Yoav Gallant akabidhi ofisi kwa mrithi wake Israel Katz, ajutia hasara waliyoipata vitani pamoja na kushindwa kukomboa mateka

Yoav Gallant akabidhi ofisi kwa mrithi wake Israel Katz, ajutia hasara waliyoipata vitani pamoja na kushindwa kukomboa mateka

Nani atawazuia Waarbu wote na Ayatolah wao wameufyata.
Ayatollah yupi? Irani ni mbabe wa mashariki kila siku US analeta silaha mpya mara THAAD mara B52 wanao muogopa ni Iran hakuna mwengine
 
Ayatollah yupi? Irani ni mbabe wa mashariki kila siku US analeta silaha mpya mara THAAD mara B52 wanao muogopa ni Iran hakuna mwengine
Huyo Ayatolah atanyongwa kama Saddam ngoja uone.
 
Kulikuwa na Washabiki wa Saddam wakimsifia kama ninyi mnavyomsifia Mzee Ayatolah.

Siku Saddam ananyongwa wengi waliingia Mitini😁😆
Iran anatoa msaada wa Silaha Urusi kupambana na Ukraine pamoja na washirika wake, acha kabisa kumfananisha Ayatollah na vitu vya ajabu
 
Iran anatoa msaada wa Silaha Urusi kupambana na Ukraine pamoja na washirika wake, acha kabisa kumfananisha Ayatollah na vitu vya ajabu
Saddam aliingia hiyo Iran na Jeshi la Ayatolah lilishindwa kumtoa akaingia Kuwait alilkuwa ni Mbabe lakini alinyongwa siku ya Iddi.
 
Saddam aliingia hiyo Iran na Jeshi la Ayatolah lilishindwa kumtoa akaingia Kuwait alilkuwa ni Mbabe lakini alinyongwa siku ya Iddi.
Sadam aliingia Iran ambayo ilikuwa imetoka kwenye mapinduzi ya kumtoa yule kibaraka wa US, Silaha zote walikuwa wananunua kwa watu , hii Iran ya sasa imejitafuta imejipata
 
Sadam aliingia Iran ambayo ilikuwa imetoka kwenye mapinduzi ya kumtoa yule kibaraka wa US, Silaha zote walikuwa wananunua kwa watu , hii Iran ya sasa imejitafuta imejipata
Siku Ayatolah ananyongwa nitakutag wala usijali.
 
Sinawar ni mtoto wa Iran , halafu Iran ni baba, acha kufananisha watu kutoka nchi hizi
Nilikuwa nasema humu Gaidi Nasrallah litauwawa mkashupaza shingo nikasema Gaidi Sinwar litauwawa na sasa nakuambia hivii Ayatolah nae siku zake zinahesabika.
 
Nilikuwa nasema humu Gaidi Nasrallah litauwawa mkashupaza shingo nikasema Gaidi Sinwar litauwawa na sasa nakuambia hivii Ayatolah nae siku zake zinahesabika.
Hawa wote ni viongozi wa vikundi acha kabisa kuwaweka kundi moja na Ayatollah mwamba wa Mashariki
 
Back
Top Bottom