OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kajiua sababu ya mwanamke?"kafa kishujaa" huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo huyu mama alifungwa??...Huyu mamake Taji Liundi mtoto alipona peke yake kama sijakosea
Anajisikiaje vipi tena, anajisikia raha na anaendelea kujiachia na Eng wa maji. Hapakuwa na haja ya huyo dogo kujiua, naye angetafuta mchepuko wake ale raha arudi hata baada ya siku mbi, huyo mwanamke angejirekebishasijui huyo mwanamke anajiskiaje.
Mkuu basi nimeshalipataKutaja jina la mtu humu ni kosa la name calling.
P.
Alitengenezwababa angu mdogo alikuwa na mchepuko na aliufungulia bonge la salun la kisasa!lakini dem alimkuta ni mdangaji na jamaa akawa anafosi sana kumtuliza kilichomtokea alijiua kabla hata jua kuchomoza!
Alijiuaje??
Alikuwa na mchepuko siku hiyo hadi saa6 usiku kisha wakaagana maana bamdogo alikuwa na wife na watoto wadogo 2.
Kufika hom rafk yake anampigia anamwambia yaani we umetoka tu chumbani jamaa lingine limeingia kumshughulikia demu wako!
Jamaa akaenda kweli akakuta mashine inaungurumishwa ndani na kelele za kutosha!
Akavamia akakuta kweli mzigo wake unaliwa!
Ndio hivyo kwa hasira hasara akaenda kunywa ngao 3.akaacha mke mzuri na watoto wadogo wakimhitaji
Haujarithi tabia za ba mdogo kweli?baba angu mdogo alikuwa na mchepuko na aliufungulia bonge la salun la kisasa!lakini dem alimkuta ni mdangaji na jamaa akawa anafosi sana kumtuliza kilichomtokea alijiua kabla hata jua kuchomoza!
Alijiuaje??
Alikuwa na mchepuko siku hiyo hadi saa6 usiku kisha wakaagana maana bamdogo alikuwa na wife na watoto wadogo 2.
Kufika hom rafk yake anampigia anamwambia yaani we umetoka tu chumbani jamaa lingine limeingia kumshughulikia demu wako!
Jamaa akaenda kweli akakuta mashine inaungurumishwa ndani na kelele za kutosha!
Akavamia akakuta kweli mzigo wake unaliwa!
Ndio hivyo kwa hasira hasara akaenda kunywa ngao 3.akaacha mke mzuri na watoto wadogo wakimhitaji
Daahh kweli mambo haya yako!Alitengenezwa
Kunyanyasana kimapenzi kupo pande zote, kuna wanawake wananyanyaswa na waume pia.Maisha haya tunapita kweli lkn kupita kwa namna hii si vyema, dada zetu mliopo huku ndani mkipendwa msiwanyanyase wanaowapenda maana si rahisi kujua nini mwenzio atafanya kwa kusalitiwa,,,,wengine wanaua wanawake, wengine wanajiua kama hivi
Wanaume wenzangu tulio hapa ndani, ni kosa kubwa sana kunyamaza na jambo zito kama kusalitiwa na mke, ikiwa haiwezekani kusema hapa ndani basi wapo wazazi, ndugu na jamaa wa karibu, zungumza nao watakushauri na kukusaidia.
Pumzika kwa amani kaka.
Hapana aseee ba mdogo alikuwa boya hata madem alikuwa anaogopa.alikuwa akimpenda manzi ananituma mi ananipa ela na gari naenda nakaa na yule dem huku namsifia dingi mdogo hapo.Haujarithi tabia za ba mdogo kweli?
Kweli. Hainingii akilini mtu kujiua sababu ya mchepuko..huyo alishafanywa zezeta maskini! MICHEPUKO SIO DILIDaahh kweli mambo haya yako!
Kuna siku rafki yangu aliniomba ushauri nikashindwa hata kumshauri kwa jambo lile lilivyokuwa gumu!
mkewe alimtuma akampokelee mzigo wake kutoka tanga aliotumiwa na mamaake!
jamaa alivyopokea akaupeleka hadi nyumba huo mfuko zikapita siku 2 anaona kama kuna nafsi inamtuma afungue ule mfu mfuko.
akaona isiwe tabu sababu mkewe ametoka ngoja aukague ule mfuko.
kufungua ndani anakuta madawa ya ajabu na matakataka mengine.
akakuta na karatasi na maelekezo kwa kila dawa.
ingine muekee mumewe katika chakula ingine kwenye maji ya kuoga.
masharti mengi mengi hadi jamaa akahisi akili imesimama!
ndio akaomba mi nimshauri
nikamshauri lakini nikaona kama limenielemea sana hili jambo lake ikabidi nimshauri aende kwa wazee wenye heshima zaidi ndio wangeweza kuweka mambo sawa.
Huwa sipendi kukumbuka hili jambo kabisa tena nikimuona yule mamaa anavyopeta sasahivi na majamaa wengine!ukienda klabu yupo kila kiwanja humkosi huwa tunatazamana tuu lakini nahisi akiniona raha inampotea!Kweli. Hainingii akilini mtu kujiua sababu ya mchepuko..huyo alishafanywa zezeta maskini! MICHEPUKO SIO DILI