TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Haya mambo tunaongea kwa vile hujajikuta kwenye hali ngumu.
Mapenzi yanaumiza sana wakuu
 
Mwanamke ni kiumbe kizaliwacha na shahawa za mwanaume ila siyo kumbe kamwe cha kukitegemea na kukiamini kwa asilimia zote.. Kipende kadri ya uwezo wako ila usikiamini kamwe kwa kuwa Ubongo wa hiki Kiumbe kinawaza vitu vingi ambavyo kati ya Vitu hivyo vyote asilimia kubwa ni Tamaa tuuuuuuuuuuuuuuuuuu hakuna hata kimoja ambacho siyo cha Tamaa..
Sasa Tamaa ikizidi uwezo matokeo yake ni Makubwa... Na hata hizo Ndoa au Mahusiano yanayoyumba ukifuatilia chanco kikubwa ni Tamaa ambayo Mwanamke anataka kutimiziwa na Mwanaume kila Muda..... Mwanamke ni kiumbe kinachoishi na Kuongozwa na Matamanio Muda wote
 
hahaha na vya mayai ya kisasa !ptu
Kuna familia tumetoka kuzika majuzi huko Bunda kanda ya ziwa. Mwanaume kakwara wote, yani kuanzia mke wake wa ndoa mtoto wa miezi 4 na shemeji yake, afu yeye akaenda baadae kujisalimisha polisi. Kisa mke karuka zizi na akabebea huko huko ujauzito. So jamaa akashtuka kuwa hiyo maniaje sio ya kwake, alishika jembe kaprone wote as if alikuwa anapalilia magugu.
 
Kuna familia tumetoka kuzika majuzi huko Bunda kanda ya ziwa. Mwanaume kakwara wote, yani kuanzia mke wake wa ndoa mtoto wa miezi 4 na shemeji yake, afu yeye akaenda baadae kujisalimisha polisi. Kisa mke karuka zizi na akabebea huko huko ujauzito. So jamaa akashtuka kuwa hiyo maniaje sio ya kwake, alishika jembe kaprone wote as if alikuwa anapalilia magugu.


niliskia kwenye heka heka alafu maskini ni wasabato !dah yalimfika hapaa ! haka katabia ka wanawake kuzaa nje kamezidi jaman !mbaya sana ! naogopa kukemea sijui ya kesho !
 
hahaha na vya mayai ya kisasa !ptu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Haya mate mnayatemeaga humu kwenye threads, ukute wallet ina pumua kama kiboko yupo majini, mnatamani kuturamba hadi vipumulio, na sisi hapo ndio tunaona daah Dem si ndio huyu aisee.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Haya mate mnayatemeaga humu kwenye threads, ukute wallet ina pumua kama kiboko yupo majini, mnatamani kuturamba hadi vipumulio, na sisi hapo ndio tunaona daah Dem si ndio huyu aisee.

haaa sio wote !huo ndo uhakika ! ila na nyie mmezdi uzwazwa !mbona mwanamke mporaji anaonekana hata machoni tu? mie nawajuaga hata kuwaangalia ! mnalo
 
niliskia kwenye heka heka alafu maskini ni wasabato !dah yalimfika hapaa ! haka katabia ka wanawake kuzaa nje kamezidi jaman !mbaya sana ! naogopa kukemea sijui ya kesho !
Ndio hicho nilichokuwa nakuambia kuwa sasa hivi, stick zitangombaniwa sana, na ndivyo hivyo hivyo wenye stick wanavyozidi kupungua. Maana wanaume wenyewe somo la uvumilivu tumeanza ku score zero. Then want next kama sio kuongeza uchomekaji wa misalaba chini ya ardhi.
 
Ndio hicho nilichokuwa nakuambia kuwa sasa hivi, stick zitangombaniwa sana, na ndivyo hivyo hivyo wenye stick wanavyozidi kupungua. Maana wanaume wenyewe somo la uvumilivu tumeanza ku score zero. Then want next kama sio kuongeza uchomekaji wa misalaba chini ya ardhi.

