Yeye mwenyewe alijitetea kwa mkono wa chuma, Wewe unaweza kumtetea kwa mdomo?

Yeye mwenyewe alijitetea kwa mkono wa chuma, Wewe unaweza kumtetea kwa mdomo?

Si marehemu tu anayelengwa.Tulia uone.Au kaa chonjo kichochi;saa mbaya hii.
Sasa mbona muanzie kwa Hayati,so kifupi Magu ndio Kiki halafu mlete content?
Hata hao mnaowalenga hakuna atakaewaamini mmeanza vibaya.
Tusubiri matokeo.
 
Ametoa tuhuma kwenye mahakama ya umma. Hata hapo kwenye kitabu chake anawajibika kutoa ushahidi usio na shaka.

Kwa utaratibu huu anaoutumia kila mtu anaweza kusema chochote kuhusu mtu mwingine, kuhusu wewe, mtu asiyempenda wakiwa na bifu.
Unataka akae anajibu maswali yenu hovyohovyo tu?Tafuteni kusanyiko jumuishi/wakilishi nayo ni mahakama ili akawajibu huko.Atawezaje kujibu watu "mirioni sarasini" kwa pamoja?
 
Sasa mbona muanzie kwa Hayati,so kifupi Magu ndio Kiki halafu mlete content?
Hata hao mnaowalenga hakuna atakaewaamini mmeanza vibaya.
Tusubiri matokeo.
Mlitueleza mara ya mwisho alikuwa taasisi.Wanachama watiifu wa taasisi mjibu maswali.
 
Ni ngumu sana kumtetea Magufuli kwa mdomo mtupu.

Mambo yaliyoendelea katika utawala wake dhidi ya haki ya kutoa maoni, dhidi ya haki ya kuishi na kufikia hatua ya kudhuru wengine, ni dhahiri ilikuwa katika harakati za kujitetea.

Magufuli mwenyewe alijitahidi kujitetea kwa mdomo akashindwa ikabidi atumie mkono wa chuma kushughulikia wakosoaji.

Wengine wanataka yasisemwe na kuwekwa wazi kwa kuwa alishaondoka duniani. Huu utetezi wa kitoto na funzo kwamba tuondoke duniani kwa wema. Lakini pia huu ni historia kwa vizazi. Taifa la kesho kinapata kurejea kwenye kitabu cha Kabendera kujifunza kitu.

Ni ngumu sana kuficha mambo kwenye kizazi hivi kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu.

Tuache historia mbaya na nzuri iandikwe
Kama ilivyokuwa katika enzi za Mwalimu.
Vyombo vyetu vya usalama vinafanya kazi nzuri ya kuwashikisha hawa Nyerere - haters .
Don't mess with Prince Satan.
 
Ni ngumu sana kumtetea Magufuli kwa mdomo mtupu.

Mambo yaliyoendelea katika utawala wake dhidi ya haki ya kutoa maoni, dhidi ya haki ya kuishi na kufikia hatua ya kudhuru wengine, ni dhahiri ilikuwa katika harakati za kujitetea.

Magufuli mwenyewe alijitahidi kujitetea kwa mdomo akashindwa ikabidi atumie mkono wa chuma kushughulikia wakosoaji.

Wengine wanataka yasisemwe na kuwekwa wazi kwa kuwa alishaondoka duniani. Huu utetezi wa kitoto na funzo kwamba tuondoke duniani kwa wema. Lakini pia huu ni historia kwa vizazi. Taifa la kesho kinapata kurejea kwenye kitabu cha Kabendera kujifunza kitu.

Ni ngumu sana kuficha mambo kwenye kizazi hivi kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu.

Tuache historia mbaya na nzuri iandikwe
Hakika mtu yule alikuwa mwovu sana.
 
Back
Top Bottom