata mkipenda ongeeni hadi december!

As long as hawaskii,haisaidii kitu haimake sense,na tuliopenda uchapakazi wake hatutaacha kusema mazuri yake.

Kila mtu asimamie anachokiamini.
 
Ni ngumu sana kumtetea Magufuli kwa mdomo mtupu.

Mambo yaliyoendelea katika utawala wake dhidi ya haki ya kutoa maoni, dhidi ya haki ya kuishi na kufikia hatua ya kudhuru wengine, ni dhahiri ilikuwa katika harakati za kujitetea.

Magufuli mwenyewe alijitahidi kujitetea kwa mdomo akashindwa ikabidi atumie mkono wa chuma kushughulikia wakosoaji.

Wengine wanataka yasisemwe na kuwekwa wazi kwa kuwa alishaondoka duniani. Huu utetezi wa kitoto na funzo kwamba tuondoke duniani kwa wema. Lakini pia huu ni historia kwa vizazi. Taifa la kesho kinapata kurejea kwenye kitabu cha Kabendera kujifunza kitu.

Ni ngumu sana kuficha mambo kwenye kizazi hivi kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu.

Tuache historia mbaya na nzuri iandikwe
Tuhuma ziambatane na ushahidi. Hasa tuhuma kubwa kama mauaji, ubakaji, utesaji, ulawiti nk.

Kila mtu anaweza kumtuhumu mwingine, akaandika kitabu bila ushahidi wowote akisema nimeambiwa na vyanzo vya kuaminika. Mnaotaka kuamini bila ushahidi mtaamini.

Vipi ungetuhumiwa wewe, si ungependa upewe ushahidi, tuhuma kubwa ziende na ushahidi mkubwa usio na shaka au ni sawa kusema lolote?
 
Nyie semeni tu,hata mkipenda ongeeni hadi december!

As long as hawaskii,haisaidii kitu haimake sense,na tuliopenda uchapakazi wake hatutaacha kusema mazuri yake.

Kila mtu asimamie anachokiamini.
Ndio.Kuna watu mnaamini ni sahihi mtu kuua mwenzake, na pengine nanyi ni wauaji. Endeleeni kuamini katika kuua.
 
Ni ngumu sana kumtetea Magufuli kwa mdomo mtupu.

Mambo yaliyoendelea katika utawala wake dhidi ya haki ya kutoa maoni, dhidi ya haki ya kuishi na kufikia hatua ya kudhuru wengine, ni dhahiri ilikuwa katika harakati za kujitetea.

Magufuli mwenyewe alijitahidi kujitetea kwa mdomo akashindwa ikabidi atumie mkono wa chuma kushughulikia wakosoaji.

Wengine wanataka yasisemwe na kuwekwa wazi kwa kuwa alishaondoka duniani. Huu utetezi wa kitoto na funzo kwamba tuondoke duniani kwa wema. Lakini pia huu ni historia kwa vizazi. Taifa la kesho kinapata kurejea kwenye kitabu cha Kabendera kujifunza kitu.

Ni ngumu sana kuficha mambo kwenye kizazi hivi kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu.

Tuache historia mbaya na nzuri iandikwe
Umewaza sana aisee, hongera.
 
Tuhuma ziambatane na ushahidi. Hasa tuhuma kubwa kama mauaji, ubakaji, utesaji, ulawiti nk.

Kila mtu anaweza kumtuhumu mwingine, akaandika kitabu bila ushahidi wowote akisema nimeambiwa na vyanzo vya kuaminika. Mnaotaka kuamini bila ushahidi mtaamini.

Vipi ungetuhumiwa wewe, si ungependa upewe ushahidi, tuhuma ziende na ushahidi au ni sawa kusema lolote?
Ushahidi hutolewa mahakamani.
Wampeleke mahakamani sasa aoneshe Ushahidi.
 
Ni ngumu sana kumtetea Magufuli kwa mdomo mtupu.

