TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Wachaga mmeanza kula kamba?
Sasa si mutaisha ?
Kwa sababu wake zenu mnawaacha kwenu huko moshi mnajifanya mnakuja dsm kutafuta maisha.

Mke mnamuacha na baba mkwe.
Sema watoto mnazaa wanaofanana na nyinyi.

Sasa swali langu ni je mmeshaanza hivi kula kamba si mtaisha?

Sisi tuliaminishwa kuwa watani zangu hawana wivu wa mapenzi. pumbavu. Kumbe ni maneno tu?

Ngoja nitafute mke wa mchaga ambaye yupo bise na biashara zake nimtafune.
Huku vyuma huku wife katafunwa.

Mtakula sana kamba pumbavu.

Ngurooooooo!
Shuveeeeeeee!

(Wachaga ni watani zangu kwa hio hii komenti inawastahili sana)
 
Mke wake kabila gani? Mbona anafanya mambo ya ajabu na usomi wake huo?
 
Hasara za kupoteza muda mwingi katika mitandao
 

nyie kwan huwa mnajali??usikute muda huu yupo kwa afisa maji anamkandia marehemu!!akili zenu mnazijua wenyewe...


Mara nyingi watu wasio na ndugu au rafiki wa kuongea naye mambo yake. ..ya siri huwa wanajiuwa kirahisi

Lakni imagine tu kuna watu sio wanekutana na hisia za wivu kama marehemu wapo ambao wamewakuta kabisa wenzi wao wanakandamzwa tena chumbani kwao....na wakajiondokea kwa amani ....huyo ukiongea naye utajiona...una afadhali
Pengine ndugu yetu alikuwa mtu wa kukaaa zake ndani suala la wanaume kwenda bar linasaidia wengi wakilewa hueleza frustration zao na kutiana moyo .siku inaisha

Pengine suala la mke...kurudi nyumbani late ni....hisia zake tu ...kama wangekua wanaongea kwa amani angekua anawahi ...sio mara zote atakua ana cheat labda.anachelewa kwa mashoga akifika alale ili tu wasigombane ...na yeye hisia zake zinakuwa kila akichelewa anatoka kwa wanaume ....
 
Huyu engineer Najua alikuwa Dawasco then netwas then kusoma uholanzi, then project Mbeya then ajira mamlaka! Jee huyu maro eneo lake la kazi, Namaanisha address ilikuwa wapi!? Dar es salaam au Mbeya!? Kama huyu ndugu huyo mke wake ndio alimfanya kuhamia Mbeya that was the biggest mistake he had done in first place !! Hata Siku moja usikubali kuwa drived na mwana mke, utakuja kujuta! Count my words! Hata bibilia imetoa angalizo
 
R.i.p kijana japo uamuzi uliouchukua ni wa kizamani zaidi karne hiii ni karne ya kuumizwa kichwa na mwanamke kweli ..suluhisho ni kuachana na kutafuta mnaeendanda kiamaani kabisa sasa kujiuuua ndo suluhisho la kipumbavu..tena nikutukane kabisa marehemu ww ni kiazi mbatata..
 
Nimeshangaa sana, nilijuaga hawa watu wivu nehii kabisa.
 
Ubaya wa kujiuwa unaaacha pepo.ndani ya familia ,watu wengi wanaojiuwa ukitazama kwenye.ukooo ..hayo matukio yanakua yapo
Unapojiuwa unawaachia watoto wako hiyo historia na wao wakijakukutaana na mazito watafikia solution kujiuwa ..anakumbuka kuwa baba au baba yake alijiuwa
 
Hawa ndio wanaume wanaharakati [emoji3][emoji3]nacheka kama mazuri. Yaani unajiua kisa mkeo kachepuka?
Sasa si kaacha watoto wake wapweke
Alishindwa nini kuchepuka au kuachana nae kabisa??
Au alikua analelewa??
Wanaume kila siku wanachepuka wanafumwa wamama wanapambana dume zima linajiua??
Mungu amuweke anapostahiri kamanda Yona.
 
Nimesikitika sana, hawa wanandoa nawajua hata kabla hawana watoto. Tatizo mwanamke yupo njema na jamaa alikuwa choka ila alikuwa kijana mpole na mtulivu. Baba wa mwanamke alikataa wasifunge ndoa coz jamaa kiuchumi sio bomba na ni kweli huyu muuni sana na chapombe kama Baba yake na kwao ni nyuma ya shule ya mapambano sinza
 
Mwanamke kaliwa mara ya kwanza bado unaye tu, mara ya pili bado unaye tu. Ya tatu?

Aaaaaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…