Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Wachaga mmeanza kula kamba?
Sasa si mutaisha ?
Kwa sababu wake zenu mnawaacha kwenu huko moshi mnajifanya mnakuja dsm kutafuta maisha.
Mke mnamuacha na baba mkwe.
Sema watoto mnazaa wanaofanana na nyinyi.
Sasa swali langu ni je mmeshaanza hivi kula kamba si mtaisha?
Sisi tuliaminishwa kuwa watani zangu hawana wivu wa mapenzi. pumbavu. Kumbe ni maneno tu?
Ngoja nitafute mke wa mchaga ambaye yupo bise na biashara zake nimtafune.
Huku vyuma huku wife katafunwa.
Mtakula sana kamba pumbavu.
Ngurooooooo!
Shuveeeeeeee!
(Wachaga ni watani zangu kwa hio hii komenti inawastahili sana)
Sasa si mutaisha ?
Kwa sababu wake zenu mnawaacha kwenu huko moshi mnajifanya mnakuja dsm kutafuta maisha.
Mke mnamuacha na baba mkwe.
Sema watoto mnazaa wanaofanana na nyinyi.
Sasa swali langu ni je mmeshaanza hivi kula kamba si mtaisha?
Sisi tuliaminishwa kuwa watani zangu hawana wivu wa mapenzi. pumbavu. Kumbe ni maneno tu?
Ngoja nitafute mke wa mchaga ambaye yupo bise na biashara zake nimtafune.
Huku vyuma huku wife katafunwa.
Mtakula sana kamba pumbavu.
Ngurooooooo!
Shuveeeeeeee!
(Wachaga ni watani zangu kwa hio hii komenti inawastahili sana)