AMKENI
 
Mwanamke ni kiumbe kizaliwacha na shahawa za mwanaume ila siyo kumbe kamwe cha kukitegemea na kukiamini kwa asilimia zote.. Kipende kadri ya uwezo wako ila usikiamini kamwe kwa kuwa Ubongo wa hiki Kiumbe kinawaza vitu vingi ambavyo kati ya Vitu hivyo vyote asilimia kubwa ni Tamaa tuuuuuuuuuuuuuuuuuu hakuna hata kimoja ambacho siyo cha Tamaa..
Sasa Tamaa ikizidi uwezo matokeo yake ni Makubwa... Na hata hizo Ndoa au Mahusiano yanayoyumba ukifuatilia chanco kikubwa ni Tamaa ambayo Mwanamke anataka kutimiziwa na Mwanaume kila Muda..... Mwanamke ni kiumbe kinachoishi na Kuongozwa na Matamanio Muda wote
Ni kwel mkuu hawa wanawake wanaishi kwa tamaaa kwan wanategemeaa vikubwa kutoka kwa wapnz wao kuliko uhalisia was mambo....bora kuwa bachelor tu.....so hopeless
 
bcf00f9b6afdec0c97ba5625fd70fdf7.jpg
 
Kuna kuamka hapo na hiki kizazi cha kina walper, jiggy sijui mananilii gani huko., na hizi smart phone.
Hapa sema tusakafie kabisa makaburi yetu ili siku ikifika wanatumbukiza tu.
Habari ya siri za ndani imeisha kipindi cha nyuma.
 
IZI TABIA ZA KUJULIA MAPENZI UKUBWANI NI TATIZO..VIJANA SIKUHIZI WANAANGALIA TAMTHILIA SANA ZINAWADANGANYA SANA KUHUSU MAPENZI.

MNACHOTAKIWA MFAHAMU NI KUWA KWA DUNIA YA SASA MWANAMKE NI CHOMBO CHA BURUDANI TU..UKIZIDISHA YAANI KUMFANYA ZAIDI YA CHOMBO NA UKATAKA KUMTUMIA KAMA RAFIKI AU NDUGU LAZIMA UTAKUFA TU!!!!

MWANAMKE WA KI LEO NI JINI, NYOKA, NA NDIE FIMBO YA IBILISI..KUNA WANAOPATA STROKE, PRESHA NA VILEMA SABABU WALIMGEUZA MWANAMKE RAFIKI^/NDUGU.

MWANAMKE NI CHOMBO CHA STAREHE UNAKITUMIA PALE UNAPOHITAJ BURUDANI FULANI, UNAWEZA UKABADILISHA UTAKAVYO SABABU LADHA YA STAREHE UBADILIKA..UKIFATA HII KANUNU UTAISHI KWA RAHA NA UTAJIRI UTAKUWA NAO KARIBU.
Sawa lakini kumbuka kuna wanawake walioumizwa na wanaoendelea kuumizwa kikatili!
 
baba angu mdogo alikuwa na mchepuko na aliufungulia bonge la salun la kisasa!lakini dem alimkuta ni mdangaji na jamaa akawa anafosi sana kumtuliza kilichomtokea alijiua kabla hata jua kuchomoza!
Alijiuaje??
Alikuwa na mchepuko siku hiyo hadi saa6 usiku kisha wakaagana maana bamdogo alikuwa na wife na watoto wadogo 2.
Kufika hom rafk yake anampigia anamwambia yaani we umetoka tu chumbani jamaa lingine limeingia kumshughulikia demu wako!
Jamaa akaenda kweli akakuta mashine inaungurumishwa ndani na kelele za kutosha!
Akavamia akakuta kweli mzigo wake unaliwa!
Ndio hivyo kwa hasira hasara akaenda kunywa ngao 3.akaacha mke mzuri na watoto wadogo wakimhitaji
Sio mgeni kwenye mapenzi ila kujiua kwa ajili ya mwanamke ni bora nikajiunge Boko Haram
 
