TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Hapana aseee ba mdogo alikuwa boya hata madem alikuwa anaogopa.alikuwa akimpenda manzi ananituma mi ananipa ela na gari naenda nakaa na yule dem huku namsifia dingi mdogo hapo.
ye ananitumia tu meseji vipi mtoto amenielewa!
namwambia hapa kazi imebaki wewe tu!
ananiambia nenda lodge lipia vyumba 2 kimoja andika jina langu kingine jina la demu.
afu nimsubirie anakuja anaingia kwa dem akimaliza anaingia chumbani kwake anaoga tunaondoka.sijui kwanini alikuwa anafanya vile
Barehe ya kwanza ilimpita bila kuitumia akaja kushtuka yupo barehe ya pili ambayo ni mbaya kupindukia maana unakuwa na hela pia uko huru.Akajikuta anajua kupenda lakini kutongoza hawezi hivyo akipata demu anaingia mwili mzima..zero xperiance na hao viumbe.
Mungu amlaze pema.
 
Kuna uwezekano tunapata madhambi tu ya kumlaumu Yona na Mkewe kumbe kuna Njitu zinazopaswa kulaumiwa zinatusanifu tu humu kwa kufanikiwa kupumbaza watu akili, pengne kuna njitu zinajua ukweli wa kifo cha yona Zaid ya hata yona mwenyewe. Amini World is not fair but our God is too fair, ukipndsha haki dunian itaenda kunyooshwa mbinguni, na ukiikosa duniani utaipata mbinguni. Mimi na wewe ambao tumepata taarifa hii kwa mapokezi tusijibebeshe mizigo ya dhambi kumlaumu yeyote. Nachelea kusema wana Jf tumekua blind sana kweny hii mada, Ndio kifo kweli kimetokea, na sababu za kifo tumepata kwa maelezo, means hamna tofaut na maelezo mengne tunayopataga kwenye mada tofauti humu jf lakini tunaitaga CHAI, binafsi sijui lolote zaid ya kifo, sisemi wala sina uhakika kama ni chai, je wewe unauhakika gan kama si chai? Kuvunjwa mlango? Au kwa sbaa ya barua? Hahaaa are we serious?

R.I.P YONA
 
R.I.P....!
===
Huyo injinia ni mu-old moshi ama mkibosho ama mmarangu ! ? Lengo la swali kuweka kumbukumbu sawa sawa.
 
Dah...

Yona amenisikitisha sana to be true. Nimetoka naye mbali sana. Tangu 2002 tulipokua tunaanza kuhangaika na utundu wa mitandaoni. Na mambo mengine mengi ambayo siwezi kuyasema lakini kwa ufupi alikua ni kijana very bright na aliyeipenda nchi yake kwa moyo wote.
"...alikua ni kijana very bright na aliyeipenda nchi yake kwa moyo wote...."
====
Well I ! Oh I see!!! Bright...aliipenda nchi yake kwa moyo wote..
____
Asante mkuu kwa taarifa.
 
Kwa heri Yona! Wakati anaanzisha Wanabidii, nilipokea email ya kukaribishwa kujiunga Wanabidii wakati tulikuwa hatufahamiani. Na ndugu zangu wengi sana walipata huo mwaliko. Swali kwa wana-IT: Je, alipate email addresses nyingi hivyo za watu wasiomjua? Aliingia kwenye server za Google na Yahoo?
"....alipataje email addresses nyingi hivyo za watu wasiomjua? Aliingia kwenye server za google na yahoo?"
====
Asante kwa swali lako.
 
CV ya mjane. Pole kwa msiba.
Na hiki hapa chini ndicho nilichokuta kwenye cv ya mjane.
Kwamba ana uweze mkubwa wa kukabili na kutatua changamoto na matatizo magumu kwa kutumia njia mvurugo(rigorous) za kilojiki.
=====
Mloelya possess a broad range of technical, personal effectiveness and leadership skills
including managing multi cultural team, and uses rigorous logic and methods to come up with effective
solutions to difficult problems.
 
Na hiki hapa chini ndicho nilichokuta kwenye cv ya mjane.
Kwamba ana uweze mkubwa wa kukabili na kutatua changamoto na matatizo magumu kwa kutumia njia mvurugo(rigorous) za kilojiki.
=====
Mloelya possess a broad range of technical, personal effectiveness and leadership skills
including managing multi cultural team, and uses rigorous logic and methods to come up with effective
solutions to difficult problems.
Ulitaka aaandikeje? Kama...engineer anayejiuza fani...yake
 
Kuna taarifa kuwa Yona F. Maro ambaye ni mwanaJF na muasisi wa Wanabidii, Google Group amefariki dunia jana tarehe 12 January 2018.



Mazishi yatafanyika Jumatatu tarehe 15 Januari Kijijini kwao Mowo, Old Moshi - Kilimanjaro.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina Lake lihimidiwe.

Natoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu

Chanzo ni ukurasa wa Facebook wa dada yake na Yona: Janet Fares Maro

Nini sababu ya kuanzisha wanabidii group? Alikuwa anaichukuliaje JF? Unfortunately maisha yetu chini ya jua yana kiwango. Kama tungelijua....
 
EMERGING CONSPIRACY OF PODSOBLE ASSASSINATION

Ijulikane kuwa Maro alikuwa Graduate wa IT toka Harvard

Ijulikane kuwa Maro kama mwana harakati amehusika actively na mitandao maarufu kama mmiliki,mwenza,mwazilishi,mshiriki
Ie Bidii,ulinzi na usalama ,jamii forum etc

Ijulikane kuwa wakati mauti yanamkuta alikuwa ametoka kwenye kizuizi cha siku 60 kwa makosa...yanayohusiana na mtandao

Ijulikane kwa sasa kuna mamia ya vijana hawapo mtaani kwa makosa ya namna hiyo ikihisiwa wanatoa siri za serikali ,jeshi,tiss etc maro alikua kundi...hilo

Ijulikane kuwa Maro amewahi kupigwa huku nyuma na...watu wasiojulikana kama...onyo kwa ushiriki wake na aina ya mijadala na taarifa anazotoa

Maro ni kati ya vijana wachache watanzania waliokuwa na uwezo mkubwa wa.kuingilia mitandao

Conclusion
Wakati dunia nzima inamlaumu Maro kwa kujiuwa ,nani amechunguza masaaa 48 baada ya na kabla hajaingia kwenye hiyo guest
Aliongozana na nani guest

Nani alimtembelea guest

Alijiuwa na sumu aina gani ...

Mawasiliano yake ya mwisho kwa simu yakoje

Kama alikua na ugomvi na mkewe kwanini aweke namba yake ataarifiwe wakati ana ndugu wengine kama Dada ,kaka etx ...
Mwandiko uluotumika ni wake ? Je ameuandika katika hali ya kawaida au shinikizo ( wataalamu wa miandiko wananielewa)

Walipovunja mlango ufunguo waliukuta wapi ? Kwenye tundu ? Sakafuni au chini ? Au haukuwapo kabisa ?

WAMEANDIKA amekuwa na ugomvi na mkewe four years .....iweje kurudi usiku wa manane mkewe kumfanye ajiuwe leo kama kavumilia miaka minne
Mtu aliyekua kizuizini na huko hakuwa anajua mienendo ya mkewe iweje hilo limshtue zaidi...

Mazingira yakoje kwenye tukio ? Palikuwa na purukushani ?'je alikufa katika hali gani ...misuli yake ionekana je ,macho yake je ...palikuwa na nini kingine ...
Forensic experts waliitwa kabla ya kuchukua kitu chochote
Kuna picha mnato na video ??

Mwisho napata hitimisho kuwa kutokana na mazingira na ushiriki wake katika yanayoendelea na.kuwa...alitoka kizuizini TUSIWE MISLED KUMLAUMU MKEWE NA MCHEPUKO HADI TUPATE MAJIBU YA HAYA MASWALI

MARA NYINGI KWENYE ASSASSINATION HUWA WAANAANGALIA POSSIBLE EXIT ANGLES IKIWEMO WATU WA KUWATUPIA LAWAMA BAADA YA MAUWAJI ..

Ndio maana alipotea sana kwenye mitandao
 
Mimi huwa namuambia...wazi mke wangu akiniuzi maximum kama itatokea naondoka..nyumbani na.nguo niliyovaaaa na gari nitakayondoka nayo.....yanini kujiuwa jamani ...hiyo ndio adhabu ...unaenda tu kupanga au kuhamia...nyumba...yako ingine ...na hakuna kuoa unakua na girlfrind.tu

Kuna theories nyingi sana kwenye mauti ya huyu bwana. Kama mke wake ndio sababu, kweli inasikitisha mno. Mbona wanawake wapo wengi tu na yeye alikuwa mzee wa kanisa?
 
Tuheshimuni tu sababu udhaifu wenu tumeubeba katikati ya miguu yetu

Rip
 
Ulitaka aaandikeje? Kama...engineer anayejiuza fani...yake
Inaonekana unamajibu yako mfukoni; mimi nimenukuu nilichokuta kwenye CV. Kwa kuwa si wote ambao wangefungua file ile nikaona ni vema nukuu juu ya uwezo wa mjane kutatua matatizo kama injinia ni uweke hadharani. Kamwe si kunukuu kwa nia ya kukosoa uandishi wake ama uwezo wake wa kutatua matatizo (ya kiinjinia).

Mpaka hapo nadhani tutakuwa wote.
 
Back
Top Bottom