Habari Ndugu zangu Wana JF nataka kupitia thread hii itukomboe wakulima juu ya MASOKO.kwaiyoo yeyote anayefahamu soko hapa Tanzania au nje ya hapa ata taja soko na BIDHAA inayouzika au inayouzwa kutoka kwa mkulima
Mazao kama yafuatayo;
1.Mchele
2.mahindi
3.kahawa
4.katani
5.ndizi
6.kuku
7.mbuzi
8.ngombe
9.chai
10.mbaazi
11.ufuta
12.strawberry
13.Alizeti
14.viazi
15.karoti
16.nyanya
17.vitunguu
18.nazi
19.Bamia
20.nyanya chungu
21.bilinganya
22.vitunguu saumu
23.machungwa
24.mananasi
25.maparachichi
Mazao kama yafuatayo;
1.Mchele
2.mahindi
3.kahawa
4.katani
5.ndizi
6.kuku
7.mbuzi
8.ngombe
9.chai
10.mbaazi
11.ufuta
12.strawberry
13.Alizeti
14.viazi
15.karoti
16.nyanya
17.vitunguu
18.nazi
19.Bamia
20.nyanya chungu
21.bilinganya
22.vitunguu saumu
23.machungwa
24.mananasi
25.maparachichi