EMERGING CONSPIRACY OF PODSOBLE ASSASSINATION

Ijulikane kuwa Maro alikuwa Graduate wa IT toka Harvard

Ijulikane kuwa Maro kama mwana harakati amehusika actively na mitandao maarufu kama mmiliki,mwenza,mwazilishi,mshiriki
Ie Bidii,ulinzi na usalama ,jamii forum etc

Ijulikane kuwa wakati mauti yanamkuta alikuwa ametoka kwenye kizuizi cha siku 60 kwa makosa...yanayohusiana na mtandao

Ijulikane kwa sasa kuna mamia ya vijana hawapo mtaani kwa makosa ya namna hiyo ikihisiwa wanatoa siri za serikali ,jeshi,tiss etc maro alikua kundi...hilo

Ijulikane kuwa Maro amewahi kupigwa huku nyuma na...watu wasiojulikana kama...onyo kwa ushiriki wake na aina ya mijadala na taarifa anazotoa

Maro ni kati ya vijana wachache watanzania waliokuwa na uwezo mkubwa wa.kuingilia mitandao

Conclusion
Wakati dunia nzima inamlaumu Maro kwa kujiuwa ,nani amechunguza masaaa 48 baada ya na kabla hajaingia kwenye hiyo guest
Aliongozana na nani guest

Nani alimtembelea guest

Alijiuwa na sumu aina gani ...

Mawasiliano yake ya mwisho kwa simu yakoje

Kama alikua na ugomvi na mkewe kwanini aweke namba yake ataarifiwe wakati ana ndugu wengine kama Dada ,kaka etx ...
Mwandiko uluotumika ni wake ? Je ameuandika katika hali ya kawaida au shinikizo ( wataalamu wa miandiko wananielewa)

Walipovunja mlango ufunguo waliukuta wapi ? Kwenye tundu ? Sakafuni au chini ? Au haukuwapo kabisa ?

WAMEANDIKA amekuwa na ugomvi na mkewe four years .....iweje kurudi usiku wa manane mkewe kumfanye ajiuwe leo kama kavumilia miaka minne
Mtu aliyekua kizuizini na huko hakuwa anajua mienendo ya mkewe iweje hilo limshtue zaidi...

Mazingira yakoje kwenye tukio ? Palikuwa na purukushani ?'je alikufa katika hali gani ...misuli yake ionekana je ,macho yake je ...palikuwa na nini kingine ...
Forensic experts waliitwa kabla ya kuchukua kitu chochote
Kuna picha mnato na video ??

Mwisho napata hitimisho kuwa kutokana na mazingira na ushiriki wake katika yanayoendelea na.kuwa...alitoka kizuizini TUSIWE MISLED KUMLAUMU MKEWE NA MCHEPUKO HADI TUPATE MAJIBU YA HAYA MASWALI

MARA NYINGI KWENYE ASSASSINATION HUWA WAANAANGALIA POSSIBLE EXIT ANGLES IKIWEMO WATU WA KUWATUPIA LAWAMA BAADA YA MAUWAJI ..
 
baba angu mdogo alikuwa na mchepuko na aliufungulia bonge la salun la kisasa!lakini dem alimkuta ni mdangaji na jamaa akawa anafosi sana kumtuliza kilichomtokea alijiua kabla hata jua kuchomoza!
Alijiuaje??
Alikuwa na mchepuko siku hiyo hadi saa6 usiku kisha wakaagana maana bamdogo alikuwa na wife na watoto wadogo 2.
Kufika hom rafk yake anampigia anamwambia yaani we umetoka tu chumbani jamaa lingine limeingia kumshughulikia demu wako!
Jamaa akaenda kweli akakuta mashine inaungurumishwa ndani na kelele za kutosha!
Akavamia akakuta kweli mzigo wake unaliwa!
Ndio hivyo kwa hasira hasara akaenda kunywa ngao 3.akaacha mke mzuri na watoto wadogo wakimhitaji
Hii comment imenichekesha kwa kweli,mchepuko umeua mtu.
 
Back
Top Bottom