Mambo yaliyoendelea katika utawala wake dhidi ya haki ya kutoa maoni, dhidi ya haki ya kuishi na kufikia hatua ya kudhuru wengine, ni dhahiri ilikuwa katika harakati za kujitetea.

Magufuli mwenyewe alijitahidi kujitetea kwa mdomo akashindwa ikabidi atumie mkono wa chuma kushughulikia wakosoaji.

Wengine wanataka yasisemwe na kuwekwa wazi kwa kuwa alishaondoka duniani. Huu utetezi wa kitoto na funzo kwamba tuondoke duniani kwa wema. Lakini pia huu ni historia kwa vizazi. Taifa la kesho kinapata kurejea kwenye kitabu cha Kabendera kujifunza kitu.

Ni ngumu sana kuficha mambo kwenye kizazi hivi kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu.

Tuache historia mbaya na nzuri iandikwe
Huo mkono wa chuma ulikupima oili
 
Ni ngumu sana kumtetea Magufuli kwa mdomo mtupu.

Mambo yaliyoendelea katika utawala wake dhidi ya haki ya kutoa maoni, dhidi ya haki ya kuishi na kufikia hatua ya kudhuru wengine, ni dhahiri ilikuwa katika harakati za kujitetea.

Magufuli mwenyewe alijitahidi kujitetea kwa mdomo akashindwa ikabidi atumie mkono wa chuma kushughulikia wakosoaji.

Wengine wanataka yasisemwe na kuwekwa wazi kwa kuwa alishaondoka duniani. Huu utetezi wa kitoto na funzo kwamba tuondoke duniani kwa wema. Lakini pia huu ni historia kwa vizazi. Taifa la kesho kinapata kurejea kwenye kitabu cha Kabendera kujifunza kitu.

Ni ngumu sana kuficha mambo kwenye kizazi hivi kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu.

Tuache historia mbaya na nzuri iandikwe
Sawa msukule wa Freeman....
Magufuli atabaki kuwa shujaa mpaka aje atakaemzidi...
Mzilankende nitamkumbuka mpaka siku yangu ya mwisho
 
Nyie semeni tu,hata mkipenda ongeeni hadi december!

As long as hawaskii,haisaidii kitu haimake sense,na tuliopenda uchapakazi wake hatutaacha kusema mazuri yake.

Kila mtu asimamie anachokiamini.
Kisaikolojia ninyi mlio hai mnaumia zaidi.Na bado.Maliyemu hasikii chochote.Mumjibie.
 
Baada ya mama kumaliza.muda wake atajitokeza mzalendo kuandika kitabu kuhusu kupotea Kwa soka,mbise,yule kijana aliyechoma picha ya asiyekosea, mzee kibao na wengine wengi kama ilivyoorodheshwa kwenye waraka waTLS chini ya rais mwambukusi
 
Kisaikolojia ninyi mlio hai mnaumia zaidi.Na bado.Maliyemu hasikii chochote.Mumjibie.
Hahahaaa!
Lengo la kitabu ni kuumizana kisaikolojia?
Hapo mmefeli pakubwa,ninyi ndio mnaonekana hamko psychologically fit,kumsema mwendazake 24/7,kifupi mnapambana na Hayati!
 
Ushahidi hutolewa mahakamani.
Wampeleke mahakamani sasa aoneshe Ushahidi.
Ametoa tuhuma kwenye mahakama ya umma. Hata hapo kwenye kitabu chake anawajibika kutoa ushahidi usio na shaka.

Kwa utaratibu huu anaoutumia kila mtu anaweza kusema chochote kuhusu mtu mwingine, kuhusu wewe, mtu asiyempenda wakiwa na bifu.
 
Hahahaaa!
Lengo la kitabu ni kuumizana kisaikolojia?
Hapo mmefeli pakubwa,ninyi ndio mnaonekana hamko psychologically fit,kumsema mwendazake 24/7,kifupi mnapambana na Hayati!
Si marehemu tu anayelengwa.Tulia uone.Au kaa chonjo kichochi;saa mbaya hii.
 
Back
Top Bottom