TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Wachaga mmeanza kula kamba?
Sasa si mutaisha ?
Kwa sababu wake zenu mnawaacha kwenu huko moshi mnajifanya mnakuja dsm kutafuta maisha.

Mke mnamuacha na baba mkwe.
Sema watoto mnazaa wanaofanana na nyinyi.

Sasa swali langu ni je mmeshaanza hivi kula kamba si mtaisha?

Sisi tuliaminishwa kuwa watani zangu hawana wivu wa mapenzi. pumbavu. Kumbe ni maneno tu?

Ngoja nitafute mke wa mchaga ambaye yupo bise na biashara zake nimtafune.
Huku vyuma huku wife katafunwa.

Mtakula sana kamba pumbavu.

Ngurooooooo!
Shuveeeeeeee!

(Wachaga ni watani zangu kwa hio hii komenti inawastahili sana)
 
Mke wake kabila gani? Mbona anafanya mambo ya ajabu na usomi wake huo?
 
Ugonjwa wa kupenda ni mbaya sana. Mimi kuna mwanamke mmoja kutokana na ugonjwa wa kupenda amechukua fedha zake akawekeza kwangu millions na mimi kusema kweli kila nikijitahidi nimpende nashindwa yan sometime namuomba Mungu anishushie upendo nimpende tu lakini daah namuachia Mungu.

Sasa huko kwenye mitandao naye kawa kama chizi hadi sometime namuita home kumtuliza ila sijui nitafanyeje kumpenda jamani jamani! Kuna muda natamani hata aniendee kwa mganga basi nimpende tu! Mwanamke ana elimu nzuri ya masters. Umbo zuri nilimkuta bado hajatumika ila upendo kweli nasema kutoka moyoni haupo haupo haupo. Ee Mungu nisamehe tu kwa dhambi hii ila sitaki nimuweke kwangu kisha nianze kufanya mambo ya ajabu maana simpendi na nimeshindwa hata kudanganya upendo.

Hata huyu jamaa aliyejiua naona mwanamke hakumpenda ila alilazimisha tu. Aisee usiombee uwe na moyo huo!
Hasara za kupoteza muda mwingi katika mitandao
 
Kuna wengine tumeachana na wake zetu kistaarabu na tunafurahia maisha ya kuwa single!Hata hivyo watu wasioamini katika maamuzi kama haya wanatushangaa sana,lakini ni bora zaidi kuliko kuua ama kujiua.

Na haya maneno yenu ya kibamia kuna watu wanayaweka akilini sana.Unakuta mke anakuchana live kuwa anachelewa kurudi kwa vile alikuwa anamalizia muhogo wake,bamia inampa kichefuchefu!

Kwa wanaume wenye roho nyepesi ndo huamua kuchukua maamuzi kama hayo ama kuchinja kabisa mkewe.

nyie kwan huwa mnajali??usikute muda huu yupo kwa afisa maji anamkandia marehemu!!akili zenu mnazijua wenyewe...


Mara nyingi watu wasio na ndugu au rafiki wa kuongea naye mambo yake. ..ya siri huwa wanajiuwa kirahisi

Lakni imagine tu kuna watu sio wanekutana na hisia za wivu kama marehemu wapo ambao wamewakuta kabisa wenzi wao wanakandamzwa tena chumbani kwao....na wakajiondokea kwa amani ....huyo ukiongea naye utajiona...una afadhali
Pengine ndugu yetu alikuwa mtu wa kukaaa zake ndani suala la wanaume kwenda bar linasaidia wengi wakilewa hueleza frustration zao na kutiana moyo .siku inaisha

Pengine suala la mke...kurudi nyumbani late ni....hisia zake tu ...kama wangekua wanaongea kwa amani angekua anawahi ...sio mara zote atakua ana cheat labda.anachelewa kwa mashoga akifika alale ili tu wasigombane ...na yeye hisia zake zinakuwa kila akichelewa anatoka kwa wanaume ....
 
Huyu engineer Najua alikuwa Dawasco then netwas then kusoma uholanzi, then project Mbeya then ajira mamlaka! Jee huyu maro eneo lake la kazi, Namaanisha address ilikuwa wapi!? Dar es salaam au Mbeya!? Kama huyu ndugu huyo mke wake ndio alimfanya kuhamia Mbeya that was the biggest mistake he had done in first place !! Hata Siku moja usikubali kuwa drived na mwana mke, utakuja kujuta! Count my words! Hata bibilia imetoa angalizo
 
R.i.p kijana japo uamuzi uliouchukua ni wa kizamani zaidi karne hiii ni karne ya kuumizwa kichwa na mwanamke kweli ..suluhisho ni kuachana na kutafuta mnaeendanda kiamaani kabisa sasa kujiuuua ndo suluhisho la kipumbavu..tena nikutukane kabisa marehemu ww ni kiazi mbatata..
 
Wachaga mmeanza kula kamba?
Sasa si mutaisha ?
Kwa sababu wake zenu mnawaacha kwenu huko moshi mnajifanya mnakuja dsm kutafuta maisha.

Mke mnamuacha na baba mkwe.
Sema watoto mnazaa wanaofanana na nyinyi.

Sasa swali langu ni je mmeshaanza hivi kula kamba si mtaisha?

Sisi tuliaminishwa kuwa watani zangu hawana wivu wa mapenzi. pumbavu. Kumbe ni maneno tu?

Ngoja nitafute mke wa mchaga ambaye yupo bise na biashara zake nimtafune.
Huku vyuma huku wife katafunwa.

Mtakula sana kamba pumbavu.

Ngurooooooo!
Shuveeeeeeee!

(Wachaga ni watani zangu kwa hio hii komenti inawastahili sana)
Nimeshangaa sana, nilijuaga hawa watu wivu nehii kabisa.
 
Ubaya wa kujiuwa unaaacha pepo.ndani ya familia ,watu wengi wanaojiuwa ukitazama kwenye.ukooo ..hayo matukio yanakua yapo
Unapojiuwa unawaachia watoto wako hiyo historia na wao wakijakukutaana na mazito watafikia solution kujiuwa ..anakumbuka kuwa baba au baba yake alijiuwa
 
Hawa ndio wanaume wanaharakati [emoji3][emoji3]nacheka kama mazuri. Yaani unajiua kisa mkeo kachepuka?
Sasa si kaacha watoto wake wapweke
Alishindwa nini kuchepuka au kuachana nae kabisa??
Au alikua analelewa??
Wanaume kila siku wanachepuka wanafumwa wamama wanapambana dume zima linajiua??
Mungu amuweke anapostahiri kamanda Yona.
 
Nimesikitika sana, hawa wanandoa nawajua hata kabla hawana watoto. Tatizo mwanamke yupo njema na jamaa alikuwa choka ila alikuwa kijana mpole na mtulivu. Baba wa mwanamke alikataa wasifunge ndoa coz jamaa kiuchumi sio bomba na ni kweli huyu muuni sana na chapombe kama Baba yake na kwao ni nyuma ya shule ya mapambano sinza
 
Nimesikitika sana, hawa wanandoa nawajua hata kabla hawana watoto. Tatizo mwanamke yupo njema na jamaa alikuwa choka ila alikuwa kijana mpole na mtulivu. Baba wa mwanamke alikataa wasifunge ndoa coz jamaa kiuchumi sio bomba na ni kweli huyu muuni sana na chapombe kama Baba yake na kwao ni nyuma ya shule ya mapambano sinza
Mwanamke kaliwa mara ya kwanza bado unaye tu, mara ya pili bado unaye tu. Ya tatu?

Aaaaaaah.
 
Back
Top Bottom