Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,062
Japo miaka hii watanzania tunajifanya "much know" lakini wacongo wametutesa sana, tena miaka mingi hususan 1980s na 90s, nyumba zote zilipambwa kwa Radio Cassete. Dah! kweli utu uzima umeshaingia lol!